Bongofleva: 5 Biggest Losers and Winners

Bongofleva: 5 Biggest Losers and Winners

hahahah wimbo wa taifa
Huwa najiukiza sana inakuwaje msanii akiyeandika nyimbo moja ya nyimbo kali kwenye historia ya Bongofleva anapoteza direction mpaka anakunywa komoni??? Dah sijui alikosea wapi jamaa
 
Duh nimemkumbuka mtoto Sandra wa kaole kwenye video ya mpenzi kabla ya hawa mavideo queen wabinua makalio hawajaingia .

yuko wapi bi sandra siku hizi?
Hahahahh!! Sandra alibamba sana kwenye ile video.. bado yuko Bongo movie anafanya vizuri tu
 
Shetta,Navy Kenzo,Yamoto,mbona wa juzi tu hapo na ndo wkt wao.
Laaaabda Ney Wa Mitego
Naweza kukubaliana nawe kuhusu Navy kenzo na Yamoto Band nafasi yao ichukuliwe na Nay wa mitego lakini mtu kama shetta wa kitambo sana! Unajua shetta ni wa long time kidogo ila watu wanasahau, ana karibia miaka 7 kwenye game! Single yake ya kwanza 'Naplay' ft. Mwana FA ilitoka 2009 nadhani..
 
Naweza kukubaliana nawe kuhusu Navy kenzo na Yamoto Band nafasi yao ichukuliwe na Nay wa mitego lakini mtu kama shetta wa kitambo sana! Unajua shetta ni wa long time kidogo ila watu wanasahau, ana karibia miaka 7 kwenye game! Single yake ya kwanza 'Naplay' ft. Mwana FA ilitoka 2009 nadhani..

Tuongelee kuhusu mtoko wa kwanza /wimbo uliomtambulisha msaniii kwa jamii,ndio tuanzie hapo,maana kama harakati kila mtu alianza zamani
 
Back
Top Bottom