Amalinze
JF-Expert Member
- May 6, 2012
- 6,780
- 5,305
Habari wababodi,
Wengi walikua wanaulizia habari za Boni Mwaitege sana maana hajasikika mda mrefu kwenye medani za gospel.Msanii Mwaitege amefunguka kwamba yupo busy na biashara zake za kuuza maji na kulima.
Boni Mwaitege amefungua kituo cha kuuza maji maeneo ya nyumbani kwake Kitunda,Kinyantila,biashara inayomuingizia pesa mbali na kuuza maji pia analima mazao ya chakula.
Picha za chini ni mjengo wa Boni Mwaitege uliopo DSM,Kitunda Kinyantila na mabanda ya uani kwa ajili ya wapangaji.


Wengi walikua wanaulizia habari za Boni Mwaitege sana maana hajasikika mda mrefu kwenye medani za gospel.Msanii Mwaitege amefunguka kwamba yupo busy na biashara zake za kuuza maji na kulima.
Boni Mwaitege amefungua kituo cha kuuza maji maeneo ya nyumbani kwake Kitunda,Kinyantila,biashara inayomuingizia pesa mbali na kuuza maji pia analima mazao ya chakula.
Picha za chini ni mjengo wa Boni Mwaitege uliopo DSM,Kitunda Kinyantila na mabanda ya uani kwa ajili ya wapangaji.

