Boni Mwaitege ashusha mjengo wa hatari Kitunda

Boni Mwaitege ashusha mjengo wa hatari Kitunda

Nashangaa wengi humu hawana hata kiwanja lakini mabingwa wa kubeza wenzao.
Kwani nyumba hata ya vyumba viwili huwezi kuita mjengo?
Acheni kutuzengua!
Hongera Mwaitege!

Hatukatai kajitahidi ila haka kajumba kataonekana mjengo na mtu aliyepangisha banda la uani somewhere huko uswahili.
Zipo servant quarters zenye viwango kuliko hii.
Btw kwenye uzi inasema hii nyumba iko shambani,mimi nimeelewa kuwa hii ni nyumba yake anayoenda kukaa anapokua ameenda shambani kwake.Kwa jina alilokua nalo nina imani ana mjengo mwingine somewhere.
 
Hatukatai kajitahidi ila haka kajumba kataonekana mjengo na mtu aliyepangisha banda la uani somewhere huko uswahili.
Zipo servant quarters zenye viwango kuliko hii.
Btw kwenye uzi inasema hii nyumba iko shambani,mimi nimeelewa kuwa hii ni nyumba yake anayoenda kukaa anapokua ameenda shambani kwake.Kwa jina alilokua nalo nina imani ana mjengo mwingine somewhere.

Hapo umenena!
 
Habari wababodi,

Wengi walikua wanaulizia habari za Boni Mwaitege sana maana hajasikika mda mrefu kwenye medani za gospel.Msanii Mwaitege amefunguka kwamba yupo busy na biashara zake za kuuza maji na kulima.

Boni Mwaitege amefungua kituo cha kuuza maji maeneo ya nyumbani kwake Kitunda,Kinyantila,biashara inayomuingizia pesa mbali na kuuza maji pia analima mazao ya chakula.

Picha za chini ni mjengo wa Boni Mwaitege uliopo DSM,Kitunda Kinyantila na mabanda ya uani kwa ajili ya wapangaji.
View attachment 231996
View attachment 231997

Anatajwa kwenye scandal za albino hajawahi kanusha...mambo yamelipa nini?
 
Safi nilijua upo Mbeya unauza viazi mviringo na ndizi kumbe upo dsm unauza maji...hongera kwa nyumba pia.
 
Ungeandika 'MWAITEGE AMEJENGA NYUMBA' ingetosha kabisa, unapozungumzia 'MJENGO' unazungumzika kitu kingine. Atleast ile ya Masanja unaweza kuiita mjengo. Anyway hongera zake kwa kufikia hatua ya kuitwa baba mwenye nyumba
 
hiyo nyumba ni ya chama cha siasa au ni ya ile timu?
 
Ungeandika 'MWAITEGE AMEJENGA NYUMBA' ingetosha kabisa, unapozungumzia 'MJENGO' unazungumzika kitu kingine. Atleast ile ya Masanja unaweza kuiita mjengo. Anyway hongera zake kwa kufikia hatua ya kuitwa baba mwenye nyumba

Tena hakusema mjengo tu,kasema eti "MJENGO WA HATARI".
Mi naona huku ni kumchoresha mtumishi wa Mungu kwa kweli.
 
Watu kwa chumvi! mbona nyumba ya kawaida? hilo bonge la mjengo lipo wapi?
 
Duh, mleta mada umetia chumvi sna katika hili. Hiyo ni nyumba ya kawaida sana na Boni ni jirani yangu huko Nyantira. Hiyo nyumba amejenga siku nyingi sana na sasa anapambana kuweka fensi. Kimsingi ametumia nafasi aliyopata vzr
 
Back
Top Bottom