Hiyo nyumba ya kawaida sana mbona mkuu,..nyingi ya aina hizo utazikuta maeneo vijijini...hakuna haja ya kuleta habari za kusema mjengo_ungeeandika nyumba tu.
Anyway_hongera sana Mwaitege umejikomboa na kodi.
Kwako ni ya kawaida ila kwa mleta uzi na sie wenzake wa singo na dabo za uswazi huo ni mjengo.
Hiyo nyumba ya kawaida sana mbona mkuu,..nyingi ya aina hizo utazikuta maeneo vijijini...hakuna haja ya kuleta habari za kusema mjengo_ungeeandika nyumba tu.
Anyway_hongera sana Mwaitege umejikomboa na kodi.
Kwako ni ya kawaida ila kwa mleta uzi na sie wenzake wa singo na dabo za uswazi huo ni mjengo.
Hiyo nyumba ya kawaida sana mbona mkuu,..nyingi ya aina hizo utazikuta maeneo vijijini...hakuna haja ya kuleta habari za kusema mjengo_ungeeandika nyumba tu.
Anyway_hongera sana Mwaitege umejikomboa na kodi.
Wewe hata haujanielewa nimemanisha nini-hata haja ya kukuelewesha sina maake unateswa na unyonge na umasikini wa mawazo.....kwa heri mkuu
Huyu jamaa ni CCM nini? kijani na njano?
kwa maana nyingine hiyo nyumba haiendani na hadhi au umaarufu aliokuwa nao
Kula tano mkuu.
Eti mjengo.Khaa!
Hongera zake anyway maana bora hapo ataishi kwa amani kuliko kupangisha.