Pre GE2025 Boni Yai aunga mkono jitihada za Lissu na CHADEMA, atinga kwenye Uzinduzi wa Mkakati wa Kidigitali 'Tone Tone'

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
boniyai ashauriwe kufanya mazoezi, huo mwili wake wa kinyakyusa anakuwa kama pipa sio afya. pia, najua amefaidika sana na mbowe, na bado ana allegiance naye, atumie hekima kubwa sana ili asiwe tiss wa mbowe kwenye chama na adumu kwenye siasa, ama la....hatatufaa.
 
Ni mtu mpumbavu pekee na mla rushwa ndiyo anaweza kwenda CCM kuungana na majangili ya mali za umma.
 
Lisu maisha yate hajawahi changia Chadema kwenye hiyo tone tone Lisu kachangia shilingi ngapi? Wekeni na ushahidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…