Boni Yai: Kukamatwa Dk. Slaa na kunyimwa dhamana kijanja kijanja, ni jambo la kulaaniwa na kila mpenda Haki na hasa aliye Mzalendo!

Boni Yai: Kukamatwa Dk. Slaa na kunyimwa dhamana kijanja kijanja, ni jambo la kulaaniwa na kila mpenda Haki na hasa aliye Mzalendo!

Lissu, Mbowe, Samia au yoyote mwingine si miungu watu. Yoyote kati yao anaweza 'kubagazwa' kivyovyote vile, si kila unayeamini ndivyo alivyo ukadhani wote wanaamini hivyo.
All politicians are self-centered, crooks and they serve their own interests first before anything else.
Never trust a politician, hata awe nani.

Kubagazana kama wenda kuzimu?

Kujaribu kuwazodoa kina Mandela, Nyerere, Lissu, nk ni kujidhalilisha!

Hayo mbona tulishamalizana nayo zamani sana?

Habari ndiyo hiyo.
 
Wakuu jf leo nawabatiza kila mmoja kwa imani yake.

Mzee slaa amekamatwa na kufikishwa mahakamani ,usiku wa leo Bwana anaonya ,na kuwataka watawala mwachia huru ,sasa hamtaki sikia mtajiju.


Mwachieni huyu mzee bila mashariti yoyote na mtabarikiwa asema Bwana
 
Wakuu jf leo nawabatiza kila mmoja kwa imani yake.

Mzee slaa amekamatwa na kufikishwa mahakamani ,usiku wa leo Bwana anaonya ,na kuwataka watawala mwachia huru ,sasa hamtaki sikia mtajiju.


Mwachieni huyu mzee bila mashariti yoyote na mtabarikiwa asema Bwana

Kusikia Kwa kenge hadi damu masikioni!
 
Back
Top Bottom