Mrs Byesige
JF-Expert Member
- Nov 5, 2019
- 862
- 1,549
Leo sura imekushuka shuu..Maneno ya busara sana, uchaguzi umeisha na ni muda muafaka sasa kuruhusu CDM kufungua ukrasa mpya.
Tunautakia mafanikio mema uongozi mpya chini ya Antipas Tundu Lissu, tuna imani utawaunganisha wana CDM wote kuungamisha nguvu zao ili kwa pamoja sasa kulipambania Taifa letu.
Sherehe zimeisha sasa ni muda wa mapambano.
PIa tunamtakia Mh. Mbowe mapumziko mema, kama uongozi mpya ukimuhitaji kwa ushauri basi asisite kama alivyosema.kwa press yake ya hitimisho.
Best wishes.
Labda masuria wakeI can't believe this,what is this madness,serious kuna watu walikuwa wanalia huko VIP kushindwa kwa Mboo....we
Hakuna mshindi....chama kimeshashinda. Tumeshasema hongera kwa uongozi mpya. Kampeni zimeisha vijembe vimeisha sasa hivi ni ujenzi wa chama, October si mbali mambo ni mengi muda mchache.Leo sura imekushuka shuu..
Bora Magu alimkomesha. Kumbe kochwani ni egg!Huyu jamaa kuna wakati alikuwa Meya wa Ubungo.!!!
Yerico na Ntobi warudi kujenga chamaHakuna mshindi....chama kimeshashinda. Tumeshasema hongera kwa uongozi mpya. Kampeni zimeisha vijembe vimeisha sasa hivi ni ujenzi wa chama, October si mbali mambo ni mengi muda mchache.
Hilo ndilo la msingi kwa sasa na wao wameshakubali kwamba kampeni zimeshaisha makovu na visasi viponywe watu wasonge mbele kuivurumusha CCM madarakani.Yerico na Ntobi warudi kujenga chama
Aulete ushauri kwenye vikao vya CC, twende na Lissu ndiye jemedari wetu sasa kamanda wa ardhini, majini na anganiManeno ya busara sana, uchaguzi umeisha na ni muda muafaka sasa kuruhusu CDM kufungua ukrasa mpya.
Tunautakia mafanikio mema uongozi mpya chini ya Antipas Tundu Lissu, tuna imani utawaunganisha wana CDM wote kuungamisha nguvu zao ili kwa pamoja sasa kulipambania Taifa letu.
Sherehe zimeisha sasa ni muda wa mapambano.
PIa tunamtakia Mh. Mbowe mapumziko mema, kama uongozi mpya ukimuhitaji kwa ushauri basi asisite kama alivyosema.kwa press yake ya hitimisho.
Best wishes.
ErythrocyteImeisha hiyo 🐼@@
Amelaaniwa Mtu yule amtegemeaye Mwanadamu mwenzake huku akiwa amemwacha Mungu wa mbinguni moyoni mwake
Kura huamua mashindano,upande ulioshinda mnaungana nao mbona ni kawaida tu popoteSasa huyu mwenyekiti wa kanda atafanyaje kazi na lisu ambae hamkubali?
Kwa maneno mengine Boni anaweka wazi ataendelea kuwa mtiifu kwa Mbowe, huu ni ujumbe mzito sana kwa Mwenyekiti mpya Lissu.Wakuu ujumbe wa Boni kwa boss wake wa zamani
==
Freeman Aikaeli
Mbowe Kwangu umekuwa siyo tu kiongozi wangu wa chama bali ni mwalimu, mwanafalsafa,mkufunzi,mzazi,mlezi na rafiki wa kweli. Wewe ni mfano wa kuigwaNashukuru kwa kuniamini na kunipa jukumu la kuwa Mwenyekiti wa kampeni zako katika uchaguzi mkuu wa chama January 2025.
Unajua,umeona, umesikia na umeshuhudia hadi sekunde ya mwisho nilivyo simama na wewe na nilivyojitoa kwa hali na mali kufanya jukumu lile zito lililokuwa mbele yetu lakini bahati haikuwa upande wetu.
Sikuwahi kufikiri au kudhani ipo siku mwalimu wangu wa siasa atanipa mimi mwanafunzi wake kazi ya kusimamia kazi yake ya siasa Hata hivyo nachezwa na machale, ninavyokufahamu itakuwa ulikuwa kuna kitu ulitaka nijifunze kwenye majukumu yangu ya kusimamia kampeni zako.
Moja ya funzo kubwa na la ajabu nitalikumbuka daima katika uchaguzi huu ni pale uliponieleza "Watu wako rasmi uliowapa jukumu la kufanya kampeni wasifanye Jambo lolote bila idhini yako, na pia katika kila jambo tutakalofanya tusikiumize chama kwa namna yoyote ile au kwa kisingizio chochote kile"Mapenzi yako kwa CHADEMA na wanachama wa CHADEMA ndiyo yalinifanya nikubali kubeba Jukumu hili zito,ulistahili "support" yangu hata kama Dunia nzima ingekusaliti kisiasa na kukugeuka bado mimi ningebakia peke yangu kuwa pembeni yako.
Ndiyo maana nilipoona kura zetu hazijatosha sikuhitaji ruhusa yako kusaini fomu ya matokeo kuwa Mheshimiwa Tundu Lissu ni mshindiNa nilipokujulisha matokeo ya uchaguzi kuwa wajumbe 482 walihitaji uwe Mwenyekiti wao na wajumbe 513 wameamua ukapumzike, watu wengine uliokuwa nao chumba cha VIP wakiwa wanalia wewe ulinyanyuka ukanikumbatia kisha ukachukua simu yako ili kupongeza na kukubali matokeo kupitia ukurasa wako wa X na kuanza kujadili swala la kurudi ukumbini tayari kupokea matokeo rasmi.
Hili ni somo kubwa sana kwangu.Wewe utabakia kuwa Jenerali wangu wa kweli na kiongozi wangu siku zote. Nitakuwa tayari siku yoyote na mahala popote kutumwa au kupokea majukumu kutoka kwako hata nje ya siasa.Nakutakia maisha mapya nje ya majukumu makubwa ya kisiasa.
"We protect the Purpose and not a person"
Boniface Jacob (Boni Yai)
Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani
Thursaday, Jan 23, 2025.
sio rahisi kama unavyofikiria. Ndio maana viongozi wakichukua madaraka wanapanga safu ya watu wanaowaamini,, usidhani sugu, wenje, boni watamtumikia lisu kwa moyo mmoja, watamtumikia kiunafiki tu lakini rohoni wanataka afeliKura huamua mashindano,upande ulioshinda mnaungana nao mbona ni kawaida tu popote
Mayai yapi?Ataacha kusujudu mayai yamdodee.
Maana halisi ya CHAWA PROMAXWakuu ujumbe wa Boni kwa boss wake wa zamani
==
Freeman Aikaeli
Mbowe Kwangu umekuwa siyo tu kiongozi wangu wa chama bali ni mwalimu, mwanafalsafa,mkufunzi,mzazi,mlezi na rafiki wa kweli. Wewe ni mfano wa kuigwaNashukuru kwa kuniamini na kunipa jukumu la kuwa Mwenyekiti wa kampeni zako katika uchaguzi mkuu wa chama January 2025.
Unajua,umeona, umesikia na umeshuhudia hadi sekunde ya mwisho nilivyo simama na wewe na nilivyojitoa kwa hali na mali kufanya jukumu lile zito lililokuwa mbele yetu lakini bahati haikuwa upande wetu.
Sikuwahi kufikiri au kudhani ipo siku mwalimu wangu wa siasa atanipa mimi mwanafunzi wake kazi ya kusimamia kazi yake ya siasa Hata hivyo nachezwa na machale, ninavyokufahamu itakuwa ulikuwa kuna kitu ulitaka nijifunze kwenye majukumu yangu ya kusimamia kampeni zako.
Moja ya funzo kubwa na la ajabu nitalikumbuka daima katika uchaguzi huu ni pale uliponieleza "Watu wako rasmi uliowapa jukumu la kufanya kampeni wasifanye Jambo lolote bila idhini yako, na pia katika kila jambo tutakalofanya tusikiumize chama kwa namna yoyote ile au kwa kisingizio chochote kile"Mapenzi yako kwa CHADEMA na wanachama wa CHADEMA ndiyo yalinifanya nikubali kubeba Jukumu hili zito,ulistahili "support" yangu hata kama Dunia nzima ingekusaliti kisiasa na kukugeuka bado mimi ningebakia peke yangu kuwa pembeni yako.
Ndiyo maana nilipoona kura zetu hazijatosha sikuhitaji ruhusa yako kusaini fomu ya matokeo kuwa Mheshimiwa Tundu Lissu ni mshindiNa nilipokujulisha matokeo ya uchaguzi kuwa wajumbe 482 walihitaji uwe Mwenyekiti wao na wajumbe 513 wameamua ukapumzike, watu wengine uliokuwa nao chumba cha VIP wakiwa wanalia wewe ulinyanyuka ukanikumbatia kisha ukachukua simu yako ili kupongeza na kukubali matokeo kupitia ukurasa wako wa X na kuanza kujadili swala la kurudi ukumbini tayari kupokea matokeo rasmi.
Hili ni somo kubwa sana kwangu.Wewe utabakia kuwa Jenerali wangu wa kweli na kiongozi wangu siku zote. Nitakuwa tayari siku yoyote na mahala popote kutumwa au kupokea majukumu kutoka kwako hata nje ya siasa.Nakutakia maisha mapya nje ya majukumu makubwa ya kisiasa.
"We protect the Purpose and not a person"
Boniface Jacob (Boni Yai)
Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani
Thursaday, Jan 23, 2025.
Hili neno umeliweka sehemu ambayo si sahihi.Imeisha hiyo 🐼
Amelaaniwa Mtu yule amtegemeaye Mwanadamu mwenzake huku akiwa amemwacha Mungu wa mbinguni moyoni mwake
Unataka kusema neno "we protect the purpose not a person" ni porojo..Lazima Uongee Pesa Ya Bi Mkubwa Amekupa Na Gorofa Umejenga Na Gari Pia Amekuachia....