Uchaguzi umeisha, aliyeshinda kashinda kihalali, aliyeshindwa kashindwa kihalali, uchaguzi ulikuwa ni wa HURU na HAKI, mtifuano ni kampeni za kidemokrasia, sasa ni wakati wa kupongezana kula na kunywa na kuanza kazi.
Tusiwe kama watoto wadogo walionyang'anyana pipi.