Boniface Getere: Miradi inayopita Butiama ina shida gani? Barabara haijakamilika tangu 2013

Boniface Getere: Miradi inayopita Butiama ina shida gani? Barabara haijakamilika tangu 2013

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Mbunge wa Jimbo la Bunda, Boniface Mwita Getere amesema Mkandarasi alipewa Barabara tangu 2013 na amalize 2015 lakini hakumaliza. Alipewa tena 2015-2017, 2017-2019, 2019-2021 na bado hajamaliza

Ameeleza, "Miradi inayopita Butiama kuna shida gani? Katika mradi ambao unatia aibu katika Mkoa wa Mara ni huu wa Barabara. Yule Mkandarasi hatamaliza"

Aidha Mbunge huyo ameomba msaada wa Spika akiongeza Mkandarasi ameshindwa hata kwenda 'site' tangu Februari

 
Hakuna miradi ya barabara ya kimkakati iliyomalizika kipindi Cha Mwendazake. Barabara hiyo ilikuwa ya kuunganisha Mara mpaka Arusha kupitia mbuga ya Serengeti na Manyara. Ilianza kutengenezwa kipindi Cha Jakaya kuanzia Butiama ikaishia njiani baada ya Jiwe. Na haikuguswa tena na inasemekana kampuni iliyopewa tenda Mwendazake ana hisa.
 
Hakuna miradi ya barabara ya kimkakati iliyomalizika kipindi Cha Mwendazake. Barabara hiyo ilikuwa ya kuunganisha Mara mpaka Arusha kupitia mbuga ya Serengeti na Manyara. Ilianza kutengenezwa kipindi Cha Jakaya kuanzia Butiama ikaishia njiani baada ya Jiwe. Na haikuguswa tena na inasemekana kampuni iliyopewa tenda Mwendazake ana hisa.
Kuna mambo sijaelewa hapa, Mbunge wa Bunda siyo Maboto na kama ni mbunge wa Bunda inakuwaje anaongelea Butiama ?
 
Magufuli hakujenga wala kumaliza barabara zozote toka ameingia kwa awamu yake ya miaka 5.

Barabara alizoacha Kikwete ndio alikuwa anazindua huku ambazo hazikuunganishwa na lami bado zilibakia vilevile .

Hizo barabara za huko zilianzaga kipindi cha JK lakini Magu hajazimaliza.mfano Mto wa mbu hadi Musoma,Mbeya-Tabora/Singida via Rungwa.Kigoma-Tabora,Kigoma-Kagera,Kigoma-Katavi-Rukwa .

Kiufupi yeye alikuwa busy na ndege,sgr,bwawa la umeme na propaganda kibao
 
Magufuli hakujenga wala kumaliza barabara zozote toka ameingia kwa awamu yake ya miaka 5.

Barabara alizoacha Kikwete ndio alikuwa anazindua huku ambazo hazikuunganishwa na lami bado zilibakia vilevile .

Hizo barabara za huko zilianzaga kipindi cha JK lakini Magu hajazimaliza.mfano Mto wa mbu hadi Musoma,Mbeya-Tabora/Singida via Rungwa.Kigoma-Tabora,Kigoma-Kagera,Kigoma-Katavi-Rukwa .

Kiufupi yeye alikuwa busy na ndege,sgr,bwawa la umeme na propaganda kibao
Ficha unyumbu wako basi .

Kwamba barabara ya Kimara - Kibaha iko vilevile?
 
Hakuna miradi ya barabara ya kimkakati iliyomalizika kipindi Cha Mwendazake. Barabara hiyo ilikuwa ya kuunganisha Mara mpaka Arusha kupitia mbuga ya Serengeti na Manyara. Ilianza kutengenezwa kipindi Cha Jakaya kuanzia Butiama ikaishia njiani baada ya Jiwe. Na haikuguswa tena na inasemekana kampuni iliyopewa tenda Mwendazake ana hisa.
Shujaa alipiga sn pesa
 
Kuna mambo sijaelewa hapa, Mbunge wa Bunda siyo Maboto na kama ni mbunge wa Bunda inakuwaje anaongelea Butiama ?
Bunda ina majimbo 3, Bunda mjini, Mwibara na hilo la bwana Getere. Hili la bwana Getere ni upande wa kulia mwa barabara kama unatoka Mwanza kwenda Musoma, ni pale pale Bunda sometimes wanapaitaga Bunda vijijini, kuna barabara imeandikwa hivi "ushashini", hiyo barabra inakwenda hadi Butiama kwa mwl Nyerere
 
Bunda ina majimbo 3, Bunda mjini, Mwibara na hilo la bwana Getere. Hili la bwana Getere ni upande wa kulia mwa barabara kama unatoka Mwanza kwenda Musoma, ni pale pale Bunda sometimes wanapaitaga Bunda vijijini, kuna barabara imeandikwa hivi "ushashini", hiyo barabra inakwenda hadi Butiama kwa mwl Nyerere
Unamaanisha ile inayoenda Nyamuswa?
 
Ficha unyumbu wako basi .

Kwamba barabara ya Kimara - Kibaha iko vilevile?
Imekamilika wewe pimbi? Yule dikteta alikamilisha mradi gani wa barabara ndani ya miaka 5 iliyopita? Kwa hiyo value ya yeye kukaa miaka 5 madrakani ni kujenga hako ka barabara ka kibaha tuu? Acha upumbavu bora Mungu katuona maana tungedidimia zaidi.
 
Back
Top Bottom