Boniface Jacob: Abdul Nondo kapatikana, yupo Mahututi hajiwezi kwa lolote, hata kuongea ni shida

mwenye aliyeziokota zile pingu anipm tuwaloge wahusika wote wanakufwa
 
Mkuu ni hatari sana watu wanajisahau
 
Mkuu ni hatari sana watu wanajisahau
 
W
WE ulitakaje?
 
Ila huyu kaka anapitia mateso ktk harakati zake, si aachane tyuu na siasa zitakuja mpa matatizo makubwa zaidi au Kifo kabisa.

Namuonea huruma, [emoji25][emoji25][emoji25]
Unajua dada yangu kila mtu anaimani yake katika kile kitakachompatia ulaji na ningumu kumbadirisha mtu.

Kunawatu njia zao ni ngumu sana ila wengine ni nyepesi.
 
Hatari sana.Hivi huyu mama yetu mpendwa kizimkazi Kwanini amekuwa dikteta kiasi hiki?
 
Inasikitisha sana ,sasa wamepata faida gani? Wamemuua kibao ,wamemuua Ben saanane then?? Uchafuzi wanajipakulia minyama wao ,sasa si bora tu waendelee kufanya uchafuzi huku wananchi wakibaki salama?
Kwa nini vyama vya upinzani visifutwe tu?

Duniani tunaishi muda mfupi sana, mimi sioni faida ya kuwa mpinzani ukatekwa ukauawa au ukabaki na kilema.

Kama serikali na vyombo vya dola hawataki upinzani si ni bora watawale wao tu watu wafanye maisha mengine.

Ijulikane tu kwamba kuwa mpinzani ni jinai.
 
Sure ,wafute vyama vya upinzani wabaki peke yao ili wapinzani/wanaharakati wabaki salama.
 
Tatizo si kuwepo kwa vyama vya upinzani. Vyama vya upinzani vinahitajika sana lakini lazima viwe kama UDP, UPDP, NLD na TLP (vyama rafiki) basi.
 
Ni dhahiri wanufaika wa huu utekaji wapo njama moja na polisi ndio maana haya matukio ya kishenzi hayakomi ktk nchi hii ya kishetani.
 
Ninawaza sana halafu nabaki kusikitika tu.

Kwa nini binadamu anageuka na kuwa na roho ya namna hii?

ACT Wazalendo wana nini cha kutishia utawala huu hadi muwateke na kuwatesa?
Achikia mbali ACT huko mbali, Nondo ana nini cha kuitisha serikali? Kwa nn serikali inakuwa na hofu namna hii? Kuna nn?
 
Achikia mbaki ACT huko mbali, Nondo ana nini cha kuitisha serikali? Kwa nn serikali inakuwa na hofu namna hii? Kuna nn?
Kuna muda mimi ninakata tamaa, na kuna sehemu nimeposti humu kwamba ni bora upinzani waache tu, wawaachie CCM watawale..

Lakini ukifikiria vizuri, kufanya hivyo ni kuwasaliti wale ambao tayari walishatekwa na kuuawa.

Kufanya hivyo ni kumsaliti Alphonce Mawazo,

Ni kumsaliti Benard Rabiu Saanane.

Ni kumsaliti Ali Kibao na wengine wengi waliotekwa na kuuawa ama kuteswa kama akina Mdude na wengineo.

Labda, ni kuendelea tu, wote tukiuawa inakuwa ni bora zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…