Boniface Jacob: Abdul Nondo kapatikana, yupo Mahututi hajiwezi kwa lolote, hata kuongea ni shida

Boniface Jacob: Abdul Nondo kapatikana, yupo Mahututi hajiwezi kwa lolote, hata kuongea ni shida

Hatimaye kijana Nondo kapatikana muda huu,akiwa ametupwa nje ya Makao Makuu ya Ofisi za ACT.

Taarifa za awali zinasema yupo Mahututi hajiwezi kwa lolote ,hata kuongea ni shida.
===============
Kwa upande mwingine Malisa ametoa maelezo mengine kupitia kwenye ukurasa wake wa Instagram

Wasamaria wema" waliomuokota Nondo Coco Beach kwanini wamempeleka ofisini badala ya hospitali? Inaelezwa Nondo amejeruhiwa vibaya na hawezi kutembea wala kuongea.

"Sasa wamempeleka ofisi za chama akafanye nini? Anyway, its a good thing kama chama kimechukua initiatives za kimkimbiza Aghakhan kwa matibabu. Kwa sasa kipaumbele kiwe afya yake kwanza, Hayo mengine tutayajua vizuri akishapona".

Soma Pia: Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli

Source
Boniphace Jacob
Ex mayor.

View attachment 3166864
Polisi waliacha traces nyingi sana kwenye utekajinaya wa Nondo.

Nilisema na pia narudia, kadiri wanavyozidi kufanya uhuni huu, wsnajiumbua na ipo siku wataanza kunywa dawa wanaypitengeneza
 
Inahusiana nini na uchonganishi wako?..huko mitaani hivyo vyama vyenu vya upinzani vina matawi? Vijana ambao ndiyo ngome ya upinzani walijiandikisha?..unaweza weka picha za foleni za kura zenye vijana wengi?
Kama hakuna picha za foleni za vijana, hao wapiga kura 31m+ waliojoandikisha walitokea wapi, ama nchi hii ina wazee 31m? Au mmejisahau kwa ile idadi ya kupika?
 
Hatimaye kijana Nondo kapatikana muda huu,akiwa ametupwa nje ya Makao Makuu ya Ofisi za ACT.

Taarifa za awali zinasema yupo Mahututi hajiwezi kwa lolote ,hata kuongea ni shida.
===============
Kwa upande mwingine Malisa ametoa maelezo mengine kupitia kwenye ukurasa wake wa Instagram

Wasamaria wema" waliomuokota Nondo Coco Beach kwanini wamempeleka ofisini badala ya hospitali? Inaelezwa Nondo amejeruhiwa vibaya na hawezi kutembea wala kuongea.

"Sasa wamempeleka ofisi za chama akafanye nini? Anyway, its a good thing kama chama kimechukua initiatives za kimkimbiza Aghakhan kwa matibabu. Kwa sasa kipaumbele kiwe afya yake kwanza, Hayo mengine tutayajua vizuri akishapona".

Soma Pia: Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli

Source
Boniphace Jacob
Ex mayor.

View attachment 3166864
Mtu ambaye angempeleka hospitali angetakiwa kumpeleka kwanza polisi ili apate fomu ya PF3, huko angeunganishwa na utekaji ili polisi wajitoe kwenye tuhuma.
 
Muda mfupi uliopita ,Abdul Nondo amepatikana nje ya ofisi Za ACT mágomeni.Taarifa Za awali zinasema yupo mahututi akiwa hajiwezi kwa lolote,
Hii Tanzania hujui umuamini nani? kwanza mimi napinga lolote kuhusu haya mambo siungi mkono kabisa lakini kuna maswali ya kujiuliza. Mtu akiokotwa kawaida anapelekwa Hospital sio ofisi za chama usiku na kuna sehemu nimesoma kuwa katupwa akasimamisha boda na kuomba impeleke ofisi ya chama hapa tunaambiwa mahututi hata kuongea hawezi sasa mtu mahututi kapandaje boda. Tukemee hii tabia lakini pia tukemee taarifa za kupotosha maana watu wanatumia hii kama kick za kisiasa pia. nchi hii tunasema kufa kufaana.
 
Back
Top Bottom