Boniface Jacob: Abdul Nondo kapatikana, yupo Mahututi hajiwezi kwa lolote, hata kuongea ni shida

Boniface Jacob: Abdul Nondo kapatikana, yupo Mahututi hajiwezi kwa lolote, hata kuongea ni shida

Mimi sina sababu ya kutafuta vyanzo sio kazi yangu nimesema nimesoma sehemu kama nilivyosoma hapa. wenye kazi zao watatoa tu ila kwangu mimi ndio kwanza najuwa kuna mtu anaitwa Nondo kwa kusoma tu hizi taarifa maana hata sijui ni nani haswa.
Basi haikuwa na umahiri hata wa wewe kuchangia mawazo yako,uwe unashamed na kupiga,fresh siku inaisha shwaaaa
 
CCM bila ushirikina haiendi. Kwa ushirikina wenu mnajenga majengo ya Hospitali bila ya kuweka matabibu, vifaa tiba wala madawa. Kama si ushirikina ni ni Sasa?

Yaani wagonjwa wataponaje kama hakuna matabibu, madawa na vifaa tiba? Huo ndiyo ushirikina ambao CCM mnaupenda.
gentleman,
embu acha masikhara bas kwenye mambo ya msingi kama hayo aise, kua na shukrani tafadhali hata kidogo tu 🐒
 
aina hiziushirikina zimeturudisha nyuma sana aise dah!

huu ni mzaha sio mzaha Gentleman?🐒
UPINZANI HANA PESA KAMA NYIE CCM ,HAWANA JESHI KAMA NYIE MLIVYO NA POLISI,HAWANA SIRAHA KAMA ZETU .

CCM MNA NUKA DAMU ZA WATU NA MUNGU AMEWANYAMANZIA ,CCM MUMEUA WATU WENGI SANA.

UPINZANI HAWANA MAHAKAMA NYINGINE ZAIDI YA KUTUMIA MAHAKAMA YAO YA JADI

NYIE CCM MNATURUDISHA NYUMA SANA!!
 
Hatimaye kijana Nondo kapatikana muda huu,akiwa ametupwa nje ya Makao Makuu ya Ofisi za ACT.

Taarifa za awali zinasema yupo Mahututi hajiwezi kwa lolote ,hata kuongea ni shida.
===============
Kwa upande mwingine Malisa ametoa maelezo mengine kupitia kwenye ukurasa wake wa Instagram

Wasamaria wema" waliomuokota Nondo Coco Beach kwanini wamempeleka ofisini badala ya hospitali? Inaelezwa Nondo amejeruhiwa vibaya na hawezi kutembea wala kuongea.

"Sasa wamempeleka ofisi za chama akafanye nini? Anyway, its a good thing kama chama kimechukua initiatives za kimkimbiza Aghakhan kwa matibabu. Kwa sasa kipaumbele kiwe afya yake kwanza, Hayo mengine tutayajua vizuri akishapona".

Soma Pia: Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli

Source
Boniphace Jacob
Ex mayor.

View attachment 3166864
Ashukuriwe Mwenyezi Mungu aliyemuokoa na kifo.
 
gentleman,
embu acha masikhara bas kwenye mambo ya msingi kama hayo aise, kua na shukrani tafadhali hata kidogo tu 🐒
Shukrani kwa kuwa na majengo ya Hospitali bila ya kuwa na Tabibu, madawa wala vifaa tiba?
Hebu kuwa siriasi kidogo ingawa ni kawaida yenu Wana CCM kufanya maskhara kwa maisha ya watanzania.
 
Lazima kue na miundombinu kamilifu kisha hayo mengine yapate nafasi.

madawa utayaweka kwenye jengo la tope gentleman? au unataka madaktari waishi kama vindege?

nashukuru kwa kutambua uwepo wa majengo ya maana kwa madhumuni ya kutolea huduma za Afya 🐒
Shukrani kwa kuwa na majengo ya Hospitali bila ya kuwa na Tabibu, madawa wala vifaa tiba?
Hebu kuwa siriasi kidogo ingawa ni kawaida yenu Wana CCM kufanya maskhara kwa maisha ya watanzania.
UPINZANI HANA PESA KAMA NYIE CCM ,HAWANA JESHI KAMA NYIE MLIVYO NA POLISI,HAWANA SIRAHA KAMA ZETU .

CCM MNA NUKA DAMU ZA WATU NA MUNGU AMEWANYAMANZIA ,CCM MUMEUA WATU WENGI SANA.

UPINZANI HAWANA MAHAKAMA NYINGINE ZAIDI YA KUTUMIA MAHAKAMA YAO YA JADI

NYIE CCM MNATURUDISHA NYUMA SANA!!
Gentleman,
siasa ni sayansi.

siasa ni mipango mikakati madhubuti, hayo mengine ni ya ziada tu 🐒
 


Tanzania opposition youth leader dumped at beach after abduction​

02 Dec 2024

Tzyouthl.b

Image: ACT Wazalendo

Tanzanian opposition youth leader Abdul Nondo has been found after being dumped at a beach, less than a day after he was reportedly kidnapped in the main city of Dar es Salaam.

His party, ACT Wazalendo, says Nondo was severely beaten and injured and has been taken to hospital.
The party’s deputy chairperson, Isihaka Mchinjita, said Nondo had been blindfolded and repeatedly assaulted while being threatened with death.

The police have issued a statement confirming the incident at Coco Beach late on Sunday night, saying they are investigating the matter.
They said he had been abandoned at the beach by his abductors and had sought help from a motorcycle taxi rider, who then took him to the party offices.

“From there, party leaders rushed him to the hospital for treatment. We are investigating and we will take legal action,” police spokesman David Misime said on Monday morning.
After visiting him in hospital, Mchinjita said in an earlier update at 02:00 local time (23:00 GMT), that Nondo had been beaten “for a long time” before being dumped at the beach where the abductors “removed his blindfold and handcuffs”.

“Nondo said his abductors threatened him, warning him that if they capture him again, they would not spare his life,” he added The motive behind his abduction is not clear.

On Sunday, ACT Wazalendo said Nondo was snatched minutes after he had arrived from the western region of the country where he had been campaigning for the party’s candidates in last week’s local elections.

He had been taken from a bus station in Dar es Salaam in the early hours of Sunday by two individuals travelling in a white four-wheel-drive vehicle.
The police now say investigations are under way to identify the suspects and determine their motive.

This incident follows the kidnapping and killing of a senior leader from the main opposition party in September.
In that case, Chadema’s Ali Mohamed Kibao was taken from a bus, beaten and then doused with acid. President Samia Suluhu Hassan denounced the incident and called for an investigation into the murder.
Source: BBC
 

Kiongozi wa Ngome ya vijana wa upinzani Tanzania atupwa ufukweni baada ya kutekwa nyara​

2 Desemba 2024

Tzouthl.b

Image: ACT Wazalendo

Kiongozi wa ngome ya vijana wa upinzani Tanzania ACT Wazalendo, Abdul Nondo amepatikana baada ya kutupwa ufukweni, chini ya siku moja baada ya kuripotiwa kutekwa nyara katika jiji kuu la Dar es Salaam.

Chama chake, ACT Wazalendo, kinasema Nondo alipigwa na kujeruhiwa vibaya na amelazwa hospitalini.


Naibu Mwenyekiti wa chama hicho, Isihaka Mchinjita, alisema Nondo amezibwa macho na kushambuliwa mara kwa mara huku akitishiwa kuuawa.


Polisi wametoa taarifa kuthibitisha kisa hicho katika ufukwe wa Coco beach Oysterbay jijini Dar es Salaam siku ya Jumapili usiku, wakisema wanachunguza kisa hicho.

Walisema alikuwa ametelekezwa ufukweni na watekaji wake na aliomba msaada kwa mwendesha teksi ya pikipiki bodaboda , ambaye alimpeleka katika ofisi za chama.


“Kutoka hapo viongozi wa chama walimkimbiza hospitalini kwa matibabu. Tunachunguza na tutachukua hatua za kisheria,” msemaji wa polisi David Misime alisema Jumatatu asubuhi.


Baada ya kumtembelea hospitalini, Mchinjita alisema katika taarifa yake ya awali saa 7 usiku , kwamba Nondo alipigwa "muda mrefu" kabla ya kutupwa ufukweni ambako watekaji "walimvua kitambaa machoni na kumpiga. pingu”.


"Nondo alisema waliomteka nyara walimtisha na kumuonya kwamba wakimkamata tena, hawatamuokoa maisha yake," aliongeza. Sababu ya kutekwa nyara kwake haijabainika.


Siku ya Jumapili, ACT Wazalendo kilisema Abdul Nondo alinyakuliwa dakika chache baada ya kuwasili kutoka eneo la Magharibi mwa nchi la Kigoma ambako alikuwa akiwapigia kampeni wagombea wa chama hicho katika uchaguzi wa mitaa uliofanyika wiki iliyopita uliogubikwa na utata kiasi kuitwa uchafuzi wa uchaguzi wa TAMISEMI 2024

.
Alikuwa amechukuliwa kutoka kituo cha basi jijini Dar es Salaam alfajiri ya Jumapili na watu wawili waliokuwa wakisafiri kwa gari jeupe la magurudumu manne.


Polisi sasa wanasema uchunguzi unaendelea ili kubaini washukiwa na kubaini nia yao.
Tukio hili linafuatia kutekwa nyara na kuuawa kwa kiongozi mwandamizi kutoka chama kikuu cha upinzani CHADEMA mwezi Septemba 2024.


Katika utekaji wa kiongozi mwandamizi, Ali Mohamed Kibao wa CHADEMA alitolewa kwenye basi na kupigwa kisha kumwagiwa tindikali. Rais Samia Suluhu Hassan alikemea tukio hilo na kutaka uchunguzi wa mauaji hayo ufanyike.
Chanzo: BBC
 
At least huyu kapatikana haraka tena akiwa bado anapumua


Bado kina soka, Chaula na wengine.
Mungu ajalie nao waachiwe wazazi wao na familia wam shukuru Mungu kwa kurejea kwao salama.
Maana wanalia usiku na mchana
 
Ngoja tuone mwisho wa haya utakuwa vipi


Umewaza kama mimi aisee!
Hata awamu ilopita nilikuwa nawaza hivi hivi nikawa namsihi Mwenyezi Mungu kimoyomoyo anijalie kuona mwisho wake utavyokuwa na kweli Mungu ni Mwaminifu alinionesha namshukuru kwa kweli.
Na Halafu wakiwa ulingoni kwenye uongozi Pengine huenda wanajiona aaah hivi na hivi Iła watakaookuwa nje ya uwanja watajuta maisha yao yote.
Watatakani siku zirudishwe nyuma wawatendee Watu yaliyo ya haki na kuacha udhalimu na uonevu lakini itakuwa haiwezekani.
Saingine Watakuwa wanalala usingizi kwa kunywa madawa makali siku zote.
Usingizi wa kawaida itakuwa ni kama ndoto kwao.
 
wa
Haya sasa mko humu kuongelea Nondo. Hivi hamuoni huu ni mchezo. Atekwe kwa lipi?

Mbona mnakuwa wazito kujumlisha na kutoa hii hesabu. Mnaacha kumuongelea Soka na Mdude mnamuwazia sijui nondo.

Hii ni daganganya toto Nanyi mmeingia box. Upinzani bongo ni sarakasi mweh

Aicitii na sisiem na sisiem ni aicitii.

Uongozi wa chama cha pande ile kurukia habari bila kuichambua. Kuna watu wanakula mkwanja kuigiza. Haya Sasa mmeambiwa kaokotwa kapele kwa ofwisi.


mmnh?!
 
Watu wanauana kisa utawala halafu miaka mia mbele kizazi chote hiki kitakuwa kaburini yani huu ujinga wanaoufanya ni balaa.

Ccm acheni tamaa mtamaliza watu bure mbwa nyie hamna hata huruma.

Umenifanya kuwaza marais wa awamu kadhaa nyingi hawapo tena Duniani na hivi miaka ya juzi kati karibuni walikuwepo.
Julius , Alli, Benyamini na Yoseph 🙆‍♂️🤦‍♀️😭😭
Wote wameshalala mazima 😭
Kwanini tusijitahidi kutendeana yaliyo ya haki ??
RIP all.
 
Ila huyu kaka anapitia mateso ktk harakati zake, si aachane tyuu na siasa zitakuja mpa matatizo makubwa zaidi au Kifo kabisa.

Namuonea huruma, [emoji25][emoji25][emoji25]
 
Nani aliye nyuma ya haya?, na ni kwanini wanatekwa kwani wameongea nini kibaya,


Na kama ni kibaya sheria zinademaje?
Katiba inasemaje ?
Je atekwe ?
Je auwawe ?
Je apotezwe ?
Au apelekwe mahakamani ili ikamuliwe vile inavyostahili kwa haki ?
Je Viongozi hawa huwa wanaapa kwa kushika vitabu vitakatifu Kwamba watazingatia na kuheshimu Katiba ya nchi ??
 
Ila huyu kaka anapitia mateso ktk harakati zake, si aachane tyuu na siasa zitakuja mpa matatizo makubwa zaidi au Kifo kabisa.

Namuonea huruma, [emoji25][emoji25][emoji25]


Hapana wacha aendelee na juhudi zake na Mungu atazidi kumpigania na kushinda,
Hana baya.
Ako na karama ya tofauti na Mungu atamuwezesha kufika mbali.
 
Binafsi nimesikitishwa sana na tukio la huyu dogo kutekwa Kwa sababu Kwa muda niliowafahamu na kuwafuatilia ACT Wazalendo hawajawahi kuwa na Lugha za maudhi ,dharau au kutukana viongozi kama Chadema unless mnisahijishe.

Wanafanya saisa za ukosoaji za kistaarabu Sasa Kwa nini atekwe? Angekuwa mtu wa Chadema nisingestuka Kwa sababu ya hulka yao.

Pole sana Kwa dogo ila kama ukosoaji tuu haitakiwi basi Hali si Hali.

Kuna watu wanamtengenezea mama Bomu,subirieni mtakuja kuona.


Sasa kwenye uongozi wa democracy bila kukosoana kutakuwa na ufanisi gani?
Watu wasitoe maoni yao jamani wakati ni haki yao ??
Unajua unaooongoza Watu (binadamu) ni tofauti na kuongoza wanyama kwa mfano.

Actually kusema kukosoa liko hasi lakini tu sema watu kutoa maoni yao Zidi ya mambo yanayohusu Taifa lao na hatima ya vizazi vyao.
 
Back
Top Bottom