Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
HakikaSHETANI HAWEZI SHIDA.
Mwisho wao umefika RasmiCCM wanahofu sana
Labda mwisho wa Sacco's yenu.Mwisho wao umefika Rasmi
Hakuna wa kuipa hofu CCM. Taifa hili litaendelea kuwa mikononi Mwa CCM kwa kadri ya uhai wake.CCM wanahofu sana
Unachafua uzi huu ili kumhujumu nani?
Muulize kwanini hataki Tume Huru?Hakuna wa kuipa hofu CCM. Taifa hili litaendelea kuwa mikononi Mwa CCM kwa kadri ya uhai wake.View attachment 3116344View attachment 3116344
Hongera sana Boni Yai. MaCCM yamepata kiboko yao. Yatapambana lakini hayatashinda, manyang'au makubwa!View attachment 3116335
Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba, Mahabusu aliye jela ya Segerea, Boniface Jackob, Boni Yai, Bonny Dongo au Ngumi Jiwe, leo Amechaguliwa kwa kishindo kuwa Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani.
Kwa Maana hii ni kwamba, Kuanzia Muda huu Bonny Dongo anakuwa moja kwa moja ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema.
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Boniface Jacob kurejesha fomu ya kugombea Uenyekiti wa Kanda ya Pwani tarehe 05/09/2024 kwa Maandamano
Kama Mama anapendwa wekeni Uchaguzi Huru na wa Haki tuone.Hakuna wa kuipa hofu CCM. Taifa hili litaendelea kuwa mikononi Mwa CCM kwa kadri ya uhai wake.View attachment 3116344View attachment 3116344
Muulize kwanini anataka Wakurugenzi anaowateua Abdul ndio Wasimamie uchaguzi?Hata ije Tume ya uchaguzi kutoka Marekani bado CCM itapita na kushinda kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima.
Embu pata burudani kidogo hapa👎
View attachment 3116353
View attachment 3116353
View attachment 3116353
Mbona picha hii ni watoto wa shule ya msingi ????Hakuna wa kuipa hofu CCM. Taifa hili litaendelea kuwa mikononi Mwa CCM kwa kadri ya uhai wake.View attachment 3116344View attachment 3116344