Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 8,939
- 10,403
Lucas mwoshambwa aka chawa mchafuLabda mwisho wa Sacco's yenu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lucas mwoshambwa aka chawa mchafuLabda mwisho wa Sacco's yenu.
Pigo kwa masisiyemu na mapandikizi yakeView attachment 3116335
Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba, Mahabusu aliye jela ya Segerea, Boniface Jackob, Boni Yai, Bonny Dongo au Ngumi Jiwe, leo Amechaguliwa kwa kishindo kuwa Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani, Baada ya kujizolea 77% ya kura zote.
Kwa Maana hii ni kwamba, Kuanzia Muda huu Bonny Dongo anakuwa moja kwa moja ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema.
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Boniface Jacob kurejesha fomu ya kugombea Uenyekiti wa Kanda ya Pwani tarehe 05/09/2024 kwa Maandamano
Chama Cha Mashetani CCMSHETANI HAWEZI SHINDA.
Kwani CCM siyo SACOS? Sema ina mtaji mkubwa Ngorongoro, DPW nk .Siku ukishtuka utajua hautaitamani Tena CCM. Labda kama unapanda hisa!Labda mwisho wa Sacco's yenu.
Yaani Moja ya WanaCCM washamba na Wajinga wewe ni top. Utaelewa tu as day as goes onLabda mwisho wa Sacco's yenu.
Umenikumbusha,Yaan huyo pimbi alizinguaaa akanya wee.Kuna chawa mmoja tena Kupe kabisa alisema Boni Yai hatoboi. Njoo hapa Tlaatlaah ubatilishe kauli zako
Mkuu hawa mbona safari hii ni jino kwa jino, halafu hawa viongozi wao serikali za mitaa ndio hovyo kabisa weupe mnoo barua ikiwa ya kiingereza tu lazima wanitafute na 2,000 lazima wanipe 🤣🤣🤣Umenikumbusha,Yaan huyo pimbi alizinguaaa akanya wee.
Sasa hivi aje kuzoa uhalo wake
Kuna kazi ngumu sana mbele ya safari kabla ya hayo matamanio kupatikana.Mwisho wao umefika Rasmi
Imenibidi nicheke baada ya kuangalia hiyo picha. Huyu mtu Lucas akili zake haziko sawasawa. Huyu ni mgonjwa.Unachafua uzi huu ili kumhujumu nani?
Mbowe amefanikisha kusimika vijana wake lissu chalii kifo cha mende!View attachment 3116335
Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba, Mahabusu aliye jela ya Segerea, Boniface Jackob, Boni Yai, Bonny Dongo au Ngumi Jiwe, leo Amechaguliwa kwa kishindo kuwa Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani, Baada ya kujizolea 77% ya kura zote.
Kwa Maana hii ni kwamba, Kuanzia Muda huu Bonny Dongo anakuwa moja kwa moja ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema.
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Boniface Jacob kurejesha fomu ya kugombea Uenyekiti wa Kanda ya Pwani tarehe 05/09/2024 kwa Maandamano
J3 hiyoooView attachment 3116335
Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba, Mahabusu aliye jela ya Segerea, Boniface Jackob, Boni Yai, Bonny Dongo au Ngumi Jiwe, leo Amechaguliwa kwa kishindo kuwa Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani, Baada ya kujizolea 77% ya kura zote.
Kwa Maana hii ni kwamba, Kuanzia Muda huu Bonny Dongo anakuwa moja kwa moja ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema.
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Boniface Jacob kurejesha fomu ya kugombea Uenyekiti wa Kanda ya Pwani tarehe 05/09/2024 kwa Maandamano
Watu wengi hawana upendo wa dhati, wanadanganya tu ili wasitekwe au kuuawa. Kwenye Uchaguzi ulio huru na haki utashangaa. Hata hivyo CCM itamueka mgombea anayekubalika na Mwanaume atakayejali uhai na utu wa binadamu wote.Hakuna wa kuipa hofu CCM. Taifa hili litaendelea kuwa mikononi Mwa CCM kwa kadri ya uhai wake.View attachment 3116344View attachment 3116344
Mwisho wa uongozi wenu wa wasagaji na wafirajiLabda mwisho wa Sacco's yenu.
Mashetani yanahaha na chama chao. 😄😄😄 hayachomoki safari hii.Chama Cha Mashetani CCM
Kwanini mnapita mashuleni kuandikisha wanafunzi kidigitali Ili wawapigie kura?Hakuna wa kuipa hofu CCM. Taifa hili litaendelea kuwa mikononi Mwa CCM kwa kadri ya uhai wake.View attachment 3116344View attachment 3116344
Ni sawa!Hakuna wa kuipa hofu CCM. Taifa hili litaendelea kuwa mikononi Mwa CCM kwa kadri ya uhai wake.View attachment 3116344View attachment 3116344
Mwisho wa matekaji na mauwaji pamoja na mazezeta Yao yenye kuleta nyuzi ndefu za kipumbavu yakifikiri yatateuliwa ukuu wa wilaya.Labda mwisho wa Sacco's yenu.