Uvccm mfuu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2024
- 453
- 492
Usiyaamin mapumbavu ya ccm.Kuna chawa mmoja tena Kupe kabisa alisema Boni Yai hatoboi. Njoo hapa Tlaatlaah ubatilishe kauli zako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiyaamin mapumbavu ya ccm.Kuna chawa mmoja tena Kupe kabisa alisema Boni Yai hatoboi. Njoo hapa Tlaatlaah ubatilishe kauli zako
Hakuna wa kuipa hofu CCM. Taifa hili litaendelea kuwa mikononi Mwa CCM kwa kadri ya uhai wake.View attachment 3116344View attachment 3116344
Timu Lusu wanazidi kugaragazwa chiniView attachment 3116335
Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba, Mahabusu aliye jela ya Segerea, Boniface Jackob, Boni Yai, Bonny Dongo au Ngumi Jiwe, leo Amechaguliwa kwa kishindo kuwa Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani, Baada ya kujizolea 77% ya kura zote.
Kwa Maana hii ni kwamba, Kuanzia Muda huu Bonny Dongo anakuwa moja kwa moja ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema.
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Boniface Jacob kurejesha fomu ya kugombea Uenyekiti wa Kanda ya Pwani tarehe 05/09/2024 kwa Maandamano
Nimpongeze mchaga Patrick Assenga kushinda cheo Cha nweja hazina wa pesa za Chadema kanda
Uwe na adabu kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.Unafikiri bila hawa askari wetu wazalendo na waliojitolea maisha yao kutulinda ungepata wapi uhuru wa kuja kuandika ujinga wako hapa?View attachment 3116539
Lakini bila ya hawa mbwa hamna kitu mlichokuwa mnakiweza.
Ni nani huyo ambaye ana sifa hizo huko CCM. Labda wamuweke Luhaga Mpina 😂Watu wengi hawana upendo wa dhati, wanadanganya tu ili wasitekwe au kuuawa. Kwenye Uchaguzi ulio huru na haki utashangaa. Hata hivyo CCM itamueka mgombea anayekubalika na Mwanaume atakayejali uhai na utu wa binadamu wote.
Kete ya "King" kwa mbogamboga fc ikikosekana hio tutashuhudia maajabu mengine 😂View attachment 3116539
Lakini bila ya hawa mbwa hamna kitu mlichokuwa mnakiweza.
Hakuna saccos mkuu ,Demokrasia imetamalaki!Ngoja muanze kupitisha wagombeavwenu Hakika mwashambwa na uchawa wako sijui kama meno Yako yatasalimika!Labda mwisho wa Sacco's yenu.
Ndio kazi waliyoomba hata ulaya wapo!Uwe na adabu kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.Unafikiri bila hawa askari wetu wazalendo na waliojitolea maisha yao kutulinda ungepata wapi uhuru wa kuja kuandika ujinga wako hapa?
Angalia aliyeshika cheo cha mweka hazina Patrick Assenga ni wa kule kwa mwenye saccos Mbowe mshika fuko la fedha la ChademaHakuna saccos mkuu ,Demokrasia imetamalaki!Ngoja muanze kupitisha wagombeavwenu Hakika mwashambwa na uchawa wako sijui kama meno Yako yatasalimika!
😂Mbona picha hii ni watoto wa shule ya msingi ????
Leo siku kutembelea mahabusu....naona wamefanikiwa sana kumbakiza jela kwa miezi kadhaa.......Lema alikaa miezi 4 KisongoView attachment 3116335
Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba, Mahabusu aliye jela ya Segerea, Boniface Jackob, Boni Yai, Bonny Dongo au Ngumi Jiwe, leo Amechaguliwa kwa kishindo kuwa Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani, Baada ya kujizolea 77% ya kura zote.
Kwa Maana hii ni kwamba, Kuanzia Muda huu Bonny Dongo anakuwa moja kwa moja ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema.
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Boniface Jacob kurejesha fomu ya kugombea Uenyekiti wa Kanda ya Pwani tarehe 05/09/2024 kwa Maandamano
Hongera zaoLeo siku kutembelea mahabusu....naona wamefanikiwa sana kumbakiza jela kwa miezi kadhaa.......Lema alikaa miezi 4 Kisongo
Huna ujanja huo, Muulize MuliroNgoja tushughulike na mayai yake,
Na wewe ushike adabu na adabu ikushike na mbwa wenu wa kipoliccm, sema bila ya hawo mbwa ccm isingekuwa hapo ilipo.Uwe na adabu kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.Unafikiri bila hawa askari wetu wazalendo na waliojitolea maisha yao kutulinda ungepata wapi uhuru wa kuja kuandika ujinga wako hapa?
Bilicanas bado ipo? Au yale mashamba ya Mwenyekiti ya Wilaya ya HaiHuna ujanja huo, Muulize Muliro