Pre GE2025 Boniface Jacob achaguliwa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Pigo kwa masisiyemu na mapandikizi yake
 
Umenikumbusha,Yaan huyo pimbi alizinguaaa akanya wee.

Sasa hivi aje kuzoa uhalo wake
Mkuu hawa mbona safari hii ni jino kwa jino, halafu hawa viongozi wao serikali za mitaa ndio hovyo kabisa weupe mnoo barua ikiwa ya kiingereza tu lazima wanitafute na 2,000 lazima wanipe 🀣🀣🀣
 
Mwisho wao umefika Rasmi
Kuna kazi ngumu sana mbele ya safari kabla ya hayo matamanio kupatikana.
Sijui kama kazi hiyo nzito CHADEMA kwa kushirikiana na wananchi wataimudu katika muda huu mfupi ulio baki.

Pengine itabidi kuweka matumaini huko huko ndani ya CCM yenyewe kujigeuza rangi kama kinyonga! Bora nusu shari kuliko shari kamili. Wengine tupo tayari kupokea mabadiliko yoyote toka mahali popote wakati huu.
 
Mbowe amefanikisha kusimika vijana wake lissu chalii kifo cha mende!
 
J3 hiyooo
 
Hakuna wa kuipa hofu CCM. Taifa hili litaendelea kuwa mikononi Mwa CCM kwa kadri ya uhai wake.View attachment 3116344View attachment 3116344
Ni sawa!

Sasa risasi.za Nini!!?wakati spinning na kuwa pro active kungetosha!!

Ni kusema intelligence ya chama imekufa au wamepewa wajinga!!?
Tufikiri kwa pamoja!!!

Hii teka teka,potea potea ni kuiga Yale ya miaka 1994 kule Rwanda pale ambapo mapanga yaligeukambadala wa hoja!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…