Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
YapNaelewa mkuu. Na kibaya hatuna kisingizio, tumekuwa waoga kupita maelezo. Hawa wachache wanaojitolea wanapaswa kupaza sauti kwa ajili ya wengi ikiwemo sisi waoga wanapaswa kuungwa mkono kwa namna yoyote ile. Hata maombi ikiwemo.
Mnadhani nyie akina mama wa CCM mpo salama snTulieni mtiwe adabu,uhuru hamuuwezi
Kwa kosa la kuwa ChademaNafikiri hili ndio lengo kukamata viongozi wa CHADEMA. Sasa sijui watawashitaki kwa kosa gani.
Kwahiyo tusubirie kuambiwa MBOWE ndio kamteka huku LISU na MNYIKA wakiwa waratibu wa huo utekaji.
Hakuna namna ni kuwatajaAtakuwa ameenda kuhojiwa kuhusu watekaji na wauaji maana aliwataja kwa majina.
Fake newsKupitia Mtandao wa X, Askofu Mwamakula amesema Kuna taarifa kuwa aliyekuwa Meya wa Ubungo, Boniface Jacob amenyakuliwa na defenda akiwa kikaoni Sinza, Dar es Salaam na haijulikani kapelekwa wapi. Sisi Askofu Mwamakula tunatoa wito kama ni Polisi wamemchukua waseme maana huyo ni kiongozi wa jamii hawezi kunyakuliwa kama mwizi.
Kuna kiongozi mmoja mkubwa anaipeleka nchi kusiko!Kupitia Mtandao wa X, Askofu Mwamakula amesema Kuna taarifa kuwa aliyekuwa Meya wa Ubungo, Boniface Jacob amenyakuliwa na defenda akiwa kikaoni Sinza, Dar es Salaam na haijulikani kapelekwa wapi. Sisi Askofu Mwamakula tunatoa wito kama ni Polisi wamemchukua waseme maana huyo ni kiongozi wa jamii hawezi kunyakuliwa kama mwizi.
Mzanzibari ndio kaamua, wema hasaraHapo tuandae matanga tu. Dola imeamua