Boniface Jacob adaiwa kukamatwa na watu waliokuja na gari aina ya defender. Kamanda Kitwinkwi asema hana taarifa hizo

Boniface Jacob adaiwa kukamatwa na watu waliokuja na gari aina ya defender. Kamanda Kitwinkwi asema hana taarifa hizo

Wakati Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kikisema kada wake aliyekuwa meya wa zamani wa Ubungo, Boniface Jacob 'Boni Yai' amekamatwa na Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamanda wa Polisi wa Kinondoni, Mtatiro Kitwinkwi amesema hana taarifa.

Taarifa za Jacob kukamatwa, zimeanza kusambaa mitandaoni dakika chache zilizopita leo Jumatano, Septemba 18, 2024 na kwamba amekamatiwa Sinza, jijini Dar es Salaam.

Mwananchi limemtafuta, Wakili wa CHADEMA, Hekima Mwasipu ambaye amesema yupo njiani kuelekea Kituo cha Polisi cha Osterbay.

“Ni kweli amekamatwa na polisi waliovalia sare na wengine wamevalia kiraia maeneo ya Sinza. Walikuwa na defender na tuna taarifa kuwa amepelekwa Osterbay polisi na mimi niko njiani nakwenda.”
Awape tu taarifa kamili ya watekaji na wauaji ili Tume ya uchunguzi iyafanyie kazi.
 
Hakuna sababu ya kufanyika yote hayo kama ni kweli,kwanini majibu ya maswali kuhusu utekaji,uuwaji,utesaji,na mashambulio yaliyofanywa yaliyokwisha chunguzwa yasitolewe majibu? Badala ya kukamatwa wanaoomba kupatiwa majibu?
 
Kupitia Mtandao wa X, Askofu Mwamakula amesema Kuna taarifa kuwa aliyekuwa Meya wa Ubungo, Boniface Jacob amenyakuliwa na defenda akiwa kikaoni Sinza, Dar es Salaam na haijulikani kapelekwa wapi. Sisi Askofu Mwamakula tunatoa wito kama ni Polisi wamemchukua waseme maana huyo ni kiongozi wa jamii hawezi kunyakuliwa kama mwizi.

Wanafanya haya kwa sababu wanajua watajiweka wenyewe madarakani...hawahitaji kura za watanzania....ipo siku lakini nao watalia tu...
 
Kupitia Mtandao wa X, Askofu Mwamakula amesema Kuna taarifa kuwa aliyekuwa Meya wa Ubungo, Boniface Jacob amenyakuliwa na defenda akiwa kikaoni Sinza, Dar es Salaam na haijulikani kapelekwa wapi. Sisi Askofu Mwamakula tunatoa wito kama ni Polisi wamemchukua waseme maana huyo ni kiongozi wa jamii hawezi kunyakuliwa kama mwizi.

Wakati Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kikisema kada wake aliyekuwa meya wa zamani wa Ubungo, Boniface Jacob 'Boni Yai' amekamatwa na Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamanda wa Polisi wa Kinondoni, Mtatiro Kitwinkwi amesema hana taarifa.

Akizungumza na Mwananchi kamanda Kitwinkwi kuhusu sakata hilo amesema: “Hapana, sina taarifa.”

Taarifa za Jacob kukamatwa, zimeanza kusambaa mitandaoni dakika chache zilizopita leo Jumatano, Septemba 18, 2024 na kwamba amekamatiwa Sinza, jijini Dar es Salaam.

Mwananchi limemtafuta, Wakili wa Chadema, Hekima Mwasipu ambaye amesema yupo njiani kuelekea Kituo cha Polisi cha Osterbay.

“Ni kweli amekamatwa na polisi waliovalia sare na wengine wamevalia kiraia maeneo ya Sinza. Walikuwa na defender na tuna taarifa kuwa amepelekwa Osterbay polisi na mimi niko njiani nakwenda.”
Chadema hadi mjambe cheche ...niliwaambia msifurahie kifo cha JPM kabla ya kujua aliuliwa au la mkaniona mpumbavu 😁😁😁
 
Maana yake yeye na wasaidizi wake.

Au ukitaka kumbrabd as gender quer?
Askofu anajua kuandika "Mimi na wasaidizi wangu". Au "Sisi" bila kuweka "Askofu Mwamakula". Hiyo "Sisi Askofu Mwamakusi..." ni "Royal Plural".

Wafalme kama wa Uingereza mpaka Haile Selassie waliitumia kumaanisha maneno wanayoyasema si yao na ya wasaidizi wao tu, bqli yanawakikisha mpaka vizazo vyote vilivyopita, vilivyopo na vinavyokuja.

Ukisikiliza hotuba za Wafalme, kwa mfano kwenye ile hotuba ya Negus Nagas Emperor Haile Selassie iliyowekwa kwenye wimbo na Bob Marley, wimbo wa "War". Utagundua mfalme Haile Selassie hajatumia "I". Ametumia "We" karibu mara zote.

"Sisi Askofu Mwamakula" ni katika muktadha huo.

#FreeBoniYai
 
Ila wabongo ni wajinga sana kama bado wanachukuliwa tu kienyeji tena kikaoni na watu wanaojitambulisha tu kuwa ni polisi bila ithibati yoyote.
 
LAANA NILIYO WAAMBIENI JUU YA IBILISI NIYA KWELI AU UONGO ...KAMA IBILISI AKIENDELEA NA UONGOZI ZAIDI YA SASA DAMU NYINGI SANA ITAMWAGIKA ...MIMI NI GENIUS SIBAHATISHI NINACHO SEMA


SALAMU SA100 UMEJAALAANA NA ABDUL MZAWA WA TUMBO LAKO KALAANIWA TOKEA SASA VIZAZI VYOTE WATAKUITA MLAANIWA.
 
Malisa.png

Watu waliokua na silaha ambao wamejitambulisha kuwa ni Polisi, wamemvamia Meya wa Zamani wa Ubungo @exmayor_bonifacejacob maeneo ya Golden Fork, Sinza alipokua akipata chakula na kumkamata. Bonny amepambana kujitetea lakini wamemzidi nguvu kwa kuwa wapo wengi na wana silaha. Wamefanikiwa kuondoka nae.

Baadhi ya watu wamefuatilia gari hilo na kuona likielekea kituo cha Polisi Oysterbay. Viongozi mbalimbali wa chama pamoja na Wanasheria wanaelekea kituoni hapo kujua sababu ya kukamatwa kwake. Taarifa zaidi zitawajia.!
 
Back
Top Bottom