Kwani Lissu akiwa Mwenyekiti kuna Shidagani?" Kuna lugha ukianza kuongea tunajua huyu mbona sio mwenzetu, Chadema tunajuana".
" Kuna wengine wanasema liwalo na liwe tupasue mtumbwi tugawane mbao "
"Ukianza kuongea mambo yetu ya ndani kwa watu, sisi tunajua wewe sio mwenzetu, Chama hiki hakiwezi kufa kwa sababu ya mtu, anaetaka kuondoka aondoke, autuachie chama chetu"
Haya ni maneno ya Boniface Jacob, Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani na kijana wa karibu wa Mbowe wakati akizindua ofisi ya chama wilaya ya Kinondoni, ambapo Freeman Mbowe alikuwa mgeni rasmi.
Hivi jitu unakuaje mjinga hadi unakuwa kama Boni yai,ni shauri ya kula sana au?" Kuna lugha ukianza kuongea tunajua huyu mbona sio mwenzetu, Chadema tunajuana".
" Kuna wengine wanasema liwalo na liwe tupasue mtumbwi tugawane mbao "
"Ukianza kuongea mambo yetu ya ndani kwa watu, sisi tunajua wewe sio mwenzetu, Chama hiki hakiwezi kufa kwa sababu ya mtu, anaetaka kuondoka aondoke, autuachie chama chetu"
Haya ni maneno ya Boniface Jacob, Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani na kijana wa karibu wa Mbowe wakati akizindua ofisi ya chama wilaya ya Kinondoni, ambapo Freeman Mbowe alikuwa mgeni rasmi.
Bonge nyanya anawashwa. Demokrasia inabeba vingi ikiwemo freedom of speech" Kuna lugha ukianza kuongea tunajua huyu mbona sio mwenzetu, Chadema tunajuana".
" Kuna wengine wanasema liwalo na liwe tupasue mtumbwi tugawane mbao "
"Ukianza kuongea mambo yetu ya ndani kwa watu, sisi tunajua wewe sio mwenzetu, Chama hiki hakiwezi kufa kwa sababu ya mtu, anaetaka kuondoka aondoke, autuachie chama chetu"
Haya ni maneno ya Boniface Jacob, Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani na kijana wa karibu wa Mbowe wakati akizindua ofisi ya chama wilaya ya Kinondoni, ambapo Freeman Mbowe alikuwa mgeni rasmi.
Wanataka Lissu awaachie chama chao awataki mtu aguse kiti cha Mbowe.Kwani Lissu akiwa Mwenyekiti kuna Shidagani?
Inamaana hawa jamaa kuna kitu wanakifaidi ndani ya chadema ambacho sisi wanachama hatukijui?
Mbowe bado atabaki kuwa mtu Potential sana hata akiwa nje ya Wenyekiti
Kafa wa Chama Cha Mashenzini umehamia lini CHADEMA?Bon Yai utaondoka wewe Lisu utamwacha
Chadema siyo Mali ya Mtei family
Tutusa Ngada wahed ๐ผ๐ผ๐ผ
Chadema ni Taasisi ya Umma kwahiyo ni Rasilimali ya nchiKafa wa Chama Cha Mashenzini umehamia lini CHADEMA?
kuna haja gani awe nje ya uenyekiti sasa kama ni potential?๐Kwani Lissu akiwa Mwenyekiti kuna Shidagani?
Inamaana hawa jamaa kuna kitu wanakifaidi ndani ya chadema ambacho sisi wanachama hatukijui?
Mbowe bado atabaki kuwa mtu Potential sana hata akiwa nje ya Wenyekiti
Unajifurahisha kwenye key board hapa mkuu ...Boni ndio amtishe Jabali la kisiasa nchi hii TAL. Sisi wapiga kura mnaotegemea tuandamane licha ya kutokua na kadi ya chama chochote tunamuhitaji Lisu aongoze CDM kama mwenyekiti. Nyie chawa mnaotegemea fadhila za mwenyekiti Ili mpate kula tafadhari muondoke na Mwenyekiti wenu.
Hakuna jambo jipya Mbowe anaweza kufanya ambalo hajafanya miaka 22 iliyopita.
ni muhimu sana hawa vibaraka wakatizamwa kwa umakini mkubwa sana wasivuruge taasisi kwa maslahi yao binafsi na waliowatuma ๐Chadema ni Taasisi ya Umma kwahiyo ni Rasilimali ya nchi
Tutamtetea Mtu yoyote Mwenye Uzalendo
Waliwaonea akina Zitto, Dr Slaa, nk tukakaa kimya ila sasa Yatosha ๐ผ
Mrema na Mbowe mapandikiziUnajifurahisha kwenye key board hapa mkuu ...
Wacha kumtegemea sana binadamu, ataku dissappint hutaamini..
Waulize washabiki wa Mrema?
Boni ndio amtishe Jabali la kisiasa nchi hii TAL. Sisi wapiga kura mnaotegemea tuandamane licha ya kutokua na kadi ya chama chochote tunamuhitaji Lisu aongoze CDM kama mwenyekiti. Nyie chawa mnaotegemea fadhila za mwenyekiti Ili mpate kula tafadhari muondoke na Mwenyekiti wenu.
Hakuna jambo jipya Mbowe anaweza kufanya ambalo hajafanya miaka 22 iliyopita.
Acha niendelee kuwa na Imani na Lissu, kama nipandikizi asingemiminiwa zile njugu 17.Unajifurahisha kwenye key board hapa mkuu ...
Wacha kumtegemea sana binadamu, ataku dissappint hutaamini..
Waulize washabiki wa Mrema?
ni jambo la maana sana kuwatazama kwa jicho la tatu watu ambao wanakwenda kwenye uchaguzi wakiwa na masharti.." Kuna lugha ukianza kuongea tunajua huyu mbona sio mwenzetu, Chadema tunajuana".
" Kuna wengine wanasema liwalo na liwe tupasue mtumbwi tugawane mbao "
"Ukianza kuongea mambo yetu ya ndani kwa watu, sisi tunajua wewe sio mwenzetu, Chama hiki hakiwezi kufa kwa sababu ya mtu, anaetaka kuondoka aondoke, autuachie chama chetu"
Haya ni maneno ya Boniface Jacob, Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani na kijana wa karibu wa Mbowe wakati akizindua ofisi ya chama wilaya ya Kinondoni, ambapo Freeman Mbowe alikuwa mgeni rasmi.
Boni Yai ni yai kuanzia akilini hadi haiba" Kuna lugha ukianza kuongea tunajua huyu mbona sio mwenzetu, Chadema tunajuana".
" Kuna wengine wanasema liwalo na liwe tupasue mtumbwi tugawane mbao "
"Ukianza kuongea mambo yetu ya ndani kwa watu, sisi tunajua wewe sio mwenzetu, Chama hiki hakiwezi kufa kwa sababu ya mtu, anaetaka kuondoka aondoke, autuachie chama chetu"
Haya ni maneno ya Boniface Jacob, Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani na kijana wa karibu wa Mbowe wakati akizindua ofisi ya chama wilaya ya Kinondoni, ambapo Freeman Mbowe alikuwa mgeni rasmi.
" Kuna lugha ukianza kuongea tunajua huyu mbona sio mwenzetu, Chadema tunajuana".
" Kuna wengine wanasema liwalo na liwe tupasue mtumbwi tugawane mbao "
"Ukianza kuongea mambo yetu ya ndani kwa watu, sisi tunajua wewe sio mwenzetu, Chama hiki hakiwezi kufa kwa sababu ya mtu, anaetaka kuondoka aondoke, autuachie chama chetu"
Haya ni maneno ya Boniface Jacob, Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani na kijana wa karibu wa Mbowe wakati akizindua ofisi ya chama wilaya ya Kinondoni, ambapo Freeman Mbowe alikuwa mgeni rasmi.