Boniface Jacob: Anayetaka kuondoka aende, CHADEMA haiwezi kufa

Boniface Jacob: Anayetaka kuondoka aende, CHADEMA haiwezi kufa

" Kuna lugha ukianza kuongea tunajua huyu mbona sio mwenzetu, Chadema tunajuana".

" Kuna wengine wanasema liwalo na liwe tupasue mtumbwi tugawane mbao "


"Ukianza kuongea mambo yetu ya ndani kwa watu, sisi tunajua wewe sio mwenzetu, Chama hiki hakiwezi kufa kwa sababu ya mtu, anaetaka kuondoka aondoke, autuachie chama chetu"

Haya ni maneno ya Boniface Jacob, Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani na kijana wa karibu wa Mbowe wakati akizindua ofisi ya chama wilaya ya Kinondoni, ambapo Freeman Mbowe alikuwa mgeni rasmi.

Kweli ile nafasi ni kwaajili ya mtu mmoja tu.

Yeyote atakaejaribu kuigusa tuhuma za usaliti zitamuhusu.

Lissu anavuna yale aliyopanda kipindi anawashutumu wenzie kuwa ni wasaliti kisa walikuwa na nia kama yake yakukitaka kiti kikuu.
 
Hapo ndo wanapofeli chadema, huwa hawakiishi wanachokihubiri.!!

Wanataka demokrasia kwa veggies ila wao akitokea mtu wa kuwa challenge kidogo hawataki.!!

Hawa wakipewa Nchi wakikosolewa kitawaka, hilo jeshi la polisi litatumwa mchana kweupe kuwapa kipondo raia. 🤣😹
Hata hii JF itafungiwa au kila member ajisajili upya kwa NIDA namba 😹
 
" Kuna lugha ukianza kuongea tunajua huyu mbona sio mwenzetu, Chadema tunajuana".

" Kuna wengine wanasema liwalo na liwe tupasue mtumbwi tugawane mbao "


"Ukianza kuongea mambo yetu ya ndani kwa watu, sisi tunajua wewe sio mwenzetu, Chama hiki hakiwezi kufa kwa sababu ya mtu, anaetaka kuondoka aondoke, autuachie chama chetu"

Haya ni maneno ya Boniface Jacob, Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani na kijana wa karibu wa Mbowe wakati akizindua ofisi ya chama wilaya ya Kinondoni, ambapo Freeman Mbowe alikuwa mgeni rasmi.

Ndio shida ya kuwa chawa hii, unaongea ujinga wakati jamii inakuheshimu
 

Attachments

  • FB_IMG_1733944219954.jpg
    FB_IMG_1733944219954.jpg
    43.6 KB · Views: 1
" Kuna lugha ukianza kuongea tunajua huyu mbona sio mwenzetu, Chadema tunajuana".

" Kuna wengine wanasema liwalo na liwe tupasue mtumbwi tugawane mbao "


"Ukianza kuongea mambo yetu ya ndani kwa watu, sisi tunajua wewe sio mwenzetu, Chama hiki hakiwezi kufa kwa sababu ya mtu, anaetaka kuondoka aondoke, autuachie chama chetu"

Haya ni maneno ya Boniface Jacob, Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani na kijana wa karibu wa Mbowe wakati akizindua ofisi ya chama wilaya ya Kinondoni, ambapo Freeman Mbowe alikuwa mgeni rasmi.

Huyu ni pro-mwamba.
Nothing else.
 
Back
Top Bottom