uporo wa wali ndondo
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 3,455
- 2,240
Ujinga wa chadema ni kujiteka wenyewe na kusingizia mamlaka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ccm ndo serikali yenyewe ulishawai kuona nazi inavunja jiwe[emoji44]Ccm pesa ya kuwarubuni hao wasimamizi wanatoa wapi?
Mkuu umewahi kufuga punda na kushuhudia kifo chake? Kiwe cha ugonjwa au ajali?Huu mwaka unaweza kuwa wa mwisho kwa CCM kuwepo madarakani ingawa tutakumbana na magumu na mazito kabla hilo halijatimia.
Kumbe wasiojulikana bado wapoHao jamaa mliowatuma kunitekana, kupora fomu Mnawaonea Bure, mimi siyo wa kutekwa na raia wasiopitia hata Mafunzo ya Mgambo.
Kwa kuwa nawafahamu leo nimewasamehe bure ila kuna siku hapa Ubungo Wakija kijinga kama leo mtawaokota hapo Ubungo Mataa.
LEO NIMETOA ONYO LA MWISHO
Uyo na icho kitambi chake watu wakitaka kumkamata si dakika kumi tu aache kujitakatishaHao jamaa mliowatuma kunitekana, kupora fomu Mnawaonea Bure, mimi siyo wa kutekwa na raia wasiopitia hata Mafunzo ya Mgambo.
Kwa kuwa nawafahamu leo nimewasamehe bure ila kuna siku hapa Ubungo Wakija kijinga kama leo mtawaokota hapo Ubungo Mataa.
LEO NIMETOA ONYO LA MWISHO
Nenda ukajaribu uone mtiti wake! Kawaulize waliotaka kumnyang'anya daftari kwenye baraza la madiwani!Uyo na icho kitambi chake watu wakitaka kumkamata si dakika kumi tu aache kujitakatisha
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Kama lile zuzu lenu saivi linajinyeanyea ikulu na linasupport ushoga kwa kumzuia makonda kupambana nao ili lipewe hela na mabeberu za misaada liende kwenye TV liwahadae mapunga kama wewe.Haa haa Mbowe alianguka baaada ya kulewa chakari halafu akasingizia eti amevamiwa .na mazuzu wa chadema nao wakadakia
Wewe umejuaje kama hajaenda polisHuyo Boniface, au Sura ya Mifupa, ni mwanasiasa muongo na Chokora.
Mbona hakuwaripoti polisi, anasema anawajua, si awataje ili wajulikane na wa aibike.
Kuna wakati hata Chadema hujijengea vituko na kuwasingizia Polisi na watu wasio husika.
Hizi ni siasa za vichochoroni zimepitwa na wakati.
Hakutuambia, na katoa onyo kali. Unapolipeleka jambo kwenye sheria, hutoi onyo.Wewe umejuaje kama hajaenda polis
Uyo Ana mtiti Gan ajakutana na wanaumeNenda ukajaribu uone mtiti wake! Kawaulize waliotaka kumnyang'anya daftari kwenye baraza la madiwani!
Heheheh kwahiyo natakiwa kukuamini?Huyo Bony ni habari nyingine huo Mkwara sio wa kiboya,Bony anamaanisha
We ushamgusa nini?
Hao jamaa mliowatuma kunitekana, kupora fomu Mnawaonea Bure, mimi siyo wa kutekwa na raia wasiopitia hata Mafunzo ya Mgambo.
Kwa kuwa nawafahamu leo nimewasamehe bure ila kuna siku hapa Ubungo Wakija kijinga kama leo mtawaokota hapo Ubungo Mataa.
LEO NIMETOA ONYO LA MWISHO
hahahhahahahaah sio mchezo
Kujitoa akili ni kazi ngumu Sana ,, hivi hata yanayoendelea huyaoni? Acha kukaa kwa shemejiSiasa za kishamba CCM wanafanya!Majuto ni mjukuu!
Pumbav,nendeni ukara mkachukue mzoga wenu!Na huu uwe ujumbe kote nchini,mkileta upuuzi tunakula kichwa!Ujinga wa chadema ni kujiteka wenyewe na kusingizia mamlaka.
Popoma wewe,kisa wewe unakaa kwa shemeji yako basi unahisi kila mtuni size yako!Kujitoa akili ni kazi ngumu Sana ,, hivi hata yanayoendelea huyaoni? Acha kukaa kwa shemeji