Uchaguzi 2020 Boniface Jacob asema kuna watu wametumwa kumteka, aonya wataokotwa Ubungo Mataa

Uchaguzi 2020 Boniface Jacob asema kuna watu wametumwa kumteka, aonya wataokotwa Ubungo Mataa

Popoma wewe,kisa wewe unakaa kwa shemeji yako basi unahisi kila mtuni size yako!
Shwain,una akili za kulengea shimo la choo tu!
🤔🤔🤔🤔Ujumbe kumbe umefika ,ukweli unaumaa. Nilikuambia hama kwa shemeji unalala sebureni Kama TV, ukihama akili yako ndiyo itakomaa na utandikaga vitu vya mtu mwenye akili timamu
 
🤔🤔🤔🤔Ujumbe kumbe umefika ,ukweli unaumaa. Nilikuambia hama kwa shemeji unalala sebureni Kama TV, ukihama akili yako ndiyo itakomaa na utandikaga vitu vya mtu mwenye akili timamu
Hivi mataga mna shida gani?Unakaa hapo unajipa faraja ya moyo kwa kuwasingizia watu usiowajua kuwa wana dhiki zaidi yako!Usiniletee stress zako za kukwama kimaisha,stiff naked insolent fool!
 
WANACHAMA WENGI WA CCM HAWAJATAHIRIWA .....WAKIONGOZWA NA POLEPOLE! WAKIINGIA KWENYE ANGA ZETU TUNAWATAHIRI THEN TUNACHOMA MOTO ! NO WAY
 
Nawewe na akili zako unadanganywa kwamba kuna wapiga kura 29 milioni hapa Tanzania si ni propaganda za kuandaa mazingira ya kuiba kura tu hizo. Hivi unafahamu kuwa 48% ya watanzani wana umri chini ya miaka 15 na je ni asilimia ngapi wana umri kati ya miaka 15 na 17 ambao hawawezi kupiga kura. Wanaobakia sana sana watakuwa asilimia 50 wenye umri wa kupiga kura. Sasa kama population ni watu 59 milion na watu 29 milioni ndiyo wamejiandikisha inamaana kwamba kati ya wananchi wote wenye umri wa kupiga kura wamejiandikisha hivi ni kweli mitaani wote wenye umri wa kupiga kura wamejiandikisha. Kama siyo kweli hao watu 29 milioni wametoka wapi. Hiyo idadi ya wapiga kura imepikwa tu. Ni vema watu wakaihoji NEC iweze kutoa majibu hao watu wametoka wapi mbona hawaoneshi uhalisia wa population ya Tanzania ya watu waliofikia umri wa kupiga kura ambao wamejiandikisha maana wako wengi ambao hawajajiandikisha.
Ukiwa na damu ya kupanga utapinga kila kitu
Mwenzenu huko mwisho alipinga hadi fomu ya kuomba ubunge
 
Nawewe na akili zako unadanganywa kwamba kuna wapiga kura 29 milioni hapa Tanzania si ni propaganda za kuandaa mazingira ya kuiba kura tu hizo. Hivi unafahamu kuwa 48% ya watanzani wana umri chini ya miaka 15 na je ni asilimia ngapi wana umri kati ya miaka 15 na 17 ambao hawawezi kupiga kura. Wanaobakia sana sana watakuwa asilimia 50 wenye umri wa kupiga kura. Sasa kama population ni watu 59 milion na watu 29 milioni ndiyo wamejiandikisha inamaana kwamba kati ya wananchi wote wenye umri wa kupiga kura wamejiandikisha hivi ni kweli mitaani wote wenye umri wa kupiga kura wamejiandikisha. Kama siyo kweli hao watu 29 milioni wametoka wapi. Hiyo idadi ya wapiga kura imepikwa tu. Ni vema watu wakaihoji NEC iweze kutoa majibu hao watu wametoka wapi mbona hawaoneshi uhalisia wa population ya Tanzania ya watu waliofikia umri wa kupiga kura ambao wamejiandikisha maana wako wengi ambao hawajajiandikisha.
Uwe unasoma na kuelewa, nimeuliza kuna wapiga kura mil 29, mliwahi kuwahesabu?(nimemaanisha sio kweli, ni figure ya kwenye makaratasi),nikauliza kuna vituo zaidi ya Elfu 80 mliwahi kuvihesabu(meaning havipo), Sasa umenikosoa nini na maelezo kibao?.. nilichomaanisha ndo ulichoelezea hapa. Siku nyingine usikurupuke.
 
Huyo jamaa hakuna pombe katumia kweli? Isije ikawa kama yule aliyeumia mguu?
 
Hao jamaa mliowatuma kunitekana, kupora fomu Mnawaonea Bure, mimi siyo wa kutekwa na Raia wasiopitia hata Mafunzo ya Mgambo.

Kwa kuwa nawafahamu leo nimewasamehe bure ila kuna siku hapa Ubungo Wakija kijinga kama leo mtawaokota hapo Ubungo Mataa.

LEO NIMETOA ONYO LA MWISHO

Sasa hapo ndipo watatupa mwili wa mtu hapo ubungo mataa na wewe utakuwa mtuhumiwa wa kwanza, mark my words!
 
Badala aende kurudisha fomu chap amebaki nayo analalamika Twitter saa zingine inakuwa kama kiki
 
kutokana na wimbi la wagombea wa upinzani kuwindwa na shetani kama swala ili watekwe au wauliwe huku viongozi wa dini na tume wakikaa kimya sababu wagombea wa ccm hawatekwi ni jukumu lao sasa wagombea wa upinzani kujihami binafsi na kurekodi matukio yote live watumie kofia,miwani,earphone, nguo zenye camera 360 degree warekodi kila kitu huku wakitembea na watu waliofully armed ili kujilinda endapo watafamiwa waweze kutoa fundisho ili wakamsimulie shetani aliyewatuma na sio kulalamika mnatekwa tekwa hovyo hovyo kirahisi tu kumbukeni mpo mawindoni sababu wanajua awatoboi kwenye sanduku.Toeni funzo kama wananchi wa Ukara tembeeni hata na asidi atakaekugusa tu anayo ndo njia pekee ya kujihami,hatutaki watu wa kulialia safari hii.Rekodini matukio yote mrudishapo formu kama ushahidi na kuyarusha live watz wayaone. Pia tembeeni na kopi za fomu kwenye bahasha ifananoyo na ya nec ili kuwaadaa waporaji wakija wapore hizo kopi huku halisi mkiwa mmezificha mnapopajua wenyewe. Tumieni kanuni namba 9 ya shetani mtu akikufanyia ushenzi mfanyie mara kumi yake mpaka ajiulize huyu ni mtu au.Endeleeni kuwa wajinga mtatekwa hadi mchakae kwenye msimu huu wa utekaji.
 
Back
Top Bottom