🤔🤔🤔🤔Ujumbe kumbe umefika ,ukweli unaumaa. Nilikuambia hama kwa shemeji unalala sebureni Kama TV, ukihama akili yako ndiyo itakomaa na utandikaga vitu vya mtu mwenye akili timamuPopoma wewe,kisa wewe unakaa kwa shemeji yako basi unahisi kila mtuni size yako!
Shwain,una akili za kulengea shimo la choo tu!
Hivi mataga mna shida gani?Unakaa hapo unajipa faraja ya moyo kwa kuwasingizia watu usiowajua kuwa wana dhiki zaidi yako!Usiniletee stress zako za kukwama kimaisha,stiff naked insolent fool!🤔🤔🤔🤔Ujumbe kumbe umefika ,ukweli unaumaa. Nilikuambia hama kwa shemeji unalala sebureni Kama TV, ukihama akili yako ndiyo itakomaa na utandikaga vitu vya mtu mwenye akili timamu
Ukiwa na damu ya kupanga utapinga kila kituNawewe na akili zako unadanganywa kwamba kuna wapiga kura 29 milioni hapa Tanzania si ni propaganda za kuandaa mazingira ya kuiba kura tu hizo. Hivi unafahamu kuwa 48% ya watanzani wana umri chini ya miaka 15 na je ni asilimia ngapi wana umri kati ya miaka 15 na 17 ambao hawawezi kupiga kura. Wanaobakia sana sana watakuwa asilimia 50 wenye umri wa kupiga kura. Sasa kama population ni watu 59 milion na watu 29 milioni ndiyo wamejiandikisha inamaana kwamba kati ya wananchi wote wenye umri wa kupiga kura wamejiandikisha hivi ni kweli mitaani wote wenye umri wa kupiga kura wamejiandikisha. Kama siyo kweli hao watu 29 milioni wametoka wapi. Hiyo idadi ya wapiga kura imepikwa tu. Ni vema watu wakaihoji NEC iweze kutoa majibu hao watu wametoka wapi mbona hawaoneshi uhalisia wa population ya Tanzania ya watu waliofikia umri wa kupiga kura ambao wamejiandikisha maana wako wengi ambao hawajajiandikisha.
Uwe unasoma na kuelewa, nimeuliza kuna wapiga kura mil 29, mliwahi kuwahesabu?(nimemaanisha sio kweli, ni figure ya kwenye makaratasi),nikauliza kuna vituo zaidi ya Elfu 80 mliwahi kuvihesabu(meaning havipo), Sasa umenikosoa nini na maelezo kibao?.. nilichomaanisha ndo ulichoelezea hapa. Siku nyingine usikurupuke.Nawewe na akili zako unadanganywa kwamba kuna wapiga kura 29 milioni hapa Tanzania si ni propaganda za kuandaa mazingira ya kuiba kura tu hizo. Hivi unafahamu kuwa 48% ya watanzani wana umri chini ya miaka 15 na je ni asilimia ngapi wana umri kati ya miaka 15 na 17 ambao hawawezi kupiga kura. Wanaobakia sana sana watakuwa asilimia 50 wenye umri wa kupiga kura. Sasa kama population ni watu 59 milion na watu 29 milioni ndiyo wamejiandikisha inamaana kwamba kati ya wananchi wote wenye umri wa kupiga kura wamejiandikisha hivi ni kweli mitaani wote wenye umri wa kupiga kura wamejiandikisha. Kama siyo kweli hao watu 29 milioni wametoka wapi. Hiyo idadi ya wapiga kura imepikwa tu. Ni vema watu wakaihoji NEC iweze kutoa majibu hao watu wametoka wapi mbona hawaoneshi uhalisia wa population ya Tanzania ya watu waliofikia umri wa kupiga kura ambao wamejiandikisha maana wako wengi ambao hawajajiandikisha.
Sasa hapo ndipo watatupa mwili wa mtu hapo ubungo mataa na wewe utakuwa mtuhumiwa wa kwanza, mark my words!Hao jamaa mliowatuma kunitekana, kupora fomu Mnawaonea Bure, mimi siyo wa kutekwa na Raia wasiopitia hata Mafunzo ya Mgambo.
Kwa kuwa nawafahamu leo nimewasamehe bure ila kuna siku hapa Ubungo Wakija kijinga kama leo mtawaokota hapo Ubungo Mataa.
LEO NIMETOA ONYO LA MWISHO
Kwenye ruzuku yao.Ccm pesa ya kuwarubuni hao wasimamizi wanatoa wapi?
Usikute yeye mwenyewe, maana Chadema kwa kujiteka hawajambo...Who is behind all this stupidity?