Tetesi: Boniface Jacob (Boni Yai) yupo Dodoma, kuna nini?

Tetesi: Boniface Jacob (Boni Yai) yupo Dodoma, kuna nini?

Mzee wa Chai

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2022
Posts
684
Reaction score
1,202
Leo nikiwa maeneo ya Dodoma Hotel nimemshuhudia Mwanasiasa Machachari Boniphace Jacob maarafu kama Boni Yai akiwa viunga vya maeneo ya Dodoma hotel

Bony aliongozana na washkaji wawili ambao siwafahamu majina pia wakiwa na Msaidizi wa Nchimbi, Katibu Mkuu wa CCM

Je, Bony kakimbia chama ama alikuwa kwenye Biashara zake akisaka tenda ya kuuza mayai kwenye mkutano wa CCM tarehe 5

Hebu tusubiri tuone
 
Miaka mitano ni muda mfupi sana. Siasa kwa mwanasiasa siyo jina la chama tu, ni itikadi/Imani na sera.
Kwa hiyo, wanachadema walioshindwa kwenye uchaguzi, wajipange, miaka mitano ijayo wakidhibiti chama chao tena kama wanaona waliopo watashindwa kuongoza kufikia malengo.
 
Atakuwa mnyakyusa mjinga sana kama atakubali kuhama Chadema na kwenda ccm!!
Atakuwa kajimaliza kisiasa na ndio hao Magu akiwaita “ waliokatwa mikia “!
Bado ana turufu yake kali sana Chadema asikubali kurubuniwa.
Wenje hana umuhimu wowote Chadema anaweza kwenda ccm na kusiwe na mshituko.
 
Leo nikiwa maeneo ya Dodoma Hotel nimemshuhudia Mwanasiasa Machachari Boniphace Jacob maarafu kama Boni Yai akiwa viunga vya maeneo ya Dodoma hotel

Bony aliongozana na washkaji wawili ambao siwafahamu majina pia wakiwa na Msaidizi wa Nchimbi, Katibu Mkuu wa CCM

Je, Bony kakimbia chama ama alikuwa kwenye Biashara zake akisaka tenda ya kuuza mayai kwenye mkutano wa CCM tarehe 5

Hebu tusubiri tuone
Mimi nafikiri hela za abdul na mama yake zilifika mbali ndani ya chadema . Utawala mpya inabidi uchimbe chini zaidi ili zisiwe na madhara makubwa kwa chama.
 
Leo nikiwa maeneo ya Dodoma Hotel nimemshuhudia Mwanasiasa Machachari Boniphace Jacob maarafu kama Boni Yai akiwa viunga vya maeneo ya Dodoma hotel

Bony aliongozana na washkaji wawili ambao siwafahamu majina pia wakiwa na Msaidizi wa Nchimbi, Katibu Mkuu wa CCM

Je, Bony kakimbia chama ama alikuwa kwenye Biashara zake akisaka tenda ya kuuza mayai kwenye mkutano wa CCM tarehe 5

Hebu tusubiri tuone
Labda ni 👉 Tetesi: - Kundi kubwa la WanaCHADEMA wanaompinga Lissu, kuhamia CCM
 
Ndio maana sina tabia ya kuwasifia wanasiasa na kuwaona kama Malaika vile. Hawa wote mmekuwa mkiwaimba humu na kuwaona kama mashujaa na kila aliyewaongelea kinyume mlimuogesha matusi. Ajabu leo hii mmegundua sehemu kubwa ya viongozi ni waganga njaa. Narudia tena, wanasiasa wote Nchini wawe CCM au upinzani ni waganga njaa wapo kwa ajili ya matumbo yao.
 
Ndio maana sina tabia ya kuwasifia wanasiasa na kuwaona kama Malaika vile. Hawa wote mmekuwa mkiwaimba humu na kuwaona kama mashujaa na kila aliyewaongelea kinyume mlimuogesha matusi. Ajabu leo hii mmegundua sehemu kubwa ya viongozi ni waganga njaa. Narudia tena, wanasiasa wote Nchini wawe CCM au upinzani ni waganga njaa wapo kwa ajili ya matumbo yao.
Ushaambiwa tetesi means ni uzushi.
 
Leo nikiwa maeneo ya Dodoma Hotel nimemshuhudia Mwanasiasa Machachari Boniphace Jacob maarafu kama Boni Yai akiwa viunga vya maeneo ya Dodoma hotel

Bony aliongozana na washkaji wawili ambao siwafahamu majina pia wakiwa na Msaidizi wa Nchimbi, Katibu Mkuu wa CCM

Je, Bony kakimbia chama ama alikuwa kwenye Biashara zake akisaka tenda ya kuuza mayai kwenye mkutano wa CCM tarehe 5

Hebu tusubiri tuone
Kama utafanikiwa kumuona basi finishing ushauri huu kutoka kwangu mzee wa mijadala, kwanza yeye bado ni kijana na umri unamruhusu kwa mapambano nje ya uchawa aliokua nao kwa mbowe na ukizingatia tayari ana kazi ya kumpa pesa nyingi tu.

Pili mwambie asije fanya kosa la kutoka upinzani kwenda chaka tawala katika zama na kizazi hiki, atapotea mazima. Kwa sasa ni rahisi zaidi mtu kujijenga akitokea chama tawala kwenda upinzani kuliko kinyume chake. Hivyo ndivyo upepo wa siasa ulivyo baada ya Lissu kushika hatamu. Trust me kuna wanasiasa wengi wa upinzani watapotea kwenye medani za siasa na wataibuka wengine kwa kasi sana.
 
usoni na lile tumbo ,hakuwa mtu sahihi kuwa CHADEMA ..... unakuwa CHADEMA kisa mtu ....au ulikuwa mlo wa chairman
Duuh!
Boni hukuingia CHADEMA akiwa na mwili ule. Aliingia akiwa kijana mdogo mwili wa kawaida wa kikakamavu akitokea chuo kikuu.
Alikuwa kati ya vijana muhimu sekta ya ulinzi ndani ya chama. Alikipambania chama hasa. Alimpambania Mnyika kule Ubungo kwa kulinda kura zake, na yeye akapata udiwani baadae.
Shida ilianza alipopata umeya pesa tamu, .....
 
Back
Top Bottom