Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu swali,wewe na yeye tofauti yenu na wewe Iko wapi? Wewe unamtumilia chakula ya Amsterdam na yeye anamtumikia Mwamba 🤣🤣akili ndogo mbeLe ya akili kubwa mtapata tabu ,kazi yakujifanyaga wasaidizi kumbe mnaliwa hii ,sio zuri mana usaidizi kilikuwa kichaka
KWA shauku yako kama ya kuonekana unasema ukweli ungeeacha hata kupiga picha? Ili uonekane una habari ya ukweli, siamini ulichoandika maana nawajua CCMLeo nikiwa maeneo ya Dodoma Hotel nimemshuhudia Mwanasiasa Machachari Boniphace Jacob maarafu kama Boni Yai akiwa viunga vya maeneo ya Dodoma hotel
Bony aliongozana na washkaji wawili ambao siwafahamu majina pia wakiwa na Msaidizi wa Nchimbi, Katibu Mkuu wa CCM
Je, Bony kakimbia chama ama alikuwa kwenye Biashara zake akisaka tenda ya kuuza mayai kwenye mkutano wa CCM tarehe 5
Hebu tusubiri tuone
dogo tofauti kubwa Mimi naamini katika Imani ya chama (ideology),falsafa nasio mtu kwenye chama nimefanya makubwa sana kwenye chama ckufanya kwa ajili ya mtuJibu swali,wewe na yeye tofauti yenu na wewe Iko wapi? Wewe unamtumilia chakula ya Amsterdam na yeye anamtumikia Mwamba 🤣🤣
Hiyo akili Yako kubwa ni ipi kiasi kwamba hupati tabu?
Imani ya Chadomo ni ipi we punguani?dogo tofauti kubwa Mimi naamini katika Imani ya chama (ideology),falsafa nasio mtu kwenye chama nimefanya makubwa sana kwenye chama ckufanya kwa ajili ya mtu
gugo usome ...uvivu uvivu tuImani ya Chadomo ni ipi we punguani?
Huenda akaambulia u-DCLeo nikiwa maeneo ya Dodoma Hotel nimemshuhudia Mwanasiasa Machachari Boniphace Jacob maarafu kama Boni Yai akiwa viunga vya maeneo ya Dodoma hotel
Bony aliongozana na washkaji wawili ambao siwafahamu majina pia wakiwa na Msaidizi wa Nchimbi, Katibu Mkuu wa CCM
Je, Bony kakimbia chama ama alikuwa kwenye Biashara zake akisaka tenda ya kuuza mayai kwenye mkutano wa CCM tarehe 5
Hebu tusubiri tuone
Ni mnyakyusa huyu jamaa?Atakuwa mnyakyusa mjinga sana kama atakubali kuhama Chadema na kwenda ccm!!
Atakuwa kajimaliza kisiasa na ndio hao Magu akiwaita “ waliokatwa mikia “!
Bado ana turufu yake kali sana Chadema asikubali kurubuniwa.
Wenje hana umuhimu wowote Chadema anaweza kwenda ccm na kusiwe na mshituko.