Mzee wa Chai
JF-Expert Member
- Sep 20, 2022
- 684
- 1,202
muheshimu mstahiki meya waubungo ๐usoni na lile tumbo ,hakuwa mtu sahihi kuwa CHADEMA ..... unakuwa CHADEMA kisa mtu ....au ulikuwa mlo wa chairman
unapendaje mtu badala ya chama...... amehama messi Barcelona na mashabiki hawajahama mbona tutamshangaa sana..... anahistolia yakuwa mlinzi wake(usaidizi huo)muheshimu mstahiki meya waubungo ๐
Mimi nafikiri hela za abdul na mama yake zilifika mbali ndani ya chadema . Utawala mpya inabidi uchimbe chini zaidi ili zisiwe na madhara makubwa kwa chama.Leo nikiwa maeneo ya Dodoma Hotel nimemshuhudia Mwanasiasa Machachari Boniphace Jacob maarafu kama Boni Yai akiwa viunga vya maeneo ya Dodoma hotel
Bony aliongozana na washkaji wawili ambao siwafahamu majina pia wakiwa na Msaidizi wa Nchimbi, Katibu Mkuu wa CCM
Je, Bony kakimbia chama ama alikuwa kwenye Biashara zake akisaka tenda ya kuuza mayai kwenye mkutano wa CCM tarehe 5
Hebu tusubiri tuone
Labda ni ๐ Tetesi: - Kundi kubwa la WanaCHADEMA wanaompinga Lissu, kuhamia CCMLeo nikiwa maeneo ya Dodoma Hotel nimemshuhudia Mwanasiasa Machachari Boniphace Jacob maarafu kama Boni Yai akiwa viunga vya maeneo ya Dodoma hotel
Bony aliongozana na washkaji wawili ambao siwafahamu majina pia wakiwa na Msaidizi wa Nchimbi, Katibu Mkuu wa CCM
Je, Bony kakimbia chama ama alikuwa kwenye Biashara zake akisaka tenda ya kuuza mayai kwenye mkutano wa CCM tarehe 5
Hebu tusubiri tuone
Ushaambiwa tetesi means ni uzushi.Ndio maana sina tabia ya kuwasifia wanasiasa na kuwaona kama Malaika vile. Hawa wote mmekuwa mkiwaimba humu na kuwaona kama mashujaa na kila aliyewaongelea kinyume mlimuogesha matusi. Ajabu leo hii mmegundua sehemu kubwa ya viongozi ni waganga njaa. Narudia tena, wanasiasa wote Nchini wawe CCM au upinzani ni waganga njaa wapo kwa ajili ya matumbo yao.
Kama utafanikiwa kumuona basi finishing ushauri huu kutoka kwangu mzee wa mijadala, kwanza yeye bado ni kijana na umri unamruhusu kwa mapambano nje ya uchawa aliokua nao kwa mbowe na ukizingatia tayari ana kazi ya kumpa pesa nyingi tu.Leo nikiwa maeneo ya Dodoma Hotel nimemshuhudia Mwanasiasa Machachari Boniphace Jacob maarafu kama Boni Yai akiwa viunga vya maeneo ya Dodoma hotel
Bony aliongozana na washkaji wawili ambao siwafahamu majina pia wakiwa na Msaidizi wa Nchimbi, Katibu Mkuu wa CCM
Je, Bony kakimbia chama ama alikuwa kwenye Biashara zake akisaka tenda ya kuuza mayai kwenye mkutano wa CCM tarehe 5
Hebu tusubiri tuone
Duuh!usoni na lile tumbo ,hakuwa mtu sahihi kuwa CHADEMA ..... unakuwa CHADEMA kisa mtu ....au ulikuwa mlo wa chairman
Matunda ya vurugumechi na mshikemshike Chama kilichokuwa kinaungwanisha kwa Makabila au biashara bila mshikamano wa kweli.๐๐๐ boss kaachishwa kaziโฆ.mpambe anatafta kula yake sasa.