DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Jana usiku nimempigia Mzee mmoja mstaafu wa serikali aliyewahi kuhudumu kama msaidizi wa mambo ya ulinzi na usalama wakati wa Rais Julius Kambarage Nyerere.
Nimemlalamikia namna serikali ya CCM, CCM yenyewe na vyombo vya dola jinsi vilivyochezea uchaguzi wa serikali za mitaa tangu zoezi la uandikishaji,uteuzi na hata kuelekea kupiga kura na kutangaza washindi.
1.Mzee amesema kila kitu kinatokea kwa sababu,moja ya sababu ya CCM kuharibu uchaguzi ni Wananchi kukosa Imani na wa CCM kiasi cha kukosa ushawishi na kutochagulika tena .
2.Kama kuna kosa CCM watakuja Kulijutia ni Kutengeneza Mazingira ya lazima kwa Wananchi Kukosa Imani na Uchaguzi; kwa sababu Wananchi Wataiondoa CCM bila ya Kusubiri tena au Kutumia Uchaguzi
3.CCM ikiondolewa bila uchaguzi madarakani hali itakuwa mbaya sana,kwakuwa wataondolewa kwa njia ya machafuko.
4.CCM ikiondolewa kwa machafuko hawatopata nafasi ya kuendelea Kubakia na mali zao,uhuru wao na huenda hata uhai wa baadhi ya Viongozi wao au makada wao.
5.Ubaya wa Kuondolewa madarakani kwa machafuko hakutegemei muda kiasi gani kama ilivyo muda wa uchaguzi ,Mtawala anaweza Kujitangazia ushindi wa Kishindo October alafu umma ukamuondoa kwa nguvu mwezi December ili mradi Wananchi wawe wamekuchoka.
6.Kazi ya Usalama wa Taifa ilikuwa ni kama Kamisaa wa mchezo awapo uwanjani,ilikuwa ni kuangalia na Kuzuia CCM wasivuke mipaka yao katika kutawala na kubashiri hatari inayokuja mbele ili wasije kufanya Wananchi watafute njia mbadala ya Kuwaondoa madarakani nje ya uchaguzi.
Swali langu kwa Mzee likuwa Je Watanzania hawa Bongolala ndiyo wanaweza Kuiondoa CCM madarakani kwa nguvu..?
Mzee amenijibu kuwa hakuna mtu mbaya Duniani kama mtu mpole na unayefikiri ni mjinga. kwa sababu siku akichukua hatua inakuwa ni "SURPRISE"
Kuna nchi zilikuwa na Wananchi wajinga kuliko hawa wa Tanzania lakini siku waliyo badilishia watawala Kibao,hakuna Jeshi lilitosha kuzuia umma wa Wananchi hao kuingia barabarani.
MAzee anaiona hali hiyo inakuja Tanzania, na wala haiko mbali sana,anafikiri pamoja na Uzee wake,lakini anaweza Kushuhudia hali hiyo kabla Mwenyezi Mungu ajachukua uhai wake.
Mzee anamalizia kwa kusema furaha ya CCM juu ya uovu huu unaoendela katika chaguzi ni ya muda mfupi sana,laiti wangejua kinachokuja mbele yao wasinge jaribu Kulivua chupi Taifa na Kulibaka hadharani kiasi hiki.
Taifa litakosa uvumilivu na kuamua kujitetea,ghazabu ya Wananchi itakuwa Juu ya CCM
Anasikitika kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) Kuchagua hatima yao mbaya.
C&P Boniyai
Nimemlalamikia namna serikali ya CCM, CCM yenyewe na vyombo vya dola jinsi vilivyochezea uchaguzi wa serikali za mitaa tangu zoezi la uandikishaji,uteuzi na hata kuelekea kupiga kura na kutangaza washindi.
1.Mzee amesema kila kitu kinatokea kwa sababu,moja ya sababu ya CCM kuharibu uchaguzi ni Wananchi kukosa Imani na wa CCM kiasi cha kukosa ushawishi na kutochagulika tena .
2.Kama kuna kosa CCM watakuja Kulijutia ni Kutengeneza Mazingira ya lazima kwa Wananchi Kukosa Imani na Uchaguzi; kwa sababu Wananchi Wataiondoa CCM bila ya Kusubiri tena au Kutumia Uchaguzi
3.CCM ikiondolewa bila uchaguzi madarakani hali itakuwa mbaya sana,kwakuwa wataondolewa kwa njia ya machafuko.
4.CCM ikiondolewa kwa machafuko hawatopata nafasi ya kuendelea Kubakia na mali zao,uhuru wao na huenda hata uhai wa baadhi ya Viongozi wao au makada wao.
5.Ubaya wa Kuondolewa madarakani kwa machafuko hakutegemei muda kiasi gani kama ilivyo muda wa uchaguzi ,Mtawala anaweza Kujitangazia ushindi wa Kishindo October alafu umma ukamuondoa kwa nguvu mwezi December ili mradi Wananchi wawe wamekuchoka.
6.Kazi ya Usalama wa Taifa ilikuwa ni kama Kamisaa wa mchezo awapo uwanjani,ilikuwa ni kuangalia na Kuzuia CCM wasivuke mipaka yao katika kutawala na kubashiri hatari inayokuja mbele ili wasije kufanya Wananchi watafute njia mbadala ya Kuwaondoa madarakani nje ya uchaguzi.
Swali langu kwa Mzee likuwa Je Watanzania hawa Bongolala ndiyo wanaweza Kuiondoa CCM madarakani kwa nguvu..?
Mzee amenijibu kuwa hakuna mtu mbaya Duniani kama mtu mpole na unayefikiri ni mjinga. kwa sababu siku akichukua hatua inakuwa ni "SURPRISE"
Kuna nchi zilikuwa na Wananchi wajinga kuliko hawa wa Tanzania lakini siku waliyo badilishia watawala Kibao,hakuna Jeshi lilitosha kuzuia umma wa Wananchi hao kuingia barabarani.
MAzee anaiona hali hiyo inakuja Tanzania, na wala haiko mbali sana,anafikiri pamoja na Uzee wake,lakini anaweza Kushuhudia hali hiyo kabla Mwenyezi Mungu ajachukua uhai wake.
Mzee anamalizia kwa kusema furaha ya CCM juu ya uovu huu unaoendela katika chaguzi ni ya muda mfupi sana,laiti wangejua kinachokuja mbele yao wasinge jaribu Kulivua chupi Taifa na Kulibaka hadharani kiasi hiki.
Taifa litakosa uvumilivu na kuamua kujitetea,ghazabu ya Wananchi itakuwa Juu ya CCM
Anasikitika kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) Kuchagua hatima yao mbaya.
C&P Boniyai