Giovanna Upunda
Member
- Aug 11, 2024
- 54
- 24
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waziri wa Fedha Ronald Penza wa kule Zambia alikufa vibaya kwa sababu siri zote za maisha yake na kazi yake aliweka kwa mke wake.Nimesikiliza kwa makini Hutuba ya Boniphace Jacob Mwenyekiti wa Chadema kanda ya Pwani kuwa siri za chama anampa mke wake, Swali langu je ni sahihi?
Wee mpuuzi kweli kweli, hivi unaelewa maana ya mke?Nimesikiliza kwa makini Hutuba ya Boniphace Jacob Mwenyekiti wa Chadema kanda ya Pwani kuwa siri za chama anampa mke wake, Swali langu je ni sahihi?