Boniface Jacob: CHADEMA ni taasisi imara, hata mimi naiogopa kwa ukubwa wake, nikiwa na jambo langu naenda kuongea kwa mke wangu

Boniface Jacob: CHADEMA ni taasisi imara, hata mimi naiogopa kwa ukubwa wake, nikiwa na jambo langu naenda kuongea kwa mke wangu

Joined
Aug 11, 2024
Posts
54
Reaction score
24

Boniface Jacob Mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya Pwani;​


"CHADEMA ni Taasisi imara ambayo imejikamilisha, (mimi) CHADEMA ilivyokubwa mpaka naiogopa, nikiwa na jambo langu naenda kuongea kwa mke wangu, kwasababu najua wana CHADEMA sina cha kuwatisha wa kuwababaisha"
 
Nimesikiliza kwa makini Hutuba ya Boniphace Jacob Mwenyekiti wa Chadema kanda ya Pwani kuwa siri za chama anampa mke wake, Swali langu je ni sahihi?
Waziri wa Fedha Ronald Penza wa kule Zambia alikufa vibaya kwa sababu siri zote za maisha yake na kazi yake aliweka kwa mke wake.
 
Back
Top Bottom