Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mgombea wa Uenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani, Boniface Jackob, wakati akirejesha fomu amewaambia wanachama wa CHADEMA kwamba, hata akishindwa kwenye Uchaguzi huo hatahamia CCM na kuanza Kubwatuka bwatuka kama mbwa, kama anavyofanya yule Mzee.
Toa Maoni yako
---
Kwa sapoti hii na dalili hii njema ya umoja na mshikamano kati ya wanachama na viongozi kushikama huku na unati huu tafsiri yake kwamba mmetuma ujumbe kuwa tunaanza upya, tunazika na kumaliza tofauti zetu zote".
Kama kura hazitatosha siwezi kubwatuka na kulalamika wala kwenda CCM, kwa sababu naamini kila mtu anaweza kuwa kiongozi.
Soma Pia: Meya wa Zamani wa Ubungo na Kinondoni Boniface Jackob, atangaza nia kugombea Uenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani
Toa Maoni yako
---
Kwa sapoti hii na dalili hii njema ya umoja na mshikamano kati ya wanachama na viongozi kushikama huku na unati huu tafsiri yake kwamba mmetuma ujumbe kuwa tunaanza upya, tunazika na kumaliza tofauti zetu zote".
Kama kura hazitatosha siwezi kubwatuka na kulalamika wala kwenda CCM, kwa sababu naamini kila mtu anaweza kuwa kiongozi.
Soma Pia: Meya wa Zamani wa Ubungo na Kinondoni Boniface Jackob, atangaza nia kugombea Uenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani