UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 9,454
- 8,894
Endelea kujifarijiChadema haina Makundi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea kujifarijiChadema haina Makundi
Njaa utabaki nayo wewe siyo Boni yai anajua kutafuta pesa halali na hawezi kuwa chawaMwambie hakuna mkate mgumu mbele ya chai na njaa Haina mwenyewe.
HayakuhusuKwani watu wanahama kwa sababu ya kura kutokutosha? Watu wanahama kwa sababu ya rushwa na mizengwe kwenye uchaguzi.
Kama yuko kundi la mbowe ahame kwenda wapi wakati ndilo kundi lilishika jambia kwenye mpini? Ni haki yake kusema hivyo.
Msigwa si ndiye yule tumbili alikuwa houseboy wa kasisi wa kizungu?Mmh! Don't trust a politician. Maneno kama haya yamesemwa sana na Msigwa lkn leo hii yuko ccm.
Mgombea wa Uenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani, Boniface Jackob, wakati akirejesha fomu amewaambia wanachama wa CHADEMA kwamba, hata akishindwa kwenye Uchaguzi huo hatahamia CCM na kuanza Kubwatuka bwatuka kama mbwa, kama anavyofanya yule Mzee.
Toa Maoni yako
---
Kwa sapoti hii na dalili hii njema ya umoja na mshikamano kati ya wanachama na viongozi kushikama huku na unati huu tafsiri yake kwamba mmetuma ujumbe kuwa tunaanza upya, tunazika na kumaliza tofauti zetu zote".
Kama kura hazitatosha siwezi kubwatuka na kulalamika wala kwenda CCM, kwa sababu naamini kila mtu anaweza kuwa kiongozi.
Soma Pia: Meya wa Zamani wa Ubungo na Kinondoni Boniface Jackob, atangaza nia kugombea Uenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani
Watu kawa hawa sasa ndio Chadema damu!, sio yale mazagazaga na makorokocho!.
P
Ana maana hawezi kuondoka Chadema kwa sababu ya kushindwa uchaguzi.Ana maana Chadema ni mama yake liwalo liwe?
Njaa tu yule.
Bora angekaa kimya!Mgombea wa Uenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani, Boniface Jackob, wakati akirejesha fomu amewaambia wanachama wa CHADEMA kwamba, hata akishindwa kwenye Uchaguzi huo hatahamia CCM na kuanza Kubwatuka bwatuka kama mbwa, kama anavyofanya yule Mzee.
Toa Maoni yako
---
Kwa sapoti hii na dalili hii njema ya umoja na mshikamano kati ya wanachama na viongozi kushikama huku na unati huu tafsiri yake kwamba mmetuma ujumbe kuwa tunaanza upya, tunazika na kumaliza tofauti zetu zote".
Kama kura hazitatosha siwezi kubwatuka na kulalamika wala kwenda CCM, kwa sababu naamini kila mtu anaweza kuwa kiongozi.
Soma Pia: Meya wa Zamani wa Ubungo na Kinondoni Boniface Jackob, atangaza nia kugombea Uenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani
Ana maana hawezi kuondoka Chadema kwa sababu ya kushindwa uchaguzi.
PascoWatu kawa hawa sasa ndio Chadema damu!, sio yale mazagazaga na makorokocho!.
P
Kitambi chote hicho 😀 😀 😀Mgombea wa Uenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani, Boniface Jackob, wakati akirejesha fomu amewaambia wanachama wa CHADEMA kwamba, hata akishindwa kwenye Uchaguzi huo hatahamia CCM na kuanza Kubwatuka bwatuka kama mbwa, kama anavyofanya yule Mzee.
Toa Maoni yako
---
Kwa sapoti hii na dalili hii njema ya umoja na mshikamano kati ya wanachama na viongozi kushikama huku na unati huu tafsiri yake kwamba mmetuma ujumbe kuwa tunaanza upya, tunazika na kumaliza tofauti zetu zote".
Kama kura hazitatosha siwezi kubwatuka na kulalamika wala kwenda CCM, kwa sababu naamini kila mtu anaweza kuwa kiongozi.
Soma Pia: Meya wa Zamani wa Ubungo na Kinondoni Boniface Jackob, atangaza nia kugombea Uenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani
kwani hayo ni mapya na Mchungaji Msigwa hakusema hivyo hivyo?Mgombea wa Uenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani, Boniface Jackob, wakati akirejesha fomu amewaambia wanachama wa CHADEMA kwamba, hata akishindwa kwenye Uchaguzi huo hatahamia CCM na kuanza Kubwatuka bwatuka kama mbwa, kama anavyofanya yule Mzee.
Toa Maoni yako
---
Kwa sapoti hii na dalili hii njema ya umoja na mshikamano kati ya wanachama na viongozi kushikama huku na unati huu tafsiri yake kwamba mmetuma ujumbe kuwa tunaanza upya, tunazika na kumaliza tofauti zetu zote".
Kama kura hazitatosha siwezi kubwatuka na kulalamika wala kwenda CCM, kwa sababu naamini kila mtu anaweza kuwa kiongozi.
Soma Pia: Meya wa Zamani wa Ubungo na Kinondoni Boniface Jackob, atangaza nia kugombea Uenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani
Una macho makali sana!Huyu jamaa namtabiria ipo siku atakuja kuchukua nchi