Mgombea wa Uenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani, Boniface Jackob, wakati akirejesha fomu amewaambia wanachama wa CHADEMA kwamba, hata akishindwa kwenye Uchaguzi huo hatahamia CCM na kuanza Kubwatuka bwatuka kama mbwa, kama anavyofanya yule Mzee.
Toa Maoni yako
---
Kwa sapoti hii na dalili hii njema ya umoja na mshikamano kati ya wanachama na viongozi kushikama huku na unati huu tafsiri yake kwamba mmetuma ujumbe kuwa tunaanza upya, tunazika na kumaliza tofauti zetu zote".
Kama kura hazitatosha siwezi kubwatuka na kulalamika wala kwenda CCM, kwa sababu naamini kila mtu anaweza kuwa kiongozi.
Mgombea wa Uenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani, Boniface Jackob, wakati akirejesha fomu amewaambia wanachama wa Chadema kwamba, hata akishindwa kwenye Uchaguzi huo hatahamia ccm na kuanza Kubwatuka bwatuka kama mbwa, kama anavyofanya yule Mzee.
Mgombea wa Uenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani, Boniface Jackob, wakati akirejesha fomu amewaambia wanachama wa Chadema kwamba, hata akishindwa kwenye Uchaguzi huo hatahamia ccm na kuanza Kubwatuka bwatuka kama mbwa, kama anavyofanya yule Mzee.
Mgombea wa Uenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani, Boniface Jackob, wakati akirejesha fomu amewaambia wanachama wa Chadema kwamba, hata akishindwa kwenye Uchaguzi huo hatahamia ccm na kuanza Kubwatuka bwatuka kama mbwa, kama anavyofanya yule Mzee.
Kwani watu wanahama kwa sababu ya kura kutokutosha? Watu wanahama kwa sababu ya rushwa na mizengwe kwenye uchaguzi.
Kama yuko kundi la mbowe ahame kwenda wapi wakati ndilo kundi lilishika jambia kwenye mpini? Ni haki yake kusema hivyo.
Kwani watu wanahama kwa sababu ya kura kutokutosha? Watu wanahama kwa sababu ya rushwa na mizengwe kwenye uchaguzi.
Kama yuko kundi la mbowe ahame kwenda wapi wakati ndilo kundi lilishika jambia kwenye mpini? Ni haki yake kusema hivyo.
Haya anayoyafanya Msigwa, it is most likely ni mke wa mtu, mwanamume mzima huwezi kuimba mipasho kiasi hicho kama wanawake! Nadhani ameota kile kitu alichonacho cha Peneza! hormonal shift ni za kike nao, if at all genetics/biology allows this type of mutation!