Pre GE2025 Boniface Jacob: Hata Nikishindwa Uchaguzi sitoenda CCM na kubwatuka bwatuka kama Mbwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Asipoelewa hapa basi akafanyiwe CT SCAN

CCM itang'oka kwa hoja.

Wenye kutambua vyama si mama zao wana hoja, si viroja.

CCM itang'oka kwa uimara wa tunayoyasimamia yenye kututofautisha nao.

CCM itang'olewa na wenye kuamini vyama si mama zao.

Ukweli mchungu: CCM haitang'oka kwa uchawa.
 
Kuna imani huku uswahilini kuwa matiti makubwa na yaliyolala ni kwa sababu ya kuruhusu mikono mingi kuyachezea, hebu tuambie kama hii ni kweli na kwa nini umeruhusu iwe hivyo!!??
Kitambi chote hicho πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€

Mtu asiyeweza kutunza mwili wake, ataaminikaje?
Kama ameshindwa tu kutunza mwili wake.

Huyu jamaa ni Liability na siyo Asset
 
Kuna imani huku uswahilini kuwa matiti makubwa na yaliyolala ni kwa sababu ya kuruhusu mikono mingi kuyachezea, hebu tuambie kama hii ni kweli na kwa nini umeruhusu iwe hivyo!!??
Sasa mambo ya mtaani kwenu unataka niyaelezee mimi? 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 Acha kutumia kichwa kama mfuniko wa shingo
 
Kale kazee kama kamelishwa GONGO
Kuna mambo walikafanyia hadi kufikia muafaka wa kuhama, aliambiwa afute na kutii kila atakaloambiwa afanyanye vinginevyo....................... . Siyo akili zake ana majuto mengi sana moyoni mwake japo alipewa fungu nono sana lakini hana amani ya moyo yule pale alipo ni mateka.
 
"Chadema siyo mama yangu." Alisikika yule mwingine.

Kwamba huyu yeye anasema Chadema ni mama yake?

Au kumbe yeye anasimamia nini?
Mkuu, mbona Lissu aliiweka wazi ile kauli yake kwenye kile kipindi cha DAKIKA 45.
 
Sasa na wewe imani yako kuwa mtu akiwa mnene maana yake kashindwa kucontrol mwili wake ndio unataka kutuaminisha sote!!??

Muombe Mungu wa Mbinguni akusaidie ujitahidi kutoonyesha ukilaza wako hadharani.
Sasa mambo ya mtaani kwenu unataka niyaelezee mimi? 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 Acha kutumia kichwa kama mfuniko wa shingo
 
Sasa na wewe imani yako kuwa mtu akiwa mnene maana yake kashindwa kucontrol mwili wake ndio unataka kutuaminisha sote!!??

Muombe Mungu wa Mbinguni akusaidie ujitahidi kutoonyesha ukilaza wako hadharani.
Unene ni ugonjwa unaotokana na kutokujijali na kula ovyo bila mpangilio.

Mtu asiyejijali yeye mwenyewe atasaidia jamii

Nimekwambia usitumie kicwa kama kifuniko cha shingo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…