johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
HakikaInawezekana kama Mwendazake ALIWEZA hata HARMONIZE anaweza Urais wa Tanganyika ni Rahisi sana
Mwendazake hatasahaulika hapo Ufipa stInawezekana kama Mwendazake ALIWEZA hata HARMONIZE anaweza Urais wa Tanganyika ni Rahisi sana
Hata Manispaa ya Ubungo alifanya vizurinimesoma na huyu jamaa udsm, yupo vizuri Mzee wa kunji, angalau huyu kuliko lisu
maana ya taasisi ni nini? kama unajua maana ya taasisi basi hawezi shindwaHahahaha impossible is nothing lakini Hana maturity ya urais yule, urais ni taasisi mjue
Siyo harmonize tu. Kama Jiwe aliweza urais hata binti wa chekechea anaweza.Inawezekana kama Mwendazake ALIWEZA hata HARMONIZE anaweza Urais wa Tanganyika ni Rahisi sana
Si ana sifa zote shida iko wapi?Kama inavyojulikana kwa Utamaduni wa CCM mgombea Urais wa JMT atakuwa Rais Samia na fomu itakuwa Moja
Kwa upande wa chama kikuu cha Upinzani Chadema inadaiwa atasimama Meya mstaafu wa Manispaa ya Ubungo mh Boniface Jacob
Hata hivyo haisemwi kama Tundu Antipas Lisu ana Mpango gani mwaka huo 2025
Ilitegemewa Zitto Kabwe wa ACT wazalendo naye angegombea lakini kwa sasa chama chake kinaunda Serikali kwa ubia na CCM hivyo Utamaduni wa chama tawala wa fomu Moja unawahusu na Wao
Jumaa kareem!
2025 hakuna UCHAGUZI.Kama inavyojulikana kwa Utamaduni wa CCM mgombea Urais wa JMT atakuwa Rais Samia na fomu itakuwa Moja
Kwa upande wa chama kikuu cha Upinzani Chadema inadaiwa atasimama Meya mstaafu wa Manispaa ya Ubungo mh Boniface Jacob
Hata hivyo haisemwi kama Tundu Antipas Lisu ana Mpango gani mwaka huo 2025
Ilitegemewa Zitto Kabwe wa ACT wazalendo naye angegombea lakini kwa sasa chama chake kinaunda Serikali kwa ubia na CCM hivyo Utamaduni wa chama tawala wa fomu Moja unawahusu na Wao
Jumaa kareem!
Siyo harmonize tu. Kama Jiwe aliweza urais hata binti wa chekechea anaweza.
Magonjwa Mtambuka mr chopa
Tayari nimeshakuwini kisaikolojia Ndo hicho haswa nilikuwa nang'ang'ania na kusumbuka kutafutahata mama yako mzazi kamlete anaweza usisite sababu ya akili zake.
Dah !!Siyo harmonize tu. Kama Jiwe aliweza urais hata binti wa chekechea anaweza.
Magonjwa Mtambuka mr chopa
Ndoto za alinacha2025 hakuna UCHAGUZI.
Tutakuwa ktk hatua za mwisho kukamilisha upatikanaji wa KATIBA mpya itokanayo na Rasimu alosimamia Judge WARIOBA.
2026 ndo mwaka wa KATIBA mpya. Ameeen.
Kwani Chadema mnatoa fomu Moja?Hujachoka kuleta tu uzushi twako Nini ulashaletaga mwingine hapa au umesahau msigwa kugomgea urais kupitia Chadema 2025 au mwaka huo wanachama wote wa Chadema watagombea urais nini wewe jonh