SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Huna akiliHahaha........ makasiriko!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna akiliHahaha........ makasiriko!
Utake usitake Bonny atagombea meku!Huna akili
Acha uongo Urais siyo taasisi bali ni mtu, hata Kikwete aliwahi sema hana ubia na mtu ye yote katika Urais wake.Hahahaha impossible is nothing lakini Hana maturity ya urais yule, urais ni taasisi mjue
Uchokozi.Siyo harmonize tu. Kama Jiwe aliweza urais hata binti wa chekechea anaweza.
Magonjwa Mtambuka mr chopa
We jamaa unaokoteza vi habari uchwara unafanya utani huku.Kama inavyojulikana kwa Utamaduni wa CCM mgombea Urais wa JMT atakuwa Rais Samia na fomu itakuwa Moja
Kwa upande wa chama kikuu cha Upinzani Chadema inadaiwa atasimama Meya mstaafu wa Manispaa ya Ubungo mh Boniface Jacob
Hata hivyo haisemwi kama Tundu Antipas Lisu ana Mpango gani mwaka huo 2025
Ilitegemewa Zitto Kabwe wa ACT wazalendo naye angegombea lakini kwa sasa chama chake kinaunda Serikali kwa ubia na CCM hivyo Utamaduni wa chama tawala wa fomu Moja unawahusu na Wao
Jumaa kareem!
Kwa ukatili lakiniMwendazake hatasahaulika hapo Ufipa st
7ftt8ttKwani Chadema mnatoa fomu Moja?
Tumeufanya urais kuwa kitu rahisi sanaInawezekana kama Mwendazake ALIWEZA hata HARMONIZE anaweza Urais wa Tanganyika ni Rahisi sana