Tetesi: Boniface Jacob kugombea Urais wa JMT kwa tiketi ya CHADEMA 2025

Tetesi: Boniface Jacob kugombea Urais wa JMT kwa tiketi ya CHADEMA 2025

Hahahaha impossible is nothing lakini Hana maturity ya urais yule, urais ni taasisi mjue
Acha uongo Urais siyo taasisi bali ni mtu, hata Kikwete aliwahi sema hana ubia na mtu ye yote katika Urais wake.

Wote waliopo ofisi ya Rais ni wapambe wake ambao ama amewateua yeye mwenyewe au wameteuliwa na wapambe wake!
 
Kama inavyojulikana kwa Utamaduni wa CCM mgombea Urais wa JMT atakuwa Rais Samia na fomu itakuwa Moja

Kwa upande wa chama kikuu cha Upinzani Chadema inadaiwa atasimama Meya mstaafu wa Manispaa ya Ubungo mh Boniface Jacob

Hata hivyo haisemwi kama Tundu Antipas Lisu ana Mpango gani mwaka huo 2025

Ilitegemewa Zitto Kabwe wa ACT wazalendo naye angegombea lakini kwa sasa chama chake kinaunda Serikali kwa ubia na CCM hivyo Utamaduni wa chama tawala wa fomu Moja unawahusu na Wao

Jumaa kareem!
We jamaa unaokoteza vi habari uchwara unafanya utani huku.
 
Ndio wale vijana wawili walikuwa wanasema katika tv,wakihojiwa na mwandishi wa habari. Wanasema,mgombea wa ccm hafai kuwa rais. Anayefaa ni yule,anamgeukia mwenzake,anamuuliza yule jamaa anaitwa nani vile,anaambiwa Wilbrod Slaa. Anasema,ndio,huyo ndie anafaa kuwa rais.
Ndio sawa na wewe unayesema Boniface nani sijui anafaa kuwa rais.
 
Back
Top Bottom