Chama kikuu cha upinzani ni ACTKwa upande wa chama kikuu cha Upinzani Chadema
Demokrasia iko wapi? Hizi tabia za kikomunisti kama kwa KimCCM mgombea Urais wa JMT atakuwa Rais Samia na fomu itakuwa Moja
Mods kuacha threads za kizushi kama huu ni kulidhalilisha jukwaa. Kila mtu akilewa K vant zake anatupia uchafu humu haikubalikiKama inavyojulikana kwa Utamaduni wa CCM mgombea Urais wa JMT atakuwa Rais Samia na fomu itakuwa Moja
Kwa upande wa chama kikuu cha Upinzani Chadema inadaiwa atasimama Meya mstaafu wa Manispaa ya Ubungo mh Boniface Jacob
Hata hivyo haisemwi kama Tundu Antipas Lisu ana Mpango gani mwaka huo 2025
Ilitegemewa Zitto Kabwe wa ACT wazalendo naye angegombea lakini kwa sasa chama chake kinaunda Serikali kwa ubia na CCM hivyo Utamaduni wa chama tawala wa fomu Moja unawahusu na Wao
Jumaa kareem!
ACT wazalendo ni chama Kikuu nchini ZanzibarChama kikuu cha upinzani ni ACT
Demokrasia iko wapi? Hizi tabia za kikomunisti kama kwa Kim
Tangu lini Zanzibar ikawa nchi?ACT wazalendo ni chama Kikuu nchini Zanzibar
Bora wao akili zao wanazijua wenyewe,nyie akili hamna akili kabisa.Siwezi kushangaa maana kwa chadema hata mdude huwezi ukashangaa wakaja kumsimamisha kugombea Urais maana akili za wanachadema wanazijuwa wao wenyewe
Kwa sababu ni Bonny ndio unapata makasiriko?Mods kuacha threads za kizushi kama huu ni kulidhalilisha jukwaa. Kila mtu akilewa K vant zake anatupia uchafu humu haikubaliki
Muulize Salum Mwalimu hapo Ufipa stTangu lini Zanzibar ikawa nchi?
Huna akili.Kwa sababu ni Bonny ndio unapata makasiriko?
Basi anakuja kugombea James Mbatia
Tayari nimeshakuwini kisaikolojia Ndo hicho haswa nilikuwa nang'ang'ania na kusumbuka kutafuta
Manka acha wivuMods kuacha threads za kizushi kama huu ni kulidhalilisha jukwaa. Kila mtu akilewa K vant zake anatupia uchafu humu haikubaliki
Tayari na wewe pia nimeshakuwini kisaikolojia.Pale kichaa anapocheka na wanaocheka. Hudhani ndo Kawa mzima. Kuwini kisaikolojia ndo nini mkuu.
Wewe ndondocha kweli kama mpa CCM ya chato nayo uliishadadia mpaka hapo nilikutoa samani kabisaKwani Chadema mnatoa fomu Moja?
Mwendazake hawezi kusahaulika sio ufipa tu bali Tanzania nzima na Africa nzima!! Huo ndio ukweli !! Ila pia wapo aliowajeruhi watamkumbuka kwa namna nyingine kulingana na majeraha yao. !! Maisha ndivyo yalivyo Negative na positive !!Mwendazake hatasahaulika hapo Ufipa st
Kinyeo kinakuwasha weweManka acha wivu
Acha povu manka endelea kunywa mbegeKinyeo kinakuwasha wewe
Kwa Akili ndogo alidhani ataiua CHADEMA Akafa yeyeMwendazake hatasahaulika hapo Ufipa st
Hilo shimo linakuwashaAcha povu manka endelea kunywa mbege
Hahaha........ makasiriko!Huna akili.