Tetesi: Boniface Jacob kugombea Urais wa JMT kwa tiketi ya CHADEMA 2025

Mods kuacha threads za kizushi kama huu ni kulidhalilisha jukwaa. Kila mtu akilewa K vant zake anatupia uchafu humu haikubaliki
 
Pale kichaa anapocheka na wanaocheka. Hudhani ndo Kawa mzima. Kuwini kisaikolojia ndo nini mkuu.
Tayari na wewe pia nimeshakuwini kisaikolojia.

Inflicting pain and annoyance without physical altercation
 
Nchi ya magufuli hata Hadija Kopa haimshindi hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…