Pre GE2025 Boniface Jacob na Godlisten Malissa Wafikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu

Pre GE2025 Boniface Jacob na Godlisten Malissa Wafikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
QUOTE="Benjamini Netanyahu, post: 50163673, member: 239258"]
Muliro ni mtu wa hovyo haswa
[/QUOTE]
Wakistaafu wanatia huruma sana
 
Kwa jinsi Malisa alivyokuwa anatetemeka pale Kisutu, mfanowe Jenereta la mwaka 1947, kweli tutambe nyumba ya key board tu
 
Picha la kutisha

Screenshot_2024-05-06-16-09-58-1.png
 
Back
Top Bottom