Pre GE2025 Boniface Jacob na Godlisten Malissa Wafikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu

Pre GE2025 Boniface Jacob na Godlisten Malissa Wafikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Asante
 

Attachments

  • IMG-20240506-WA0016.jpg
    IMG-20240506-WA0016.jpg
    49.2 KB · Views: 2
Wamefunguliwa kesi ya Uchochezi na kuzua Taharuki

Kesi hiyo imefunguliwa kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu, Dar es Salaam.

Bado haijajulikana kama watapata dhamana au watapelekwa Segerea

Jopo la Mawakili wao likiongozwa na Peter Kibatala tayari lishafika Mahakamani hapo kusimamia utetezi.

Pia soma
- Mauaji ya Robert Mushi ndugu wa aliyekuwa Meya wa Ubungo Boniface Jacob polisi wanahusika?

- Kamanda Muliro: Malisa GJ, Boniface Jacob wakamatwe kwa tuhuma za kupotosha taarifa za kifo cha Robart Mushi

- Utata sakata la ndugu wa Boniface Jacob: Kupotea mpaka kukutwa mochwari ya polisi, Amana wapigilia msumari!

- Hatimaye Malissa na Boniface Jackob waachiwa kwa dhamana
SAWA AFISA HABARI WA CHADEMA JM
 
Wamefunguliwa kesi ya Uchochezi na kuzua Taharuki

Kesi hiyo imefunguliwa kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu, Dar es Salaam.

Bado haijajulikana kama watapata dhamana au watapelekwa Segerea

Jopo la Mawakili wao likiongozwa na Peter Kibatala tayari lishafika Mahakamani hapo kusimamia utetezi.

Pia soma
- Mauaji ya Robert Mushi ndugu wa aliyekuwa Meya wa Ubungo Boniface Jacob polisi wanahusika?

- Kamanda Muliro: Malisa GJ, Boniface Jacob wakamatwe kwa tuhuma za kupotosha taarifa za kifo cha Robart Mushi

- Utata sakata la ndugu wa Boniface Jacob: Kupotea mpaka kukutwa mochwari ya polisi, Amana wapigilia msumari!

- Hatimaye Malissa na Boniface Jackob waachiwa kwa dhamana
wakawajibike ipasavyo sasa waache kutia huruma :whatBlink:
 
Back
Top Bottom