Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Urefu wa kamba yakeKibatala kazi yake kula pesa za chama tu.
Kibatara hachukui hata senti tano kwenye kesi za ChademaKibatala kazi yake kula pesa za chama tu.
Huu uongo unawafaa nyumbu tu, watunzie.Kibatara hachukui hata senti tano kwenye kesi za Chadema
Hujui kitu weweHuu uongo unawafaa nyumbu tu, watunzie.
Kibatala ni mnufaika wa hizo kesi, no wonder ni mratibu wa hizo vurugu huko gengeni.Hujui kitu wewe
SAWA AFISA HABARI WA CHADEMA JMWamefunguliwa kesi ya Uchochezi na kuzua Taharuki
Kesi hiyo imefunguliwa kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu, Dar es Salaam.
Bado haijajulikana kama watapata dhamana au watapelekwa Segerea
Jopo la Mawakili wao likiongozwa na Peter Kibatala tayari lishafika Mahakamani hapo kusimamia utetezi.
Pia soma
- Mauaji ya Robert Mushi ndugu wa aliyekuwa Meya wa Ubungo Boniface Jacob polisi wanahusika?
- Kamanda Muliro: Malisa GJ, Boniface Jacob wakamatwe kwa tuhuma za kupotosha taarifa za kifo cha Robart Mushi
- Utata sakata la ndugu wa Boniface Jacob: Kupotea mpaka kukutwa mochwari ya polisi, Amana wapigilia msumari!
- Hatimaye Malissa na Boniface Jackob waachiwa kwa dhamana
TOKA MAKTABA:
23 April 2024
POLISI - "TUNAMKAMATA BONIFACE JACOB na MWENZAKE" -NI kwa TUHUMA za KUSAMBAZA UJUMBE WENYE TAHARUKI..
View: https://m.youtube.com/watch?v=WbCQZGJKPs4
Ulitaka ale za mumeo?Kibatala kazi yake kula pesa za chama tu.
Ulitaka ale za mumeo?
Shukrani dada angu
Umefurahi?Shukrani dada angu
Poa poaUmefurahi?
Ujumbe huu umfikie, pia akipata muda apite hapa Mweni kwa Mzee Kova, kupata uzoefu wa maisha ya kustaafu yalivyo na changamoto,Huyu mzee anajiona atakuwa ni polisi milele na milele
Muliro ni mtu wa hovyo haswaUjumbe huu umfikie, pia akipata muda apite hapa Mweni kwa Mzee Kova, kupata uzoefu wa maisha ya kustaafu yalivyo na changamoto,
HahahaHuyu mzee anajiona atakuwa ni polisi milele na milele
Wakivaa hizo uniform zao akili zinaishia hapo tuHahaha
wakawajibike ipasavyo sasa waache kutia hurumaWamefunguliwa kesi ya Uchochezi na kuzua Taharuki
Kesi hiyo imefunguliwa kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu, Dar es Salaam.
Bado haijajulikana kama watapata dhamana au watapelekwa Segerea
Jopo la Mawakili wao likiongozwa na Peter Kibatala tayari lishafika Mahakamani hapo kusimamia utetezi.
Pia soma
- Mauaji ya Robert Mushi ndugu wa aliyekuwa Meya wa Ubungo Boniface Jacob polisi wanahusika?
- Kamanda Muliro: Malisa GJ, Boniface Jacob wakamatwe kwa tuhuma za kupotosha taarifa za kifo cha Robart Mushi
- Utata sakata la ndugu wa Boniface Jacob: Kupotea mpaka kukutwa mochwari ya polisi, Amana wapigilia msumari!
- Hatimaye Malissa na Boniface Jackob waachiwa kwa dhamana
