Boniface Jacob: Polisi walioua Mlinzi wa Bar ya Boardroom Sinza wadaiwa kutumwa na RC Chalamila kukamata Wanaojiuza

Hivi mwanamke kuvaa nguo fupi ni kujiuza?
Polisi kuweni na heshima. Isitoshe hiyo ni Night club unatarajia kuwepo na maderah!Madera!!
Je na Strip club nazo ziitweje??
Uchani upoyoyo ninyi polisi!
 
Nikiona nchi inapambana na petty issues kama wadada poa naona ni taifa moja la kifala sana. Huyo Chalamila ni mlevi na malaya mbwa. Hatuna viongozi wenye maadili na ubunifu. Kaona hiyo ishu ya madada poa ni ajenda za msingi za mkoa?

Ukiweza kuishi nchi za waliostaarabika ukawa raia wa kudumu it is better kuliko kukaa nchi inayonuka kama Tanzania.

Maafrika hatujafikia kilele cha ustaarabu wa kujitawala na kujisimamia. Makosa makubwa walifanya wazungu ni kuja kuleta mifumo yao kwa watu weusi. Mtu mweusi aliumbwa aishi maisha ya kiporipori.
 
Hao madada poa yeye mwenyewe mteja. Pale hakuna kiongozi. Namuonaga anapokujaga Iringa jinsi anavyotukana, mtejenya na kuchekacheka na yule Dada Kibonge pale kwa Nelly Samora.
 
Jeshi la polisi kanda ya Dar wanasema polisi wawili waliohusika wamekamatwa

Nilitaka nifurahi lakini nikakumbuka kisa cha Akwelina, Mwangosi na wale wafanyabiashara wa madini kutoka Morogoro

Utasikia tume ya uchunguzi itaundwa na blaa blaa kibao
 
Mtu aliekaa baa anakunywa unamtuhumu vipi kahaba? Bora wangekuwa wamesimama huko nje ndio wawakamate.

Tambua tanzania bado ina uhuru wa mavazi ukipanga kukamata wanawake wenye nguo fupi kila night club hapa mjini ipo hivyo.
Hata nje ya Bar huwezi kuwa kamatakamata waliovaa nguo fupi kwa sababu hakuna sheria yoyote inayokataza uvaaji nguo fupi nchi hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…