Boniface Jacob: Polisi walioua Mlinzi wa Bar ya Boardroom Sinza wadaiwa kutumwa na RC Chalamila kukamata Wanaojiuza

We Chalamila nilikushauri uachane na hii mambo ya kushindana na nguvu za asili....angalia sasa unapata mitihani kwa damu zisizokuwa na hatia......Mwagito...upulike???
 
Hii imechoka ni balaa. Petty issue kama madada poa na kujiuza kwao nayo imekuwa ni kipaumbele kiasi cha mkuu wa mkoa kuagi a wafuatiliwe. Mtu asiye na hatia anauwawa na mkuu anaroa kejeli.
Ninkama vile nchi haina uongozi.
 
Vijana wa mama hao. Wanatekeleza ilani chao.
 
Mtu anauza k yake wewe Chalamila inakuuma Nini dada zako umewaacha ifwagi huku inoo ifiligi fya kukinondoni vinakuhusu Nini blaza?napo waiweenda!!!maana na Yu veve pe kidomite si muunu na ludodo acha hizo mwagito
 
Hao wanawake wanaojiuza wanaipunguzia nini serikali au huyo mkuu wa mkoa??
Inashangaza kwamba mambo ya aina hii ndiyo yanakuwa kipaumbele cha hawa viongozi, kana kwamba nchi hii haina mambo ya muhimu zaidi.
Hata kufikiria tu kwa nini hawa watu inalazimu wajiingize kwenye kazi hiyo kwa ukosefu wa kazi nyingine za heshima, hilo viongozi haliwaingii akilini kabisa
 
Hawa wanasiasa ndio chanzo cha maisha magumu yanayosababisha vijana kujiuza kutoka na ukosefu wa ajira. Viongozi wenyewe ndio wateja wakuu wa machagudoa. Alaaniwe Chalamila na CCM yake
 
Hivi mwanamke kuvaa nguo fupi ni kujiuza?
Polisi kuweni na heshima. Isitoshe hiyo ni Night club unatarajia kuwepo na maderah!Madera!!
Je na Strip club nazo ziitweje??
Uchani upoyoyo ninyi polisi!
HILI SWALA NI PANA SANA NA UNYANYASAJI WA KIJINSIA....MWANAMKE ANAYEJIUZA NA MWANAUME ANAYENUNUA WOTE SI WANAMAKOSA??? SASA KWANN ATTACK IENDE KWA WADADA TUUU?? KWANN WANAUME WANAONUNUA WASIKAMATWE PIA?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…