Boniface Jacob: Polisi walioua Mlinzi wa Bar ya Boardroom Sinza wadaiwa kutumwa na RC Chalamila kukamata Wanaojiuza

Boniface Jacob: Polisi walioua Mlinzi wa Bar ya Boardroom Sinza wadaiwa kutumwa na RC Chalamila kukamata Wanaojiuza

Mihemko imetawala fikra humu ndani.

Chuki imeweka mawingu ya giza kwenye upeo.

Makusudi au bahati mbaya?


Kwamba wengi tunaamini kabisa mkuu wa mkoa kawaagiza hao Askari wanaonekana humo kwenye Video? Aliwapa kabisa official order akawapa na module of execution?

Hiyo kauli yake iliyonukuliwa ni kwamba tunafanya makusudi kuitafsiri tofauti ama ni upeo uko chini kabisa usawa wa makanyagio ya malapa!?

Kwahiyo akishawajibishwa Chalamila kwa kutenguliwa ama kuhamishwa mkoa, hao Askari waliofanya mauaji wasamehewe maana walitumwa tu?
Polisi hawakutumwa kufanya mauaji ila ni utaratibu wao kwenda kwenye sehemu za aina hiyo kudai rushwa. Hili ni tatizo la siku nyingi na wala siyo kweli kama wanakamata machangudoa. Hii ni njia yao ya kujipatia riziki siku zote. Tatizo ni kuwa watu wameanza kuwachoka ndiyo maana waliwapandishia. Kuhusu Chalamila, japo hahusiki na haya mauaji, lakini ni aina ya mabwege yaliyowekwa kwenye nafasi za uongozi kutumika. Hafai hata kabila haya mauaji hayatokea.
 
Badala Serikal Itafute Viongozi Wanaowachomekea Raia Vyupa Vya Matako Inang'ang'ana Na Madada Poa.NONSENSE
Serikali haitafanya chochote bila kushinikizwa na wananchi, hili jambo linatakiwa kueleweka na watu wote. Kwa mfano hayo mauaji ya huyu mlinzi ilitakiwa kuanzia ule usiku, watu waingie mitaani na kufanya mambo ambayo yangewafanya polisi na watawala kujuta na ikiwezekana kukimbia kwenye nyumba zao. Hili la mtu anauawa na polisi halafu raia tunabaki kulialia na kuomba ''rais wetu mpendwa na msikivu'' atusikilize haliwezi kuzaa matunda kamwe. Leo ni huyo mlinzi, kesho hatujui ni nani...
 
View attachment 2828910
View attachment 2828922
View attachment 2828921

1. Polisi wawili waua kwa risasi mlinzi wa Bar maarufu ya Boardroom iliyopo Sinza Jijini Dar es Salaam.

2. Mlinzi waliyeuwawa kwa risasi anaitwa Razak Anan mwenye umri wa miaka 29 muajiriwa wa Bar ya Boardroom, Sinza

3. Polisi kutoka kituo cha Polisi Mabatini walifika na gari na kupaki nje ya Bar ya Board room na kuanza msako wa Dada poa kwa kusema ni agizo la Mkuu wa Mkoa.

4. Lakini Polisi hao walikuwa wakiwatoa nje wahudumu na wateja katika Bar hiyo ambao walikuwa na min skirt (sketi fupi) kwa kusema kuwa watu hao kwa mavazi yao walikuwa wanajiuza katika Bar hiyo ya usiku (night Club)

5. Wateja wengine walipona udhalilishaji na manyanyaso hayo walianza kuondoka katika Bar hiyo ya Boardroom na waliobakia waligoma kutolewaa nje ya Bar kwa muonekano wa mavazi yao.

5. CCTV za Bar ya Board room inayonyesha Polisi hao walipoona wadada wanakata kufananishwa na machangudoa walienda katika gari na kuchujua silaha aina ya bunduki (SMG) na kuanza kutishia wateja na kuelekezea katika meza za wateja waliokuwa wanakunywa katika Bar hiyo.

6. Polisi hao ambao walikuwa wanaonekana wametumia kilevi walifyatua risasi kadhaa kisha kuondoka na gari yao kutoka eneo hilo la Bar ya Boardroom na baada ya kuondoka wateja walirejea na kukuta mlinzi mmoja wapo akiwa amelala chini akiwa amepigwa risasi na kuvuja damu nyingi (video inaonyesha damu ya marehemu)

7. Mlinzi wa Board room alifariki njiani akiwa katika Bajaji anakimbizwa hospitali.

8. Matukio ya polisi kuvamia sehemu za starehe na nyumba za watu binafsi ni maagizo ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam ambaye anaendesha zoezi la kutafuta madanguro na kusaka madada poa.

9. Leo Mkuu wa Mkoa amesisitiza mauaji kufanywa na polisi ni Jambo la kawaida "Mtu akifia kituo cha polisi tunasema Polisi wameua, Mtu akifia hospitali tunasema ni Mapenzi ya Mungu" RC-DSM, Chalamila

10. Nawakumbusha kulaani tukio lolote la Polisi kuua raia kwa kisingizio chochote kile, Leo kwa huyu kesho kwake.

Boniface Jacob EX Mayor Ubungo
Pia soma >>> Polisi kuua mlinzi wa bar Dar: Je, Chalamila anakwepaje kuwajibika?
Chalamila ana akili ndogo sana. Tangu ashabikie raia kufurikiwa na maji kwenye makazi yao halali, nilimdharau sana. Inashangaza watu wapumbau kama huyu kupewa madaraka yanayomzidi na kuletwa kwenye jiji kubwa kama Dar. CCM ni mijitu ya ajabu sana.
 
Viongozi wengi tulionao wana uwezo mdogo wa kiakili ndio maana wanatumia nguvu. Hii ni nchi ya ajabu kabisa.
Hatuwezi kuchagua kiongozi mbovu kama na sisi siyo wabovu au vigezo vyetu vya kuchaguana vipo chini sana. Mfano ukipewa elfu 5 shilling na tshirts au kanga unachagua mla rushwa. Means hata sisi tuliochagua ni Wala rushwa
 
View attachment 2828910
View attachment 2828922
View attachment 2828921

1. Polisi wawili waua kwa risasi mlinzi wa Bar maarufu ya Boardroom iliyopo Sinza Jijini Dar es Salaam.

2. Mlinzi waliyeuwawa kwa risasi anaitwa Razak Anan mwenye umri wa miaka 29 muajiriwa wa Bar ya Boardroom, Sinza

3. Polisi kutoka kituo cha Polisi Mabatini walifika na gari na kupaki nje ya Bar ya Board room na kuanza msako wa Dada poa kwa kusema ni agizo la Mkuu wa Mkoa.

4. Lakini Polisi hao walikuwa wakiwatoa nje wahudumu na wateja katika Bar hiyo ambao walikuwa na min skirt (sketi fupi) kwa kusema kuwa watu hao kwa mavazi yao walikuwa wanajiuza katika Bar hiyo ya usiku (night Club)

5. Wateja wengine walipona udhalilishaji na manyanyaso hayo walianza kuondoka katika Bar hiyo ya Boardroom na waliobakia waligoma kutolewaa nje ya Bar kwa muonekano wa mavazi yao.

5. CCTV za Bar ya Board room inayonyesha Polisi hao walipoona wadada wanakata kufananishwa na machangudoa walienda katika gari na kuchujua silaha aina ya bunduki (SMG) na kuanza kutishia wateja na kuelekezea katika meza za wateja waliokuwa wanakunywa katika Bar hiyo.

6. Polisi hao ambao walikuwa wanaonekana wametumia kilevi walifyatua risasi kadhaa kisha kuondoka na gari yao kutoka eneo hilo la Bar ya Boardroom na baada ya kuondoka wateja walirejea na kukuta mlinzi mmoja wapo akiwa amelala chini akiwa amepigwa risasi na kuvuja damu nyingi (video inaonyesha damu ya marehemu)

7. Mlinzi wa Board room alifariki njiani akiwa katika Bajaji anakimbizwa hospitali.

8. Matukio ya polisi kuvamia sehemu za starehe na nyumba za watu binafsi ni maagizo ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam ambaye anaendesha zoezi la kutafuta madanguro na kusaka madada poa.

9. Leo Mkuu wa Mkoa amesisitiza mauaji kufanywa na polisi ni Jambo la kawaida "Mtu akifia kituo cha polisi tunasema Polisi wameua, Mtu akifia hospitali tunasema ni Mapenzi ya Mungu" RC-DSM, Chalamila

10. Nawakumbusha kulaani tukio lolote la Polisi kuua raia kwa kisingizio chochote kile, Leo kwa huyu kesho kwake.

Boniface Jacob EX Mayor Ubungo
Pia soma >>> Polisi kuua mlinzi wa bar Dar: Je, Chalamila anakwepaje kuwajibika?
Sasa huyo mkuu wa mkoa anadhani anaweza kuwazuia wadada wasijiuze
Tena dar es salaam sinza?

Iseee kwani hawanaga mipango kazi ya kuisimamia wanapokabidhuwa ofc mbona kama hawa viongozi wetu wakipata madaraka wanakuja na agenda zao na maoni na utendaji wao na makandokando yao.
 
Sasa huyo mkuu wa mkoa anadhani anaweza kuwazuia wadada wasijiuze
Tena dar es salaam sinza?

Iseee kwani hawanaga mipango kazi ya kuisimamia wanapokabidhuwa ofc mbona kama hawa viongozi wetu wakipata madaraka wanakuja na agenda zao na maoni na utendaji wao na makandokando yao.
Makonda naye na utaratibu wa kuwalazimisha wadada wenye watoto wawataje wazazi wenzao ili wanaume ambao wameshindwa kulea hao watoto washughulikiwe.
 
Polisi hawakutumwa kufanya mauaji ila ni utaratibu wao kwenda kwenye sehemu za aina hiyo kudai rushwa. Hili ni tatizo la siku nyingi na wala siyo kweli kama wanakamata machangudoa. Hii ni njia yao ya kujipatia riziki siku zote. Tatizo ni kuwa watu wameanza kuwachoka ndiyo maana waliwapandishia. Kuhusu Chalamila, japo hahusiki na haya mauaji, lakini ni aina ya mabwege yaliyowekwa kwenye nafasi za uongozi kutumika. Hafai hata kabila haya mauaji hayatokea.


Kama ndivyo basi vita yote ielekezwe kwenye jeshi la police Tanzania na sio kwa mkuu wa mkoa alieteuliwa majuzi tu na soon pia atatoka na mwingine atakalia hicho kiti.


Hao wamiliki wa maeneo ya Starehe wanaoendelea kuwalipa hao Askari ujira kila usiku nao ni sehemu ya matatizo katika jamii zetu.

Maana wao ndio washiriki wa kuyakuza matatizo na yakiwazidi uwezo wa kuyatatua Kama lilivyo hili wanakuja mbele ya jamii nzima kutaka huruma na kupeleka lawama zao kwa wasiostahili.

Jamii nayo kama hivi inaingia katika mtego wa mbwa kukimbiza mkia wake mwenyewe. Ni ujinga.




Kumuita bwege kiongozi wa mkoa aliyeteuliwa na Rais wa nchi inakuongezea nini kilichokupungukia wewe?
 
Back
Top Bottom