Boniface Jacob: Vituko vya Polisi wodini kwa Edger Edson Mwakabela (Sativa)

Boniface Jacob: Vituko vya Polisi wodini kwa Edger Edson Mwakabela (Sativa)

Ushahidi wa kuwa walioteka polisi uko wapi?
Polisi akikosea kuna hatua huchukuliwa

Wao polisi wanataka nao kujiridhisha kama waliomteka walikuwa polisi
Na njia mojawapo ya kujua hilo ni.kumhoji aliyetuhumu
Hapo karakana ya osterbay huwa wanakaa kina nani km sio hao police?
 
Ni upumbavu mkubwa sana kuamini polisi wanahitaji kumdhuru huyo dogo kwa style hiyo.
Unawezakuwa smart lakini mpaka ukaanza kuchukua tahadhari zisizohitajika ukaonekana mbuzi.
 
Hapo karakana ya osterbay huwa wanakaa kina nani km sio hao police?
Kijana alijuaje kwamba alitoka karakana,harafu akaenda arusha??akiwa katekwa??

Watekaji walimteka kishkaji sana haikuwa kama roma nadhani.
 
View attachment 3031466
1.Juzi Siku ya Jumapili ya tarehe 30 Jume 2024 walifika polisi 10.

Eti akiwemo askari wa usalama barabarani (Traffic police) wanataka kumuhoji Edger Edson Mwakabela

2.Walipozuiwa kuingia wote 10 na Daktari,wakakaruhusiwa waingie japo Polisi wawili tuh.

Katika hao wawili walipo ingia kumuhoji mgonjwa

wakaona mgonjwa hawezi Kuongea,

Cha ajabu Polisi mmoja akapiga simu akiwa ndani ya chumba cha Mgojwa na haijulikani alikuwa anaongea na nani.

Maongezi yake yalikuwa ya dharau sana na kejeli lwa Mgonjwa mbele ya Daktari wake.

"Mtu mwenyewe tumemuona hapa,tunammwambia tunataka kumuhoji anajifanya hawezi kuongeaaaa."

3.Jana karudi Polisi mmoja anaitwa James ,anasema katoka Ofisi ya DCI,Dodoma (ikabidi niitwe kwa haraka sana)

Alisema amekuja kuandika maelezo ya mgonjwa.

4.Tulipo mwambia mbona mgonjwa kashaandikwa maelezo na RCO (Mkuu wa Upelelezi Polisi Mkoa wa Katavi) tangu tarehe 27 June 2024, alipokuwa Hospitali ya Mpwimbwe

5.Afande James anayedai katoka Kwa DCI,Dodoma akadai yeye kaja kuchua maelezo ya nyongeza tu.

Lakini niliposoma maelezo ambayo alikuwa ameanza kuyachukua kutoka kwa Mgonjwa, alikuwa anahoji kisa chote upya na siyo nyongeza kama alivyo dai.

6.Tukawahoji Polisi Jana kuwa wanamuhoji Edger Edson Mwakabela kama mtuhumiwa au nani..?

7.Polisi wakajibu wanamuhoji Edger Edson Mwakabela kama Shahidi katika kesi hiyo.

8.Tulipomuuliza Afande James ,Edger Edson Mwakabela anahojiwa ama Shahidi katika kesi ipi na imefunguliwa wapi..?

Kajibu hata yeye hajui kama kesi imeshafunguliwa labda tumuulize DCI.

9.Tukamuuliza Afande James,Je mapaka sasa Jeshi la Polisi limefungua Jalada la Uchunguzi/ Upelelezi sehemu yoyote..?

Akajibu hata yeye mwenyewe hajui,labda tumuulize DCI

10.Tumeshangaa sana kuona maelezo ya Shahidi yanachukuliwa kabla ya Kufunguliwa kwa Jalada la kesi au Jalada la Uchunguzi.

11.Tumekubaliana mgonjwa na mawakili wake,Jeshi la Polisi lisimsumbue tena Mgonjwa wetu

Na Hospitali ya Agakhan tumewaeleza marufuku mtu kuja kumuhoji mgonjwa bila kushrikishwa sisi au ndugu wa karibu.

12.Kama DCI alikuwa anaona Mgonjwa wetu Edger Edson Mwakabela ni Shahidi muhimu atueleze

1.kwanini Mgonjwa tulimsafirisha sisi badala ya serikali au Jeshi la Polisi kutoka katavi kuja Dar es saalam.

2. Ni kwa nini tulipoomba escort ya Jeshi la Polisi kusindikiza ambulance ya Mgonwa kutoka katavi hadi Dar es saalam tuliagizwa kuwalipa askari wawili waliomsindikiza Mgonjwa kila mmoja Tsh 300 ,000/=

Na tukalipa vizuri.

13.Mwisho,tumekataa kwa sasa,wakati huu wa matibabu Jeshi la Polisi kumsogelea Mgonjwa au chumba cha Mgonjwa wakati muhimu kama huu tunapo pambania uhai wake.

Kwa sababu wao Jeshi la Polisi ndiyo watuhumiwa namba moja waliotajwa na mgonjwa,kwamba wamehusika katika kumteka ,kumtesa na Kumpiga risasi.

Jana pia baada ya tukio hili tuliamua kumuhamisha mgonjwa kutoka wodi ya Watu wawili kwenda wodi ya chumba binafsi cha mtu mmoja ltk Hospitali ya Agakhan kwa ajili ya usalama na ulinzi wa Mgonjwa wetu.

N.B
Tutakuwa ni vichaa kama tutaendelea kuwapa Ushirikiano Jeshi la Polisi ambao ni watuhumiwa namba moja.

Tutakuwa ni wendawawazimu kama tutakubali Jeshi la Polisi lijichunguze na lijichukulie hatua ikiwa wao ndiyo watuhumiwa wa utekaji ,utesaji na mauaji.

Cc: Boniphace Jacob Meya Mstaafu
Hili suala lishaanza kuwa gumu baada ya WANASIASA kuingilia!!
 
Kijana alijuaje kwamba alitoka karakana,harafu akaenda arusha??akiwa katekwa??

Watekaji walimteka kishkaji sana haikuwa kama roma nadhani.
Kwani maelezo yake hukusikiaa? Au unajisahaulishaa?
 
Kwani maelezo yake hukusikiaa? Au unajisahaulishaa?
ndio maana watu wanataka wamhoji zaidi.

maswali ni mengi wa kutoa majibu ni yeye mhanga tu, sio mashoga zake wala masela zake.
 
ndio maana watu wanataka wamhoji zaidi.

maswali ni mengi wa kutoa majibu ni yeye mhanga tu, sio mashoga zake wala masela zake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah!!
Mashoga na maselaa hapa wanakujajee? Woiiiiiih
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah!!
Mashoga na maselaa hapa wanakujajee? Woiiiiiih
Mashoga si marafiki wa karibu,sio mashoga kwa maana ya watu wa iphones😁
 
una uwezo mdogo sana kiakili halafu uache kuingilia taaluma za watu.Unajua taratibu za kipelelezi hata moja?

Eti tumezuia hakuna mtu kuruhisiwa kuja kumuhoji wewe una mamlaka ya kuzuia chombo cha dola kutekeleza wajibu wake?

Kuhusu kuwalipa askari wa escort ni wajibu wa muomba ulinzi kuwapa askari mahitaji yote muhimu hii ni kwa mujibu wa PGO,ndiyo maana mlilipa 300k.

C&P.
Tatizo kubwa kabisa ambalo lipo kwa TISS na Polisi wa Tanzania ni kwamba wanaamini kuwa ni wao tu ndio wenye uwezo wa kuweza kufanya kazi za upelelezi, na kudhani kwamba Watu wengine wote hawana uwezo wa kufanya upelelezi.
 
Dogo anajuwa kilichomsababishia msala hata wauwaji wnaweza walikuwa wamemwambia, so awe makini kifo bado kina muandama
 
Vitu vingine mnaleta complications bure

Alihojiwa na polisi office ya RPC Katavi

Hao waliokuja wanatoka makao makuu ambao ndio wenye uwezo wa juu kuliko RPC kujua ukweli na kuchukua hatua

Sasa tukio liliyokea Dar na Katavi

RPC Dar hajahoji unataka jeshi la polisi Dar na makao makuu litegemee tu taarifa za RPC Katavi tu wakati tukio.lilitokea miko mingi tofauti Dar,Arusha nk?

Mleta mada kuna kitu unataka kuficha

Mgonjwa anasema alipelekwa kituo cha polisi osterbay akihojiwa katavi

RPC wa katavi hana mamlaka na RPC wa Dar huyu wa Dar na yeye anatakiwa kuhoji kuanzia tukio lilipoanza sababu likianzia kwenye eneo lake

Kuhojiwa na traffic pia sio kuwa sio kawaida mtuhumiwa anasema alisafirishwa kwa gari toka alipotekwa .Njiani kuna Traffic na hata kituoni huwepo traffic sehemu zingine kamera zipo barabarani akimweleza kuwa hiyo gari siku hiyo ilikuwa gari gani traffic waweza jua bila shida.Sababu haweza safari barabara zote hizo bila hiyo gari kuonekana na Traffic polisi haiwezekani sasa mnakataa traffic asihoji mna lenu jambo

Sasa kama hamtaki kutoa ushirikiano mtakuwa na kitu mnaficha ambacho mnakijua wenyewe
Wewe ,unaonaje ungekaa kimya ,rejea hoja namba 8 na 9 , hawajakataa
 
Huyo dogo msipokuwa makini watamuua maana wanajua akipona vyema Kuna maafsa wa polisi vibarua vyao vitakuwa hatarini.

..kuna ushahidi wameacha ktk harakati za kumteka.

..ushahidi mmojawapo ni ajali iliyotokea kati ya gari iliyomteka na bodaboda.
 
una uwezo mdogo sana kiakili halafu uache kuingilia taaluma za watu.Unajua taratibu za kipelelezi hata moja?

Eti tumezuia hakuna mtu kuruhisiwa kuja kumuhoji wewe una mamlaka ya kuzuia chombo cha dola kutekeleza wajibu wake?

Kuhusu kuwalipa askari wa escort ni wajibu wa muomba ulinzi kuwapa askari mahitaji yote muhimu hii ni kwa mujibu wa PGO,ndiyo maana mlilipa 300k.

C&P.
Mmeambiwa subirini mgonjwa apone ile risasi ilitokea mdomoni ,sio kwenye kinyeo chako hicho na taya zako zikawa salama salimini
 
Mmeambiwa subirini mgonjwa apone ile risasi ilitokea mdomoni ,sio kwenye kinyeo chako hicho na taya zako zikawa salama salimini

..walidhani wamempiga kichwani amekufa.

..this time wasiojulikana lazima wajulikane.

..naona Rais naye kaishaona tunakoelekea siko.
 
View attachment 3031466
1.Juzi Siku ya Jumapili ya tarehe 30 Jume 2024 walifika polisi 10.

Eti akiwemo askari wa usalama barabarani (Traffic police) wanataka kumuhoji Edger Edson Mwakabela

2.Walipozuiwa kuingia wote 10 na Daktari,wakakaruhusiwa waingie japo Polisi wawili tuh.

Katika hao wawili walipo ingia kumuhoji mgonjwa

wakaona mgonjwa hawezi Kuongea,

Cha ajabu Polisi mmoja akapiga simu akiwa ndani ya chumba cha Mgojwa na haijulikani alikuwa anaongea na nani.

Maongezi yake yalikuwa ya dharau sana na kejeli lwa Mgonjwa mbele ya Daktari wake.

"Mtu mwenyewe tumemuona hapa,tunammwambia tunataka kumuhoji anajifanya hawezi kuongeaaaa."

3.Jana karudi Polisi mmoja anaitwa James ,anasema katoka Ofisi ya DCI,Dodoma (ikabidi niitwe kwa haraka sana)

Alisema amekuja kuandika maelezo ya mgonjwa.

4.Tulipo mwambia mbona mgonjwa kashaandikwa maelezo na RCO (Mkuu wa Upelelezi Polisi Mkoa wa Katavi) tangu tarehe 27 June 2024, alipokuwa Hospitali ya Mpwimbwe

5.Afande James anayedai katoka Kwa DCI,Dodoma akadai yeye kaja kuchua maelezo ya nyongeza tu.

Lakini niliposoma maelezo ambayo alikuwa ameanza kuyachukua kutoka kwa Mgonjwa, alikuwa anahoji kisa chote upya na siyo nyongeza kama alivyo dai.

6.Tukawahoji Polisi Jana kuwa wanamuhoji Edger Edson Mwakabela kama mtuhumiwa au nani..?

7.Polisi wakajibu wanamuhoji Edger Edson Mwakabela kama Shahidi katika kesi hiyo.

8.Tulipomuuliza Afande James ,Edger Edson Mwakabela anahojiwa ama Shahidi katika kesi ipi na imefunguliwa wapi..?

Kajibu hata yeye hajui kama kesi imeshafunguliwa labda tumuulize DCI.

9.Tukamuuliza Afande James,Je mapaka sasa Jeshi la Polisi limefungua Jalada la Uchunguzi/ Upelelezi sehemu yoyote..?

Akajibu hata yeye mwenyewe hajui,labda tumuulize DCI

10.Tumeshangaa sana kuona maelezo ya Shahidi yanachukuliwa kabla ya Kufunguliwa kwa Jalada la kesi au Jalada la Uchunguzi.

11.Tumekubaliana mgonjwa na mawakili wake,Jeshi la Polisi lisimsumbue tena Mgonjwa wetu

Na Hospitali ya Agakhan tumewaeleza marufuku mtu kuja kumuhoji mgonjwa bila kushrikishwa sisi au ndugu wa karibu.

12.Kama DCI alikuwa anaona Mgonjwa wetu Edger Edson Mwakabela ni Shahidi muhimu atueleze

1.kwanini Mgonjwa tulimsafirisha sisi badala ya serikali au Jeshi la Polisi kutoka katavi kuja Dar es saalam.

2. Ni kwa nini tulipoomba escort ya Jeshi la Polisi kusindikiza ambulance ya Mgonwa kutoka katavi hadi Dar es saalam tuliagizwa kuwalipa askari wawili waliomsindikiza Mgonjwa kila mmoja Tsh 300 ,000/=

Na tukalipa vizuri.

13.Mwisho,tumekataa kwa sasa,wakati huu wa matibabu Jeshi la Polisi kumsogelea Mgonjwa au chumba cha Mgonjwa wakati muhimu kama huu tunapo pambania uhai wake.

Kwa sababu wao Jeshi la Polisi ndiyo watuhumiwa namba moja waliotajwa na mgonjwa,kwamba wamehusika katika kumteka ,kumtesa na Kumpiga risasi.

Jana pia baada ya tukio hili tuliamua kumuhamisha mgonjwa kutoka wodi ya Watu wawili kwenda wodi ya chumba binafsi cha mtu mmoja ltk Hospitali ya Agakhan kwa ajili ya usalama na ulinzi wa Mgonjwa wetu.

N.B
Tutakuwa ni vichaa kama tutaendelea kuwapa Ushirikiano Jeshi la Polisi ambao ni watuhumiwa namba moja.

Tutakuwa ni wendawawazimu kama tutakubali Jeshi la Polisi lijichunguze na lijichukulie hatua ikiwa wao ndiyo watuhumiwa wa utekaji ,utesaji na mauaji.

Cc: Boniphace Jacob Meya Mstaafu
Maranja, Polisi kama wameomba kuchukua maelezo, na edga hayupo peke yake, kuna shida gani hapo kama sio ukorofi tu? hii issue imetuuma wote ila tutulize mioyo, tuiendee kwa akili. wakati wanaandika maelezo, wewe na ndugu wa edga wapo mmekaa palepale mnasikiliza,na pengine mgonjwa atakuwa amepata memory nzuri zaidi kufafanua hata ambayo hakufafanua, na pengine na ninyi mtakuwa na picha ya nini kiliandikwa kwenye maelezo ili siku moja isijetokea polisi wakaambiwa walibadilisha maelezo.

wangekuwa wanamchukua maelezo akiwa peke yake, hata mimi ningeogopa kwamba pengine wasijempiga kitambaa cha sumu au karatasi yenye sumu. ila kama na ninyi mpo hapohapo, mbona jambo rahisi tu? kwahiyo hautaki involvement ya polisi kabisa kwenye hili suala?
 
Back
Top Bottom