Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Hahaaa. Ntakushitua aisee. Nadhani anamalizia kujicheka kwanza.Mleta uzi akija unishtue swahiba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaa. Ntakushitua aisee. Nadhani anamalizia kujicheka kwanza.Mleta uzi akija unishtue swahiba
Ondoa hofu Wanayanga hawa hasira za mkizi.Yanga hawajazoea kuona wanakosa ushindi, hapo ni matokeo ya Suluhu, wangefungwa sijui hali ingekuwaje.
Na mechi ijayo wanafungwa na Azamu sijui hali itakuwaje Jangwani
Mi hiyo mechi sitaenda uwanjani lolote linaweza kutokea.
hohohohoho woyooooo gongowazi,vyuuuuraaaaaaaaa 😀😀😀😀😀😀🙂
Hebu rudia hii kauli yako tena???Tatizo letu Simba na Yanga huwa tunaangaliana wenyewe tu! Azam wana nafasi ya kuchukua ubingwa mwaka huu!
Mnajadili uzi wa 2018