Sema police CCM 🤪🤪 ,bila kuwekaa CCM mbelee ya neno police hainogi madamPolisi bwana
Huyu mvuta bangi atulie tuWewe unayemshikilia Adv.Tundu Antipas Lissu bila kuzingatia Mahitaji yake ya Kiafya utawajibika binafsi kwa Madhara yeyote yatakayo mfika. Hakuna kosa lolote alilotenda. Yeye na Wenzake waachiwe Maramoja. Usalama wa Wakili Mwenzetu na wote waliokamatwa ni kipaumbele chetu.
View attachment 3067890
Pia soma=> Lissu, Mnyika na Sugu wakamatwa na Polisi usiku huu. Baadhi ya Waandishi wa habari pia wakamatwa
Mwambie awakataze hao. Maana asipowakataza matendo yao yote inaonekana kawatuma. Hapa panahitaji hekima kama aliyoomba mfalme SuleimaniKwanini jambo lifanywe na sijui Polisi sijui nani lawama apewe mzalendo wetu namba moja Rais wa mioyo yetu?
Rais ambae hata leo ukiweka boksi la kula mpinzani wake hapati hata 10% tu ya kura zake?
Mh. rais aachwe ahudunie watanzania wanyonge na kuboresha maslai ya watumishi wa umma hasa walimu
Hapo ulipo una njaa ya tumbo mpaka akili , dume zima unamsifia Mwanamke hizo ni dalili za kuleft groupKwanini jambo lifanywe na sijui Polisi sijui nani lawama apewe mzalendo wetu namba moja Rais wa mioyo yetu?
Rais ambae hata leo ukiweka boksi la kula mpinzani wake hapati hata 10% tu ya kura zake?
Mh. rais aachwe ahudunie watanzania wanyonge na kuboresha maslai ya watumishi wa umma hasa walimu
Umeandika nilichotaka kuandika!Ndio maana huyu jamaa hawakutaka apate hii nafasi. Safi sana.