Pre GE2025 Boniface Mwabukusi: Anayemshikilia wakili mwenzetu Tundu Lissu atawajibika binafsi kwa Madhara yoyote atakayopata

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huyu jamaa Mwabukusi kimzaa mzaa atakuwa Rais wa JMT.
 
Police ni wapumbafu sna niko bar ya tarime waje I kunikamata
 
Hii kamatakamata (purge) kuwa kichocheo / hamira ( catalyst) kuumuka na kufanya kundi la upinzani ghafla kuongezeka kama andazi au mkate uliotiwa hamira.

Hatua hii ya inapelekea kuongeza ukubwa na kutambulika nguvu ya CHADEMA na ni sawa na kumpiga chura teke unamuongezea mwendo pakubwa ...

CCM YAJIPALIA MAKAA KWA KUKAMATA WATU ZAIDI YA WANACHAMA 400 WA CHADEMA

Kama vile Arab Spring ilivyozikumba nchi za kiArabu za Afrika ya Kaskazini Tunisia, Egypt n.k

Tanzania ya chama dola kongwe kilichochoka kwa kuishiwa pumzi ( in Kingunge Ngombale Mwiru voice), lazima tsunami ya GEN-Z iinge hapa kwetu, hakuna namna ya kuzuia kundi hili kubwa la kizazi kipya.




HABARI ZAIDI :
TOKA MAKTABA :

Njia za kuzuia au kukaribisha maandamano yasiyo na kikomo

When Dictators Fall: Preventing Violent Conflict During Transitions from Authoritarian Rule​

Conflict Prevention and Management

OUTLINE

UN Photo/Albert González Farran
EXPECTED END DATE:2020•03•25PROJECT STATUS:Completed

UNU-CPR RESEARCHERS: Adam Day, Luise Quaritsch​

EXTERNAL RESEARCHERS: Dirk Druet​

Why does one country peacefully transition out of authoritarian rule while another falls into violent conflict, and what can the UN do to influence pathways away from violence?​

This paper concerns the transitions out of entrenched authoritarian rule, the often volatile moments when new leadership comes into power.​

Some transitions take place peacefully, largely within constitutional order, but others may descend into civil unrest or even escalate into all-out civil war. In support the UN’s prevention mandate, this project is driven by the question, why does one country peacefully transition out of authoritarian rule while another falls into violent conflict, and what can the UN do to influence pathways away from violence?​

This project draws on scholarship around authoritarianism and neo-patrimonial States as well as original research by United Nations University Centre for Policy Research into entrenched political systems. It identifies four key factors that may influence whether a transition tends to result in violent conflict​


Entrenched authoritarian systems are those where a leader or group has centralized power and resources in a manner that limits meaningful political and economic inclusion, instrumentalizes key State institutions, reduces democratic space and often allows a specific individual to remain in power well beyond typical constitutional limits.
  1. past forms of rule (democratic or authoritarian);
  2. the way in which a political system transitions (e.g. through a coup, election, death, transfer of power or popular uprising);
  3. the fate of the individual leader, including questions of personal property and accountability for human rights abuses; and
  4. economic performance and the degree of inequality within a given society.
It further finds that, while all regime types have experienced both violent and peaceful transitions, those that are highly personalized (vesting power in an individual rather than institutions) tend to experience greater difficulties in moving into inclusive forms of governance, which may influence longer-term prospects for peace.

In exploring a comprehensive set of cases over the past 30 years, this project also makes some broader (and often counter-intuitive) findings about the role of violence in such transitions.

The transitions that occurred with the lowest levels of violence were in systems with some of the poorest governance indicators. In fact, countries at various points on the governance scale witnessed transitions that brought about dramatic and sustained change in the distribution of power with little or no violence, a finding which suggests that the quality of governance may not be directly linked to violence levels in transitions.

In contrast, two factors did appear to correlate with relatively high levels of violence: those involving foreign intervention, and transitions triggered by public uprisings. The significant rise in frequency of popular uprisings as the dominant form of transition in recent decades has meant that transitional moments have become more prone to large-scale violence. These findings raise significant questions about the role of external actors in transitional processes, and how the international community might engage before, during and after changes in leadership.

These trends in transitions present a complex and interrelated set of challenges for the UN, which often must balance its prevention mandate alongside respect for sovereignty and host State consent. The UN is often poorly placed to ramp up its prevention activities in entrenched authoritarian systems, in part because national leadership tends to be strongly resistant to engagement on politically sensitive subjects.

Additionally, these systems tend to have weak and/or highly politicized institutions, raising dilemmas for UN efforts to build institutional capacity as a hedge against violent conflict. UN leverage over the political leadership in-country is frequently constrained, given that authoritarian leaders tend to be isolated and less susceptible to traditional forms of pressure (e.g. sanctions or moral pressure). That said, there is strong evidence from this project’s case studies that the UN has engaged in creative and impactful practices in transitional settings, helping to reduce the risks of violence and building bridges towards longer-term outcomes.

Based on these findings, the paper offers twelve conclusions and recommendations for the UN when confronted with transitional moments from entrenched authoritarian rule. READ THEM
Source : When Dictators Fall: Preventing Violent Conflict During Transitions from Authoritarian Rule - United Nations University Centre for Policy Research
767 Third Avenue, 35th Floor
New York, NY 10017
United States

.................................................................
Read More :
After 37 years, a titan falls
.................................................................
 
Habari zasamba duniani kote kama moto wa nyikani unaokolezwa na upepo mkali

Tanzania opposition leaders and supporters arrested in crackdown​



Senior Chadema party figures including vice-chair detained as well as about 400 people heading to youth gathering

Carlos Mureithi and agencies in Dar es Salaam
Mon 12 Aug 2024 17.18 BST
Share


Police in Tanzania have arrested leaders of the country’s main opposition party and hundreds of its supporters in a crackdown that started at the weekend.

Police detained Tundu Lissu, the vice-chair of the Chadema party and a former presidential candidate, as well as the party’s secretary general, John Mnyika, before a gathering in the country’s south-west.

They were held on Sunday in the city of Mbeya, where the party was due to hold a conference on Monday to mark International Youth Day, John Mrema, Chadema’s director of communications and foreign affairs, told Reuters.

The party’s youth wing, Bavicha, had said about 10,000 young people were to meet in the city to mark the day.

Mrema said police also arrested about 400 supporters who were heading to the gathering.

Before his arrest on Sunday, Lissu wrote on X, addressing President Samia Suluhu Hassan: “International Youth Day is celebrated globally. Why are your police stopping Chadema youth on the road and arresting them?”...

READ MORE : theguardian.com
 
Eheeeh! Hivi ndio Cha Cha Mawakili wa Tanganyika (TLS) kilichokuwa kikifanana na TLS yetu (orijino) ya enzi na zama zetu hizoooo. za akina (Suleiman bin Rashid🙂.
Kwa kifupi, yaani Kofia ya TLS inafanya kazi (ya kupaza Sauti) hadi raha. Yaani kusema TLS ndio imeasisiwa upya leo.
 
Kwahy kumbe tofauti na vyeo vya serikalini vyenye kinga ya kushtakiwa kumbe hao marais wengine hadi wa mawakili hakuna kinga hiyo 😂
 
Huyu alitakiwa awe rais wa Tanzania.inatakiwa na vyama vingine viwe na viongozi wa namna hiyo.mfano chama Cha madaktari wanatakiwa wapate mzalendo kama mwambukusi ili Nchi ichangamke.hivyohivyo na chama Cha walimu.
Huku tunao kina Chawa Janabi hovyo kwerikweri.
 
12 August 2024

BREAKING NEWS : POLISI YAKIRI KUWAKAMATA WANACHADEMA 520 SEHEMU MBALIMBALI TANZANIA , WAACHIWA KWA DHAMANA VIONGOZI WAPEWA ESCORT YA POLISI KURUDI WALIPOTOKEA


View: https://m.youtube.com/watch?v=qXGwD4aa75U
Kamishna wa Operesheni na Mafunzo A J Haji kamishna wa jeshi la polisi Tanzania ameyasema usiku huu, kuwa wote 520 ni watuhumiwa kwa sasa ...pamoja ya kurudishwa makwao ...


.Akizungumza usiku huu Agosti 12, 2024 Kamishna wa Operesheni na Mafunzo wa Jeshi hilo nchini, Awadhi Haji amesema Agosti 11 walikamatwa 375, ikiwa wanaume 261 na wanawake 114 na leo Agosti 12 wamekamata 145, wanaume 112 na wanawake 33."

Viongozi wakuu wa Chadema waliokamatiwa mkoani Mbeya eneo la Kadege, ambao ni Makamu Mwenyekiti Tundu Lisu, Katibu Mkuu, John Mnyika, Mwenyekiti wa Kanda, Joseph Mbilinyi 'Sugu', Katibu Mwenezi wa Bavicha Taifa, Twaha Mwaipaya na Makamu Bavicha, Moza Ally
 
Ndyomaana nilikataa kazi ya upolisi baada ya ku graduate, nilijua ni kazi ya kitumwa na kutekeleza au kubeba dhambi za wanasiasa.
Kwani Wambura yeye anasemaje kwenye kazi yake ya u police!!??
 
Ndio maana huyu jamaa hawakutaka apate hii nafasi. Safi sana.
Safi sana atafanya nini zaidi ya kuongea tu? Ana tofauti gani ma Wairan wanaoapia kila dakika kumpiga Muisrael lakini hawathubutu kurusha hata jiwe?
 
Uchawa na Ulafi unaharibu image ya Tanzania
 

Attachments

  • Screenshot_20240813-015901.png
    589.5 KB · Views: 1
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…