Pre GE2025 Boniface Mwabukusi: Anayemshikilia wakili mwenzetu Tundu Lissu atawajibika binafsi kwa Madhara yoyote atakayopata

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Umesoma vizuri alichoandika?
 
Amili jeshi mkuu wa mapolisi wote ni nani?
 
Mheshimiwa Rais Mwaisa Mwabukusi umenena vema. Huyo mbwa anayemshikilia atabeba msalaba wake. PoliCCM wanapenda sana sifa za kijinga.
 
Katika neno silipendi neno wanyonge ni neno la kufanya watz km wapumbavu na kuona unyonge sifa huku waoaita wanyonge wakiogelea kweye ukwasi wa dollari sitopenda na sitolipenda hili neno unyonge ni neno baya na halifai kuita wananchi hata km wanaish kwenye kipato cha chini linakera
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…