Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Usikubali kutumiwa kisiasa kijana.Acha Porojo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usikubali kutumiwa kisiasa kijana.Acha Porojo.
Hili ni Jukwaa la nini?!Usikubali kutumiwa kisiasa kijana.
Kila jambo hupimwa Kwa wingi na ubora...Halafu utasikia machadema na mwabukusi mwenyewe wanasema mahakama haiko huru kisa wame wagwa.
Ndo mana nchi hatuwezi kuwapa mana hamueleweki
mi siyo jaji hivyo sijui sheria inasemaje hata we hujuiKila jambo hupimwa Kwa wingi na ubora...
Kwa mfano ni kesi ngapi dhidi ya CCM/Serikali huendeshwa Kwa weledi na haki?
Mfano wewe ungekuwa ni Jaji, swali la kama Halima Mdee na wenzake kuwemo Bungeni ni halali ama lah. Lingekuchukua miaka 3 kulifanyia maamuzi?
Justice doneCCM hawataki watu kama Mwabukusi ndani ya Tls. Njama zao zimekwama.
👇View attachment 3052570
Na ww kwa akili zako unaona kama alikuwa anatania? Alichosema si ndo kinachofanyika! Au?Mwacheni sasa Nape apumzike. Hamjaridhika tu?
Halafu alishasema alikuwa anatania tu.
Utashangaa huenda kuna mtu alipandikizwa wala haikuwa kamatiWakili Mwabukusi alikuwa anapinga maamuzi ya kamati ya rufani kumuengua kugombea nafasi ya Rais wa chama hicho katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika mapema mwezi ujao.
Deal done.Natamani sana kuiona TLS iliyo imara kiweredi kama LSK. Natamani sana TLS kuwa na uongozi ulio makini wenye ushindani wa hoja kama LSK. Mwambukusi ni mtendaji mzuri mwenye uthubutu anayenyoosha kauli na matendo yake. Mwambukusi ni mtendaji zaidi na msimamizi mzuri. Nafasi ya urais wa TLS kwa Mwambukusi nahisi akiupata atakuwa kama gari lililofungwa speed gouverner.... [emoji848] Huu ni mtizamo wangu binafsi naweza kukosolewa.
Sema akya munguHawezi kushinda kwa kuwa hata waliokuwa wanamuunga mkono katika kesi hii hawakupanga kumpigia kura bali kulinda integrity ya chama.