Labda watu wamenyuti wanaona mnaleta kupima kina cha maji hapa, Yule mwanasheria kapigana mke ashinde ubunge , kushinda dom huko wenye madaraka wakawa na wao wanajipigia mpka mwamba akahamaki na kwakuwa mwana sheria ndio nafuu yake ila ingekuwa masela wangemwagana ubongo jamaa wamejimilikisha na yeye katumika kama fundi bomba tu, ndio mana alikatazia jina lake asilitumie, hiyo segerea yenyewe kushinda tena sio kwa umahili wake ni hao sponsors wenye mamlaka, madaraka na mtonyo sasa atakuwaje presidaa jamani msilinganishe na Madame Presidaa kila mnayemuona.