Bonnah Kamoli, mtaalamu wa masuala ya IT mwenye ndoto ya kuwa Rais wa Tanzania

Bonnah Kamoli, mtaalamu wa masuala ya IT mwenye ndoto ya kuwa Rais wa Tanzania

Status
Not open for further replies.
Tafuta saluni yakike karibu na ulipo mkamjadili.
Mwanaume unakaa kujadili wadada bila umaalum wala chamaana alichofanya ni ufala sana
Ukishakuwa kwenye utumishi wa umma hasa siasa, lazima ujadiliwe. Kwa mabaya au mazuri. Hutaki achana na siasa.
 
Mkuu usibeze ndoto zake, ni msomi mzuri na anapata uzoefu kamati nyeti hiyo
Mbona mnachokoza watu mnataka waseme yale wasiyotaka kusema kutokana na mifungo inayoondelea, Ubunge bado mpaka Mume akamshinda huo uraisi si ndio itakuwa balaa mwache akue kwanza amalize yoote.
 
Mbona mnachokoza watu mnataka waseme yale wasiyotaka kusema kutokana na mifungo inayoondelea, Ubunge bado mpaka Mume akamshinda huo uraisi si ndio itakuwa balaa mwache akue kwanza amalize yoote.
Mkuu haya maneno kila mtu anasema ndoa ilimshinda je mna uhakika ilikuwa ni ndoa kwa maana ya ndoa, je ilimshinda kweli? Kulikuwa na haja kutangaza kwenye media na Bungeni, kama kukataa jina la Kaluwa lisitumike kulikuwa na ulazima huo mpaka kupeleka Bungeni?
 
Mkuu haya maneno kila mtu anasema ndoa ilimshinda je mna uhakika ilikuwa ni ndoa kwa maana ya ndoa, je ilimshinda kweli? Kulikuwa na haja kutangaza kwenye media na Bungeni, kama kukataa jina la Kaluwa lisitumike kulikuwa na ulazima huo mpaka kupeleka Bungeni?
Labda watu wamenyuti wanaona mnaleta kupima kina cha maji hapa, Yule mwanasheria kapigana mke ashinde ubunge , kushinda dom huko wenye madaraka wakawa na wao wanajipigia mpka mwamba akahamaki na kwakuwa mwana sheria ndio nafuu yake ila ingekuwa masela wangemwagana ubongo jamaa wamejimilikisha na yeye katumika kama fundi bomba tu, ndio mana alikatazia jina lake asilitumie, hiyo segerea yenyewe kushinda tena sio kwa umahili wake ni hao sponsors wenye mamlaka, madaraka na mtonyo sasa atakuwaje presidaa jamani msilinganishe na Madame Presidaa kila mnayemuona.
 
Labda watu wamenyuti wanaona mnaleta kupima kina cha maji hapa, Yule mwanasheria kapigana mke ashinde ubunge , kushinda dom huko wenye madaraka wakawa na wao wanajipigia mpka mwamba akahamaki na kwakuwa mwana sheria ndio nafuu yake ila ingekuwa masela wangemwagana ubongo jamaa wamejimilikisha na yeye katumika kama fundi bomba tu, ndio mana alikatazia jina lake asilitumie, hiyo segerea yenyewe kushinda tena sio kwa umahili wake ni hao sponsors wenye mamlaka, madaraka na mtonyo sasa atakuwaje presidaa jamani msilinganishe na Madame Presidaa kila mnayemuona.
Sawa sawa Mkuu
 
Jimbo lipi?? Sisi tuliopo segerea Bonyokwa tumetengwa
Check hiyo.
IMG-20230331-WA0052.jpg
 
Ifikie pahala ContentCreator muwe mna linda heshima zq watu huu mtandao kitumika kuchafua watu ni kheri uzi kamq huu ukafutwa. nonsense .. kwan ndoa yake kuvunjika ni yy pekee ? Ndoa ngapi zinavunjika hapa duniani rena za ma VVIP kabisaa ...
 
Ifikie pahala ContentCreator muwe mna linda heshima zq watu huu mtandao kitumika kuchafua watu ni kheri uzi kamq huu ukafutwa. nonsense .. kwan ndoa yake kuvunjika ni yy pekee ? Ndoa ngapi zinavunjika hapa duniani rena za ma VVIP kabisaa ...
Hebu subiri kidogo tushuhudie ngumi za juu juu, hizi za chinichini (za kushikana na kugalagala chini) hazipendezi.
 
Ifikie pahala ContentCreator muwe mna linda heshima zq watu huu mtandao kitumika kuchafua watu ni kheri uzi kamq huu ukafutwa. nonsense .. kwan ndoa yake kuvunjika ni yy pekee ? Ndoa ngapi zinavunjika hapa duniani rena za ma VVIP kabisaa ...
Lakini ndugu ndivyo ilivyo ukishakuwa kiongozi wa watu , maisha yako yatajadiliwa. Yanajadiliwa ya Rais itakuwa Mbunge au Waziri?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom