Book readers, tushirikishane App nzuri za kusomea (e-reader)

Book readers, tushirikishane App nzuri za kusomea (e-reader)

Nani anajua dictionary nzuri ambayo hata kama unasoma kitabu kwenye appl ingine unaweza uka click neno unalotaka kujua maana ikakupeleka moja kwa moja kwenye dictionary na kukupa maana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NaDownload vitabu kipitia
1.Pdfdrive
2. Zlibrary au b-ok books.
Hapa kwenye hizi site ukisign up unapata vitabu kumi kwa siku. (Sasa nina email kumi) kwa siku naweza pakua vitabu 100

App nnayotumia kusomea ni foxit pdf.
Hii app
Kwanza ni bure
Mbili hulazimiki kusign up
Tatu inakupa access ya kukuza maandishi. Hutalazimika kuscroll left and right . Maandishi yanajipanga yenyewe katikati
Nne, ina night mode
Tano, unaweza kuchagua page uzifungue kama kitabu au kama word doc
Sita unaweza kuedit au kutake notes
Saba INAKUSOMEA KITABU KWA VIZURI. Hulazimiki kudownload audio books. Hii kila pdf inasoma audio, hata za kiswahili,
So kama unashuguli nyingi fungua tu kitabu unaweka audio mpaka unafika unapoenda kimeisha.
Tena audio yenyewe anakusomea mwanamke, maneno yanasikia, na unaweza kumwongezea speed asome haraka au kumpunguzia asome taratibu.

Ipitie, utakuja kunishukuru.
Jaha out!
Screenshot_20210519-085039_Google%20Play%20Store.jpg
 
Nani anajua dictionary nzuri ambayo hata kama unasoma kitabu kwenye appl ingine unaweza uka click neno unalotaka kujua maana ikakupeleka moja kwa moja kwenye dictionary na kukupa maana

Sent using Jamii Forums mobile app
Jaribu ColorDict Dictionary.

Kwa mimi kwenye hii app ya PrestigioReader, ukitaka kutafuta neno, inakupa option ya kuchagua dictionary, sasa mimi nimeinstall hiyo. Inaview ukiwa kwenye reader bila kutoka. View attachment 1790906View attachment 1790905View attachment 1790903View attachment 1790904
Screenshot_20210519-163716.jpg
 
Brooo
Kwa wasoma vitabu, kutokana na sababu mbalimbali, wengi tunatumia zaidi softcopies badala ya hardcopies. Formats za vitabu zilizotawala ni pdf, ePub na Mobi. Mimi binafsi napendelea ePub au mobi kuliko pdf sababu ya fonts za pdf ni ndogo ndogo sana.

Hivyo kwenye kusoma, App unayotumia inaweza kukuvutia kusoma au la. Mimi binafsi ninatumia App mbili kwenye kusoma, sababu ninasoma vitabu vya namna mbili, Novels and Non-novels.

Non-Novels.

Nasoma zaidi vitabu vya Non fictions kama vya Historia, wasifu, Sayansi, Siasa n.k. Hivyo kwenye usomaji hujikuta nahitaji kutake Note na napenda zaidi Fonts ziwe kubwa na ndefu huku nikiwa na display kubwa. Hivyo baada ya Safari ndefu ya kutumia na kuacha, nimejikuta ni mlevi wa App ya ReadEra.

View attachment 1789796

Naipenda App sababu, ya Fonts zake zinavutia sana kusoma (inakupa uchaguzi wa fonts). Font hizi nimezi-custumize hivi;
View attachment 1789799
Pia inakupa mfumo mzuri wa kutengeneza folders, kama za To Be Read list, Read List, Collection (hapa unaweza tengeneza 'shelf' yako ya vitabu kutokana na mpangilio uutakao mf, History, Politics, Novels, Siasa, Tawasifu n.k. Inakupa uwezo wa kupanga kwa Authors. Sifa yake nyingine kubwa, hakuna Ads kabisa. App nyingi zinakera kwa Ads.
View attachment 1789805
View attachment 1789806


Novels.

Novels pia zinavutia ikiwa na fonts style fulani fulani. Hapa natumia App ya PrestigioReader.

View attachment 1789808View attachment 1789809View attachment 1789810

App nzuri yenye inayokupa muonekano na nyenzo sahihi za kutumia, kwenye usomaji, huvutia sana kusoma na kusoma. Hatimaye kukimaliza kitabu, kukupa urahisi wa kufanya reviews na discussions kwenye forums mbalimbali.


Tushirikishane, wewe unatumia App gani? Inakuvutia vipi?
Broo it's just my hunch you do fx? Or stock market
 
Kwenye ios nadhani Books ya Apple bado haina mpinzani

Kwenye Tab yangu ya Android natumia Google Play Book

Nadhani sasa nijaribu na hizi 3rd part App nione utaofauti
 
Kwenye ios nadhani Books ya Apple bado haina mpinzani

Kwenye Tab yangu ya Android natumia Google Play Book

Nadhani sasa nijaribu na hizi 3rd part App nione utaofauti

Books ya Apple vitabu unavipataje maana vingi uki search hamna au huwa ww unatumia njia gani?
 
Back
Top Bottom