Book reading: Unasoma au Umesoma kitabu gani ungependa wengine wakisome?

Book reading: Unasoma au Umesoma kitabu gani ungependa wengine wakisome?

Nimemaliza THINK AND GROW RICH cha Napoleon Hill, kwa sasa nasoma THE 7 HABITS O HIGHLY EFFECTIVE PEOPLE cha Covey
Stephen Covey ni kama vile Plato wa zama hizi. Moja ya vitabu vizuri kabisa katika self improvement nimepata kusoma.
 
  • Thanks
Reactions: Izc
Ngoja niweke vyangu sasa🙂
The art of leadership
How to get whatever you want
The power of subconcious mind
The imposible is possible
Waislam amkeni,
Maisha na mafanikio
The anatomy of failure,
Rich daddy poor daddy,
Weep not, child
How to influence people and friends
Etc
where and how did you get a chance to read all these novels? did these all books help you??? how can i able to do as what you did?
 
Ni uzi mzuri kwa kweli, unatoa nafasi kwa mtu kufahamu nini na kwanini asome kitabu fulani.
Binafsi mpaka sasa, nimesoma;

Novels zifuatazo
-Godfather by Mario Puzo
-Sky's fallin by Sheldon Sidney
-Not safe to be free by Chase Hadley
-Best Laid Plans by Sheldon Sidney
-Rages of Angels by Sheldon Sidney
-Windmills of the God by Sheldon Sidney
-Shadow by John Saul
-The Alchemist by Coelho, Paul
-Mistress of the game by Sheldon Sidney
-A prisoner of birth by Jeffrey Archer

Religious books
-QuranL-karim, Tafsir Ibn Kathiir (as 'always)
-Comparative Religion by Muhammed Ali
-Islamic Philosophy by Sayyed Hussein
-Milestone by Said Qutb
-Aqeedah Tahawiyyah Commentary by Ibn Al-Izz
-Difference between Shia and Moslems by Saeed Ismai
-History of Islamic Philosophy by Henry Corbin
-History of Jesuits by M.F. Cusack
-Essay on the Jinn by Ibn Taymiyah
-Islamic Revivalism in Contemporary Ghana by Dr Yunus Dumbe
-The Myth of Muslim Barbarism and its Aims by S. E. Al-Djazairi
-Sahihi Bukhar y Imam Bukhar
-Sunna Abuu Dawood
-Sahihi Muslim by Imam Muslim
-The Parsian Salman by Dr Saleh As-Saleh
-Terrolism and Illuminati by David Livingstone
-The Clash Of Civilisation by Dr Abuu Amina Bilal Philips.
-The World Of the Jinn and Devils by Dr Umar Sulaiman

Other books
-Spy Master by Oleg Kalugin
-In the President's Secret Service by Ronald Kessler.
-The definitive book of Body Language by Allan+Barbara Pease.
-Cosa Nostra by John Dickie.
-Criminal Law by adopted by The Saylor Foundnt.
-How to develop Self Confidence and Influence People by Dale Carnegie
-Focus, The Hidden Driver of Excellence by Daniel Goleman.
-Gifted Hands by Ben Carson
-Intelligence Officer Handbook a field manual by Department of Army, Washington DC.
-Introduction to Philosophy by Robert C Solomon
-Critical Thinking and Intelligence Analysis by David T Moore

Leo niishie hapa kwanza.
hivyo vya religion naomba mkuu
 
9686162920e53bd8e9b74a991bd3b93d.jpg
44af3e2964b6888cfeb89dd20d154e42.jpg
e3f59521780e3d4a5d973fb78482790c.jpg
u
d3ce1736b50a6d3d05930326e1595135.jpg
a88437e0ebdf3366b0c83e6853ca8653.jpg
u
7b5d93ab2792de5c2e003109826a2c85.jpg
5c9b960907f803f30118336dbb70f5e8.jpg
ada24a7eb5d4ad5e87bca046435965f0.jpg
61c0301098deba989e3e9cac99abe4b3.jpg
dca9bdc15d9804bda50f5652d70a4981.jpg
1acee33fd7e8994c46826bd450761a52.jpg
 
Ngoja niweke vyangu sasa🙂
The art of leadership
How to get whatever you want
The power of subconcious mind
The imposible is possible
Waislam amkeni,
Maisha na mafanikio
The anatomy of failure,
Rich daddy poor daddy,
Weep not, child
How to influence people and friends
Etc
Heshima yako Mkuu?.

Nianze kwa kukupa hongera za dhati sana juu ya Usomaji wa vitabu.Pili nikitie moyo juu ya Usomaji as a thinker,You discovered something interesting than anything in this world "READING".Anyone who stop reading/Learning is OLD whether at twenty or eighty.Anyone who keep reading stay young.The mostly Important things in life is to keep your mind young-Henry Ford.

Nilikuwa katika pita-pita zangu za hapa na pale nikimtafuta Muandishi Mmoja wa gazeti pendwa la miaka ya nyuma kidogo lijulikanalo kwa jina "JITAMBUE", Alikuwa akiya-publish marehemu Munga Tehenan ila baada ya kutangulia mbele za haki gazeti lake nalo likapotea.

Mlengo wangu siyo kukueleza haya yote ila katika kukupa taswira fulani tu juu ya jinsi ninavyoyatafuta maarifa yake.Katika list yako kuna kitabu cha Maisha na Mafanikio.Je ni cha Munga Tehenan?.Kama ndiyo,Je nitapata vipi kitabu kingine the same?.Kama siyo,samahani kwa usumbufu.

Naomba unisaidie kwa hili.Kumradhi.
 
Heshima yako Mkuu?.

Nianze kwa kukupa hongera za dhati sana juu ya Usomaji wa vitabu.Pili nikitie moyo juu ya Usomaji as a thinker,You discovered something interesting than anything in this world "READING".Anyone who stop reading/Learning is OLD whether at twenty or eighty.Anyone who keep reading stay young.The mostly Important things in life is to keep your mind young-Henry Ford.

Nilikuwa katika pita-pita zangu za hapa na pale nikimtafuta Muandishi Mmoja wa gazeti pendwa la miaka ya nyuma kidogo lijulikanalo kwa jina "JITAMBUE", Alikuwa akiya-publish marehemu Munga Tehenan ila baada ya kutangulia mbele za haki gazeti lake nalo likapotea.

Mlengo wangu siyo kukueleza haya yote ila katika kukupa taswira fulani tu juu ya jinsi ninavyoyatafuta maarifa yake.Katika list yako kuna kitabu cha Maisha na Mafanikio.Je ni cha Munga Tehenan?.Kama ndiyo,Je nitapata vipi kitabu kingine the same?.Kama siyo,samahani kwa usumbufu.

Naomba unisaidie kwa hili.Kumradhi.
Hiki cha Maisha na Mafanikio sio cha Munga. Collections ya kazi za Munga zimetengenezewa kitabu kinaitwa ''Jitambue''. Nilkinunuaga Kariakoo kwenye meza ya wauza vitabu. Ntakuangalizia kama kuna Contacts mle then ntakutumia kiongozi. Ntaku-pm my number kwa mawasilaino zaidi.
 
Kwa muda nimekuwa natamani kuwa na club kwa ajili ya watu kupata nafasi kusoma vitabu mbali mbali na taarifa mbal mbali ili kupanua uwezo na uelewa wa mambo mbali mbali katika maisha yetu. Club hii ningependa tuwekee zaid vitabu vya soft copy ili kufanya watu wengi waweze kupata nafasi ya kusoma vitabu hivyo ,pia tutatumia club hii kuweza kupeana ushauri na mbinu nzuri za usomaji wa vitabu , kuandika vitabu na pia kuuliza na kuelekezwa majina mbali mbali ya vitabu na hata wapi vinauzwa au kupatikana ( soft copy na hardcopy)

Malengo ya club hii hapa jf
1. Kupeana hamasa na kujenga/kuboresha tabia ya watu kupenda kusoma vitabu na taarifa mbali mbali
2.kuweza kupata nafasi ya vitabu mbali mbali , majina ya vitabu hivyo , na majarida mbali mbali
3. Kujenga na kupanua wigo kwa watu wengi kuweza kujifunza mambo mengi ili kupeana ujuzi kupitia vitabu
4.kupeana changamoto za kutafuta msomaji mzuri wa vitabu ( hapa vigezo vitajadiliwa na wa club ili kupata msomaji mzuri)
5. Kutakuwa na zawadi kwa msomaji mzuri wa vitabu(pia vigezo na zawadi vitajadiliwa na wana club)

Karibuni sana kwenye ulimwengu mpya wa kusoma vitabu kutokea hapa hapa JF


Binafsi ntaleta vitabu soft copy chache hapa na wengine wataendelea kuongeza vingine
 

Attachments

Kwa muda nimekuwa natamani kuwa na club kwa ajili ya watu kupata nafasi kusoma vitabu mbali mbali na taarifa mbal mbali ili kupanua uwezo na uelewa wa mambo mbali mbali katika maisha yetu. Club hii ningependa tuwekee zaid vitabu vya soft copy ili kufanya watu wengi waweze kupata nafasi ya kusoma vitabu hivyo ,pia tutatumia club hii kuweza kupeana ushauri na mbinu nzuri za usomaji wa vitabu , kuandika vitabu na pia kuuliza na kuelekezwa majina mbali mbali ya vitabu na hata wapi vinauzwa au kupatikana ( soft copy na hardcopy)

Malengo ya club hii hapa jf
1. Kupeana hamasa na kujenga/kuboresha tabia ya watu kupenda kusoma vitabu na taarifa mbali mbali
2.kuweza kupata nafasi ya vitabu mbali mbali , majina ya vitabu hivyo , na majarida mbali mbali
3. Kujenga na kupanua wigo kwa watu wengi kuweza kujifunza mambo mengi ili kupeana ujuzi kupitia vitabu
4.kupeana changamoto za kutafuta msomaji mzuri wa vitabu ( hapa vigezo vitajadiliwa na wa club ili kupata msomaji mzuri)
5. Kutakuwa na zawadi kwa msomaji mzuri wa vitabu(pia vigezo na zawadi vitajadiliwa na wana club)

Karibuni sana kwenye ulimwengu mpya wa kusoma vitabu kutokea hapa hapa JF
wewe mpaka sasa umesoma vitabu vingapi mkuu
 
Ntaomba mods wafanye marekebisho jina la Uzi nimekosea


JF CLUB MAALUM: KUSOMA VITABU NA KUONGEZA UWEZO WA AKILI NA MAARIFA
 
Sawa tunasubiri japokua humu ndani kuna uzi wa vitabu pia.
 
Wazo zuri sana mkuu! Tuombe kheri wengi waone kile unachokiona ili lengo lako litimie.
 
Back
Top Bottom